majeshi 1981
JF-Expert Member
- Dec 7, 2013
- 2,090
- 812
kaulize nyayo ni kwanini mliufyata kudai mlima kilimanjaro?Wavunja matofali[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kaulize nyayo ni kwanini mliufyata kudai mlima kilimanjaro?Wavunja matofali[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
nyangau wamezoea vya bure, wanataka tuingie Somalia kuwasaidia maana hali ni tete,Wametukosea nini mpaka tuingie huko?
kaulize nyayo ni kwanini mliufyata kudai mlima kilimanjaro?
nyangau wamezoea vya bure, wanataka tuingie Somalia kuwasaidia maana hali ni tete,
TANZANIA, haina mgogoro na somaliaWakombozi mbna mna wasi wasi na somalia...
Wakombozi jamani...mbna mlienda mpka nchi za kusini kuwakomboa basi..TANZANIA, haina mgogoro na somalia
SISI NI WA KOMBOZI KWELI KWELI, HILI HALINA MJADALA! LAKINI KWA KENYA FIENI MBALI!Wakombozi jamani...mbna mlienda mpka nchi za kusini kuwakomboa basi..
Au sai mmeachana na ukombozi mnajenga nchi
Je wale mliofanya collabo nao tuwaitejeSISI NI WA KOMBOZI KWELI KWELI, HILI HALINA MJADALA! LAKINI KWA KENYA FIENI MBALI!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ndiyo maana midebwedo huwa mnachapika hovyo kwenye uwanja wa mapambano
hiyo ni collabo au migambo inafundishwa, huoni kenya drinking force na askari mmoja? unadhani ni nani anafundishwa hapo? MIGAMBO YA KDF INAFUNDISHWA NAMNA YA KULINDA MASILAHI YA WANAUME! wajinga ndiyo waliwao
hiyo ni collabo au migambo inafundishwa, huoni kenya drinking force na askari mmoja? unadhani ni nani anafundishwa hapo? MIGAMBO YA KDF INAFUNDISHWA NAMNA YA KULINDA MASILAHI YA WANAUME! wajinga ndiyo waliwao
aangalie wanaume wa jeshi la polisi hawa hawa drinking force haiwafikii hata robo sembuse JWTZ?HAHAHHA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ndiyo maana midebwedo huwa mnachapika hovyo kwenye uwanja wa mapambano
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hyo ndio formation gani mazee..mbna km majambazi wa kawaida tu, gari lenyewe linadhihirisha kila kitu..heheee, land rover karne hii
Watz kama wajapani bunduki tumeweka chini tumebeba misumeno na nyundo tunajenga nchi mwakani sjyo mbali msije sema hatukuwaambiaVita mmeshinda ni kuumaliza upinzani tu
Mnajenga nchi wapi na wakati mna mpango wa kuumaliza upinzani kwanza..Watz kama wajapani bunduki tumeweka chini tumebeba misumeno na nyundo tunajenga nchi mwakani sjyo mbali msije sema hatukuwaambia