Crucial Man
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 3,404
- 1,311
Narudia tena,though my Bw Kabaridi, anajaribu kukwepa ukweli,lakini ukweli utabaki pale pale.
naomba niulize.Hivi UN wana-mandate ya kuingilia kesi za icc na kuzifuta? Huyu balozi alikuwa anafanya haya bila baraka za ikulu?
Hawa jamaa wanajaribu kujikosha kwenye swala ambalo wanajua haliwezekani,mimi naona kama vile wanazidi kujichanganya..swala zima la muendesha mashtaka kumuongezea Uhuru mashtaka ya wafuasi wake kutumia silaha ni well culculated. Hapo jamaa hachomoki...mbaya zaidi wanajaribu kuonyesha kwamba hawana imani na ICC...majaji hawako tayari kuwa embarased na kupoteza kazi zao kirahisi
Hivyo,pia swala la Kagame na kuingilia haya maswala yanazidi kumuharibia Uhuruto.
Kitu kingine siku ya kuapishwa kwa Uhuru, Museveni aliishutumu ICC vibaya sana,bila kujua kwamba alikuwa anawaponza Uhuruto...wao na wakenya wengine walimchukulia kama shujaa lakini ukiangalia impact yake deeply inaonyesha kwamba alikuwa anawashtua ICC kukaza uzi na kudig deep na kuwachimbua Uhuruto,ndio maana mashtaka yameongezeka upande wa uhuru.
naomba niulize.Hivi UN wana-mandate ya kuingilia kesi za icc na kuzifuta? Huyu balozi alikuwa anafanya haya bila baraka za ikulu?
Hawa jamaa wanajaribu kujikosha kwenye swala ambalo wanajua haliwezekani,mimi naona kama vile wanazidi kujichanganya..swala zima la muendesha mashtaka kumuongezea Uhuru mashtaka ya wafuasi wake kutumia silaha ni well culculated. Hapo jamaa hachomoki...mbaya zaidi wanajaribu kuonyesha kwamba hawana imani na ICC...majaji hawako tayari kuwa embarased na kupoteza kazi zao kirahisi
Hivyo,pia swala la Kagame na kuingilia haya maswala yanazidi kumuharibia Uhuruto.
Kitu kingine siku ya kuapishwa kwa Uhuru, Museveni aliishutumu ICC vibaya sana,bila kujua kwamba alikuwa anawaponza Uhuruto...wao na wakenya wengine walimchukulia kama shujaa lakini ukiangalia impact yake deeply inaonyesha kwamba alikuwa anawashtua ICC kukaza uzi na kudig deep na kuwachimbua Uhuruto,ndio maana mashtaka yameongezeka upande wa uhuru.
Last edited by a moderator: