Ummayed
JF-Expert Member
- May 21, 2019
- 6,155
- 2,580
Ila ww wa Turkana unakula vzur oh my gosh bahat nzur mihogo siijui na huo uchafu wa sukuma week siutambui
Hebu laza mwili wewe zumbukuku wa kitanzania ambaye hajui umuhimu wa sukumawiki. Mtazidi kutawaliwa na utapiamlo nyinyi. Mnakula mihogo na chai ya mkandaa,ugali na uji mkishiba mnakuja kuringia watu mitandaoni jinsi mna chakula kingi.
Badilikeni.wapeni watoto wenu lishe bora ili kuzuia vifo na muache KUWATOA KAFARA