Kenya: Biashara ya kununua mimba

Kenya: Biashara ya kununua mimba

101 East

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2015
Posts
1,057
Reaction score
2,221
Biashara ya kununua mbegu za Wanaume imeonekana kunoga na kushika kasi katika Kaunti ya Murang’a nchini Kenya ambapo baadhi ya Wanawake wanawalipa Wanaume hadi Ksh. 300,000 (Tsh. mil 5.1) ili wafanye nao mapenzi na kuwapachika mimba.

Wanaume wanaopendelewa zaidi katika biashara hiyo ni walio na umri wa kati ya miaka 20 hadi 40 lakini wawe ambao wanasoma au wamehitimu kozi za masomo ambazo Wanawake hao wanaojimudu kimaisha (Miss Independents ) wanaziona ni za Watu werevu, aidha Wanawake wengi wamesema wanapendelea Wanaume warefu na walio na rangi ya ngozi ya wastani, yaani si weupe sana na si weusi kupindukia.

Kituo cha Televisheni cha NTV Kenya kimeripoti kuwa Mwanamke mmoja mjini humo amekiambia chombo cha habari cha Taifa Leo kwamba siku hizi Wanawake wanaojimudu kimaisha hususani kiuchumi hawataki usumbufu na stress za ndoa na badala yake wamesema “Sisi tunatafuta tu mbegu ili tuzae na kuendeleza kizazi”.

“Licha ya kwamba tunanunua mbegu lakini katika kuzaa tunafuatilia sana bahati ya kuwa na Watoto wenye sura za kupendeza kwa kuzaa na Wanaume wenye muonekano na pia ubongo mzuri wa kuwawezesha Watoto kung’ara na kufaulu masomoni kwa kuzaa na Wanaume werevu, Mtu akitaka kupata mimba anawapa kazi Watu ya kutafutiwa kidume cha mbegu”
#MillardAyo
 
Biashara ya kununua mbegu za Wanaume imeonekana kunoga na kushika kasi katika Kaunti ya Murang’a nchini Kenya ambapo baadhi ya Wanawake wanawalipa Wanaume hadi Ksh. 300,000 (Tsh. mil 5.1) ili wafanye nao mapenzi na kuwapachika mimba.

Wanaume wanaopendelewa zaidi katika biashara hiyo ni walio na umri wa kati ya miaka 20 hadi 40 lakini wawe ambao wanasoma au wamehitimu kozi za masomo ambazo Wanawake hao wanaojimudu kimaisha (Miss Independents ) wanaziona ni za Watu werevu, aidha Wanawake wengi wamesema wanapendelea Wanaume warefu na walio na rangi ya ngozi ya wastani, yaani si weupe sana na si weusi kupindukia.

Kituo cha Televisheni cha NTV Kenya kimeripoti kuwa Mwanamke mmoja mjini humo amekiambia chombo cha habari cha Taifa Leo kwamba siku hizi Wanawake wanaojimudu kimaisha hususani kiuchumi hawataki usumbufu na stress za ndoa na badala yake wamesema “Sisi tunatafuta tu mbegu ili tuzae na kuendeleza kizazi”.

“Licha ya kwamba tunanunua mbegu lakini katika kuzaa tunafuatilia sana bahati ya kuwa na Watoto wenye sura za kupendeza kwa kuzaa na Wanaume wenye muonekano na pia ubongo mzuri wa kuwawezesha Watoto kung’ara na kufaulu masomoni kwa kuzaa na Wanaume werevu, Mtu akitaka kupata mimba anawapa kazi Watu ya kutafutiwa kidume cha mbegu”





#Hii imekaaje kwa majirani
 
Chai hii...Kenya wanawake wanaongoza kwa kuuza nyama zile sperms za kwenye condom wanapeleka kuuza kwenye hospital zao Nchi nyingi za kibepari hizi mambo wanafanya wanunuzi wa nyama wengi wana watoto wasiowajua...
 
Biashara ya kununua mbegu za Wanaume imeonekana kunoga na kushika kasi katika Kaunti ya Murang’a nchini Kenya ambapo baadhi ya Wanawake wanawalipa Wanaume hadi Ksh. 300,000 (Tsh. mil 5.1) ili wafanye nao mapenzi na kuwapachika mimba.

Wanaume wanaopendelewa zaidi katika biashara hiyo ni walio na umri wa kati ya miaka 20 hadi 40 lakini wawe ambao wanasoma au wamehitimu kozi za masomo ambazo Wanawake hao wanaojimudu kimaisha (Miss Independents ) wanaziona ni za Watu werevu, aidha Wanawake wengi wamesema wanapendelea Wanaume warefu na walio na rangi ya ngozi ya wastani, yaani si weupe sana na si weusi kupindukia.

Kituo cha Televisheni cha NTV Kenya kimeripoti kuwa Mwanamke mmoja mjini humo amekiambia chombo cha habari cha Taifa Leo kwamba siku hizi Wanawake wanaojimudu kimaisha hususani kiuchumi hawataki usumbufu na stress za ndoa na badala yake wamesema “Sisi tunatafuta tu mbegu ili tuzae na kuendeleza kizazi”.

“Licha ya kwamba tunanunua mbegu lakini katika kuzaa tunafuatilia sana bahati ya kuwa na Watoto wenye sura za kupendeza kwa kuzaa na Wanaume wenye muonekano na pia ubongo mzuri wa kuwawezesha Watoto kung’ara na kufaulu masomoni kwa kuzaa na Wanaume werevu, Mtu akitaka kupata mimba anawapa kazi Watu ya kutafutiwa kidume cha mbegu”





#Hii imekaaje kwa majirani
Waje tz wanasifa zote, tena watz hawana muda wa kufanya fujo barabarani wao ni bakora tu, mwezi tu ndimu zinaisha magengeni
 
Chai hii...Kenya wanawake wanaongoza kwa kuuza nyama zile sperms za kwenye condom wanapeleka kuuza kwenye hospital zao Nchi nyingi za kibepari hizi mambo wanafanya wanunuzi wa nyama wengi wana watoto wasiowajua...
Source iyo hapo
20230730_081836.jpg
 
Mhhh... dili hiyo,mchongo huo maana hizo sifa ninazo..😳😳

Ngoja niwahi sirari au longido
 
Haa Murang'a Wanawake Wameamua
Rombo Nako Kulitikisa Wakati Wake Mpaka Watu Wakaenda Kusaidia
 
Haa Murang'a Wanawake Wameamua
Rombo Nako Kulitikisa Wakati Wake Mpaka Watu Wakaenda Kusaidia
 
Lakini sio ilimradi Mwanaume, bali mwenye vigezo.

Mojawapo ya kigezo ni Mwanaume mwenye akili [emoji123]

Ila Mwanaume akiwa kilaza ni mtihani mkubwa aisee!


Kuna minimum understanding ambayo Mwanaume anatarajiwa kuwa nayo akiikosa kuwa nayo ni shida kubwa hususa anapokuwa Na mwanamke kipanga.

Afadhali azae na kilaza mwenzie!
 
Biashara ya kununua mbegu za Wanaume imeonekana kunoga na kushika kasi katika Kaunti ya Murang’a nchini Kenya ambapo baadhi ya Wanawake wanawalipa Wanaume hadi Ksh. 300,000 (Tsh.mil 5.1) ili wafanye nae mapenzi na kuwapa mimba.

Wanaume wanaopendelewa zaidi katika biashara hiyo ni walio na umri wa kati ya miaka 20 hadi 40 lakini wawe ambao wanasoma au wamehitimu kozi za masomo ambazo Wanawake hao wanaojimudu kimaisha (Miss Independents ) wanaziona ni za Watu werevu, aidha Wanawake wengi wamesema wanapendelea Wanaume warefu na walio na rangi ya ngozi ya wastani, yaani si weupe sana na si weusi kupindukia.

Kituo cha Televisheni cha NTV Kenya kimeripoti kuwa Mwanamke mmoja mjini humo amekiambia chombo cha habari cha Taifa Leo kwamba siku hizi Wanawake wanaojimudu kimaisha hususani kiuchumi hawataki usumbufu na stress za ndoa na badala yake wamesema “Sisi tunatafuta tu mbegu ili tuzae na kuendeleza kizazi”.

“Licha ya kwamba tunanunua mbegu lakini katika kuzaa tunafuatilia sana bahati ya kuwa na Watoto wenye sura za kupendeza kwa kuzaa na Wanaume wenye muonekano na pia ubongo mzuri wa kuwawezesha Watoto kung’ara na kufaulu masomoni kwa kuzaa na Wanaume werevu, Mtu akitaka kupata mimba anawapa kazi Watu ya kutafutiwa kidume cha mbegu”


Keny wametuzidi kwa kila kitu, hadi mambo ya ajabu ajabu.
 
Back
Top Bottom