Inategemea MK254 sidhani kama ni sawa ,fursa zinaweza tofautiana pia lakini cha muhimu Ni kukunja fedha mjn. ..mf medics wa Kenya anaingiza fedha zaidi ya wauku lakini vipi kuhusu mianya mingine yakuingiza kipato ?nafaham kwa upande wa salary mko vizurHilo nabisha, nyie pona yenu ni kwamba asilimia 80% mnategemea ukulima, lakini likija suala la mpunga, madogo wengi wa Kenya wana hela zaidi yenu.
Yeah I was forced to call him out but it's good he has corrected himself. Ingekuwa Annael ama Geza hawangekubali kurekebishwa.Anataka kusikia tu ni chini ya 2000 MW sababu that appeals to his emotions.The worse you look the better his diabolic satisfaction gets cuz he has this thing called "confirmation bias"
Inategemea MK254 sidhani kama ni sawa ,fursa zinaweza tofautiana pia lakini cha muhimu Ni kukunja fedha mjn. ..mf medics wa Kenya anaingiza fedha zaidi ya wauku lakini vipi kuhusu mianya mingine yakuingiza kipato ?nafaham kwa upande wa salary mko vizur
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Hizi data ziko wazi na ukienda world bank website au IMF utazipata
Nigeria GDP PC is 2500$, not 5000$.Nigeria ni middle income country. Na Kwanza wako na GDP per capita zaidi ya $5, 000. Ukilinganisha na Kenya $1, 600 utagundua Mnigeria mmoja ana pesa hata kushinda Mkenya mmoja ila hio pesa haiko well distributed. Kuna wanigeria wana pesa sana kama Aliko Dangote na pia wana masikini wa kutupwa. Pia hapa Kenya ni hivyo hivyo lakini Nigeria bado ni middle Income pamoja na hao masikini wote wao. Shida ya GDP per capita ni haionyeshi masikini na matajiri ni wangapi katika nchi fulani.
Yup , i thought that figure was too inflated. If their per capita was $5000 then their cumulative GDP would be north of $900bn.Nigeria GDP PC is 2500$, not 5000$.
That in fact is the SAn GDP PC. I think Tony254 got a little confused here..Yup , i thought that figure was too inflated. If their per capita was $5000 then their cumulative GDP would be north of $900bn.
Sorry for the confusionThat in fact is the SAn GDP PC. I think Tony254 got a little confused here..
Baada ya kupata gesi kila mtu alidhani sasa Umeme hautasumbua
Source of this information is ?????Extractive industries like mining consume a lot of power, something kenya lacks.
Mozambique for instance has a capacity of 4000,mW, but save for the mining sector.(mozal), consumption by the rest of the country is just 350mw of that amount. Of SA's 40000mw of electricity, 94%of its production and more than 60% of its consumption is attributed to minerals and extractive industries(hapo hujaingiza other forms of industry).
Its not about how much you can produce but what need is there in respect to what you produce.
Hahahaaa. Labda alidhani umeme unahifadhiwa kama madini au mafuta kwamba utatumika miaka ijayo.Nafikiri umejibiwa vizuri na wadau wote humu na umetuliza huo moto ulioanza nao, maana siku zote unaongelea Kenya na kujifanya kuijua nchi yetu kumbe leo ndio unaanza kuitafuta Kenya kwenye Google.
Umeme huwa unazalishwa sambamba na matumizi, huna haja uzalishe umeme halafu uwe tu bila matumizi kisa unataka uonyeshe ubabe. Hata hiyo Afrika Kusini unayoisifia, fahamu umeme wake wote huo asilimia 50% unakwenda viwandani maana wamewekeza kiviwanda.
Sidhani, nafikiri Umeme unapaswa uwepo kwanza ndiyo uzalishaji uje, na siyo kinyume chake, Umeme ni chachu ya Industrialization, kwanza ukiniuliza mimi ningeshauri hata nchi zetu ziache kila kitu na tuwekeze kwenye Umeme tu hata kwa kipindi chote cha miaka 5, ili tuwe na kuanzia 20 000 MW huko ndiyo sasa tuanze mipango mingine!
Kenya ni watu wakujiona wako juu wakati ni masikini tuHaha kijana mbona huzungumzii Tanzania kwanza maana ata uku hali si shwari
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Mkuu umetoboa hadi mwisho kwa wakenya, watu wa kujidai eti matajiri woteAfrica Kusini pamoja na kua na umeme wa MW 40 000 mwingi ni wakuendeshea viwanda, ila umeme unazingua na sometimes ni mgao, Maji pia ni shida sometimes maji yanaweza katika days. Nigeria, ni nchi yenye wananchi wenye KELELE kama Wakenya akati hali halisi ni UHARO wa MAISHA karibia wananchi wote. Nigeria ni watumiaji wa wakubwa sana wa Majenereta kwakua swala umeme ni kama na MVUA na JANGWA.
Ila Kenya wananchi ni masikini sana na hali ya maisha ni choka mbaya. Chakula cha hovyo hovyo kama UGALI bado ni ANASA na wengi huishi kwenye MADEBE kama NJIWA.
GDP per capita Nigeria ni 2600Nigeria ni middle income country. Na Kwanza wako na GDP per capita zaidi ya $5, 000. Ukilinganisha na Kenya $1, 600 utagundua Mnigeria mmoja ana pesa hata kushinda Mkenya mmoja ila hio pesa haiko well distributed. Kuna wanigeria wana pesa sana kama Aliko Dangote na pia wana masikini wa kutupwa. Pia hapa Kenya ni hivyo hivyo lakini Nigeria bado ni middle Income pamoja na hao masikini wote wao. Shida ya GDP per capita ni haionyeshi masikini na matajiri ni wangapi katika nchi fulani.