Kenya bids to host Africa continental free trade area headquarters

Kenya bids to host Africa continental free trade area headquarters

Ila ww wa Turkana unakula vzur oh my gosh bahat nzur mihogo siijui na huo uchafu wa sukuma week siutambui
Hebu laza mwili wewe zumbukuku wa kitanzania ambaye hajui umuhimu wa sukumawiki. Mtazidi kutawaliwa na utapiamlo nyinyi. Mnakula mihogo na chai ya mkandaa,ugali na uji mkishiba mnakuja kuringia watu mitandaoni jinsi mna chakula kingi.
Badilikeni.wapeni watoto wenu lishe bora ili kuzuia vifo na muache KUWATOA KAFARA
 
Umelipa kodi kwenye appartment usije furumushwa.naweka appointment nakuja kesho kutwa kwako sawa.
Duh hahaha nyie hamna maisha had kutembeleana kwa appointment duh
Hebu laza mwili wewe zumbukuku wa kitanzania ambaye hajui umuhimu wa sukumawiki. Mtazidi kutawaliwa na utapiamlo nyinyi. Mnakula mihogo na chai ya mkandaa,ugali na uji mkishiba mnakuja kuringia watu mitandaoni jinsi mna chakula kingi.
Badilikeni.wapeni watoto wenu lishe bora ili kuzuia vifo na muache KUWATOA KAFARA
 
1108086
 
Because Tanzania haija bid kuhost basi nitaunga mkono Kenya wapewe.
Tatizo la Kenya ni misifa. Hawajui bila kura zetu hawapati kitu! Badala ya kuwanyenyekea wapiga kura wako (nchi za EAC) unaanza kutamba sijui oooh ni Nairobi tu.
Hawajajifunza kutoka kwenye kile kinyanganyiro cha uenyekiti wa AU Commission?
 
Back
Top Bottom