KENYA: Askofu asilimu na wafuasi wake, ageuza kanisa lake kuwa msikiti

KATOKA KWA MZUNGU KAENDA KWA MWARABU MAMBO NI YALE YALE TU!!! ANGEACHA DINI ZOTE AKAJA KWA KINJEKITILE NDIO INGEKUWA HABARI! WAPI PADRE MCHARO UMEPIGWA PINI NINI BONA KIMYA!!
Kaona huko kwa Kinjekitile,ni utapeli mtupu,hskuna ukweli.
 
Kumbe kijiaskofu cha kijiwekea mikono na kujipa uaskofu mwenyewe, aende zake kwa amani
Kuna tofauti kubwa kati ya Askofu aliyepakwa mafuta na askofu anayejiita askofu... huyu ni mlei tu kama mimi
 
Yesu Mwenyewe alisema:
Eloi,Eloi lamasabakhtan?
"Mungu wangu,Mungu wangu,mbona umeniacha?"
Jiulize huyu aliyeachwa na Mungu,ni Mungu yupi aliyemuacha?
Tafakari,chukua hatua.
 
Ushihi ameshauona,halafu wewe wauliza ipi sahihi.
 
Dini yenyewe nadhani alianzisha kama wengine, kaona mshiko hautoshi hivyo kaahidiwa madolla pamoja na kukusanya watoto wa watu kupelekwa kujilipua. Yawezekana tena kapachika watoto wa watu mimba kibao hivyo inabidi awaoe.
Usijindanganye,dunia nzima imeshajua,mnaojilipia ni nyinyi,halafu mnasingizia waislamu.Juzi tu kwa kipindi kifupi,Wa pili America kawamiminia risasi wakristo wenzake kanisani,wacha aliyewamiminia kwenye shererehe,ugaidi mfanye nyinyi,msingizie wengine.
 
Utaumia sana,uislamu unasonga mbele.
 
Amdshtuka,kaona huko hakufai,kakukimbia.
 
Hapo ujue akifuzu anaenda kata mauno mbele ya Mungu wake huku akiuangalia [emoji102] ufundi wa Mtume wake anavyo serebuka [emoji4] daah?!
Kakimbia kwenda kupakatwa na Ibrahimu,kama alivyopakatwa Lazaro.
 
Yuko hai yuko wapi.Na wakati anakata roho,alsema
"Mungu wangu,Mungu wangu mbona unaniacha?"
Halafu wasema yuko hai.
 
Dah! Hivi haya maandiko yapo kwenye koran ama mnasingizia, maana kama kweli basi nijibu tosha kwa nini hawa watu hujilipua,siku zote nilikua najiuliza kiini cha huko kujilipua lipua.
Hakuna maandiko hayo.Ila kuna kitabu kina maandiko ya Lazaro kupakatwa na Ibrahimu.
 
Sio kweli,kwenye uislamu hakuna Pesa za bure bure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…