Kenya Army VS Tanzania Army

Kenya Army VS Tanzania Army

Wasikusumbue kaka.
Kenya hakuna jeshi.
Hawana jeshi hawa washukuru tu sisi si wakorofi korofi la sivyo wangenyonyoka.
Kumbe hizo ndio victory memory za kdf ?

Jw waliiteka miji yote ya uganda na mpaka sasa JW ndio pekee africa ambalo liliteka mji mkuu wa nchi nyingine
 
Wasikusumbue kaka.
Kenya hakuna jeshi.
Hawana jeshi hawa washukuru tu sisi si wakorofi korofi la sivyo wangenyonyoka.
ha ha you over-rate yourself so much, you have been brainwashed by the CCM govt that you think Tanzania is the greatest nation on earth.
Same thing during Ujamaa, until Nyerere admited he had failed, Bongolalas were following like flies follow shit.
 
Waumbue [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Btw hata kule comoros haikuwa operation ya JTWZ.
Belligerents
23px-Flag_of_the_Organization_of_African_Unity_%281970-2002%29.jpg
African Union
Supported by:
23px-Flag_of_Anjouan.svg.png
 
Medal table of the ongoing world military games in Wuhan China.Kenya is currently at number 20
IMG_20191027_200412_946.jpg

IMG_20191027_200329_163.jpg
 
you spoke about TPDF until you showed your ignorance in the last sentence.. that shows you don't understand the situation in Somalia... TPDF has never fought this type of asymmetrical warfare.
So did TPDF completely defeat m23 rebels ???

Some of those successes of TPDF are just 5 day operations , in the same case, KDF would have withdrawn after defeating Al-Shabab in Kismayu and many other towns in Somali and claim victory.

Hiyo ndiyo style ya TPDF. KDF is in Somalia for a long term plan. Creating a buffer zone for Kenya.

Sometimes its good to understand what you are talking about..
Sawa! Ni ujinga uliopitiliza kujiingiza ktk vita bila kuwa na intelejensia ya kutosha kuhusu hivyo vita. Mlichofanya Kenya na kujiingiza Somalia ni kwa sababu ya kutokuwa ujuzi/uzoefu wa vita, mlitakiwa muombe consultation kutoka TPDF.

Tanzania ilikuwa iingie vitani dhidi ya Idd Amin mwaka 1974, lkn intelejensia yetu ilifanya kazi na tukaamua kutoingia vitani ili tujipange. Ndio maana sio ajabu TPDF kushinda vita vyote ilivyopigana; Uganda, Mozambique, Seychelles, Comoro hata Congo DR. Kenya mmejaribu vita moja tu huko Somalia lkn hadi sasa ushindi haijapata. Ni kujitoa ufahamu kuilinganisha kwa namna yoyote ile KDF kwa TPDF. TPDF imetoa mafunzo kwa majeshi ya DR Congo, Uganda, Mozambique, na Zimbabwe. Je, KDF imetoa mafunzo nchi gani?

Vv
 
Shifta War
Crashing of the Sabaot Land defense force

Capture of Tabda Somali
Capture of Kismayu Port
Capture of Kuday
Capture of Bilis Qoqani
Capture of Jilib
Capture of Dhobley.
Capture of Afmadow
Capture of Ras-Kamboni

By the way these are capture, occupation and control..
Not these victories you talk about TPDF, you run into the scene, fire some bullets and declare victory.

Dah, mkuu, wikipedia nayo ni source? Mbona hata wewe unaweza kubandika chochote tu kule wikipedia?

Vv
 
Wakumbusheni Kenya
Kuna vijana wetu 12 tuliwapoteza Kongo baada ya kupambana masaa 12 na waasi Wa Adf ..... Bila msaada""; msitu mnene" wala hawajakimbia kambi;;;

Lakin hawa wakenya huko somalia mnakimbia kambi hatariii( No Uvumilivu) ,,""" Askar mkiguswa kidog mnafarakana vibaya[emoji23][emoji23]

TPDF """" Ale wiiiiiiiiiiiii[emoji123]
FB_IMG_1563667083299.jpeg
 
Asa unataka ubaki ilhali mission imeisha ?
Unakwama wap bro?
huyo akili hana ni chizi,,hebu muulize hivyo vita vilivyopigwa siku moja vilitokea mwaka gani lini na ni wapi...atabaki anatumbua macho
 
Kuna swali hapa kila siku wakenya wanaulizwa hawataki kujibu zaidi ya kulikwepa [emoji23][emoji23][emoji23]
Watuambie ni misheni gani kdf aka waiba biscuits wauza mkaa wamewahi kuifanikisha ipasavyo?
watabaki kutumbua macho tu....nakuishia kuamua kucopy link zidizo na direction
 
Shifta War
Crashing of the Sabaot Land defense force

Capture of Tabda Somali
Capture of Kismayu Port
Capture of Kuday
Capture of Bilis Qoqani
Capture of Jilib
Capture of Dhobley.
Capture of Afmadow
Capture of Ras-Kamboni

By the way these are capture, occupation and control..
Not these victories you talk about TPDF, you run into the scene, fire some bullets and declare victory.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]uchokoraa siyo poa....

epuka uchokoraa na ukora uliofinyu utindio wako wa ubongo umeyumba

kweli we. dish
 
ha ha don't come for numbers, hapo TPDF mko nyuma zaidi...
duuh aisee kenya ni noma cheki makombora hayoo dah aisee nyie wakenya ni nomaa duuh dunia nzima mnachapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haha kenyan na Low IQ ni kama pete na kidole,
Kdf tunawapa jeshi la Mgambo tu mnanyoroshwa sawa sawa,
Tena wanakuja na biscuits alafu wanawadanganyia jeshi lenu dhaifu [emoji23][emoji23][emoji23]
Jeshi letu lingekuwa weak nchi yetu ingekuwa na vikundi vya ajabu ajabu vya kipumbavu kama huko kwenu,
Jeshi la Tanzania halijawahi kufeli misheni yoyote waliyopewa,
Jeshi lenu pia lina ukabila ndani yake wa kutisha [emoji23][emoji23][emoji23]
Jeshi lenu show off kibao tu kwa ground vitu ni different.
muuulize Tanzania ni nchi ya ngapi Duniani kuwa na wanausalama wa Taifa...?...akijibu vyema tutampa zawadi na atajua vile watu huishi vipi na akili zenye plan na si akili mali
 
achana nao hao wakenya ni machizi yaani hata hawajui ni system gani ya ununuzi wa silaha huwa tunatumi...
 
yaani hao wakenya ni machizi achana nao....ni nothing yaani hata hawajui tofauti ya ununuzi wa silaha baina ya Tanzania na wao

hawajui ni system ipi huwa Tz inatumia kwenye ununuzi wa silaha
 
Sawa! Ni ujinga uliopitiliza kujiingiza ktk vita bila kuwa na intelejensia ya kutosha kuhusu hivyo vita. Mlichofanya Kenya na kujiingiza Somalia ni kwa sababu ya kutokuwa ujuzi/uzoefu wa vita, mlitakiwa muombe consultation kutoka TPDF.

Tanzania ilikuwa iingie vitani dhidi ya Idd Amin mwaka 1974, lkn intelejensia yetu ilifanya kazi na tukaamua kutoingia vitani ili tujipange. Ndio maana sio ajabu TPDF kushinda vita vyote ilivyopigana; Uganda, Mozambique, Seychelles, Comoro hata Congo DR. Kenya mmejaribu vita moja tu huko Somalia lkn hadi sasa ushindi haijapata. Ni kujitoa ufahamu kuilinganisha kwa namna yoyote ile KDF kwa TPDF. TPDF imetoa mafunzo kwa majeshi ya DR Congo, Uganda, Mozambique, na Zimbabwe. Je, KDF imetoa mafunzo nchi gani?

Vv
swali zuri sana kunguni wakikenya wakiulizwa maswali yenye tija huwa hawana majibu sababu hawana cha ajabu wao nikucopy link and paste kwenye mitandao kisha kuleta hapa wanadani bita ni history za link[emoji23][emoji23][emoji23]
hawawezi toa jibu zaidi ya kujikanyaga kanyaga
 
Marekani si pia alipamban na wavaa makobazi, je alishinda..

Marekani na uwezo wake wote, mpka leo mission zake hazijakua complished..
Jaribuni muingie somalia halafu muone mziki wa wavaa kobadhi..

Tanzania haijawai pigana vita km hivi kabisa...mission za siku mbili tatu ni mission gani hzo, si hta gsu wetu wanafanya tu
Sawa! Ni ujinga uliopitiliza kujiingiza ktk vita bila kuwa na intelejensia ya kutosha kuhusu hivyo vita. Mlichofanya Kenya na kujiingiza Somalia ni kwa sababu ya kutokuwa ujuzi/uzoefu wa vita, mlitakiwa muombe consultation kutoka TPDF.

Tanzania ilikuwa iingie vitani dhidi ya Idd Amin mwaka 1974, lkn intelejensia yetu ilifanya kazi na tukaamua kutoingia vitani ili tujipange. Ndio maana sio ajabu TPDF kushinda vita vyote ilivyopigana; Uganda, Mozambique, Seychelles, Comoro hata Congo DR. Kenya mmejaribu vita moja tu huko Somalia lkn hadi sasa ushindi haijapata. Ni kujitoa ufahamu kuilinganisha kwa namna yoyote ile KDF kwa TPDF. TPDF imetoa mafunzo kwa majeshi ya DR Congo, Uganda, Mozambique, na Zimbabwe. Je, KDF imetoa mafunzo nchi gani?

Vv
 
Back
Top Bottom