PANTHERA LEO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 2,307
- 3,437
Mahakama za kishenz unawezaji kutoa hukumu without undergoing DNA TEST ili ku verify Kama kweli alimbaka?Msichana anae fahamika kwa jina la "Dorcas" amekiri na kuomba msamaha kwa baba yake kwa kosa la kumsingizia baba yake kuwa ali m-baka.
Inasemekana dorcas alishinikizwa na mama yake kumshataki baba kwa kum-baka ili baba afungwe jela na wao wachukue mali
Kisa iki kilitokea miaka kumi iliyopita na mpaka sasa baba huyo amesha tumikia miaka kumi jela!
Hii ni fedhea nyingine kwa mama zetu.
(samahani kwa uhandishi m-bovu, imeniuma sana)
(Citizen TV Kenya)
Nimeitoa kwa @milard ayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo walichukua hizo mali?
Muacheni amalize kifungo....Sharia inasemaje hapo? Jamaa ataachiwa huru ama ataendelea kumaliza muda wake
Amefungwa maishaMuacheni amalize kifungo....
Alifungwa miaka kumi na ameshatumikia miaka kumi
Aliomba kufanya DNA judge akamwambia ni expensive,akawambia atalipa judge akamjibu muda ushapita wa kufanya DNAMahakama za kishenz unawezaji kutoa hukumu without undergoing DNA TEST ili ku verify Kama kweli alimbaka?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dizaini kama mama alitembeza hela mzee afungwe ili achukue maliMahakama za kishenz unawezaji kutoa hukumu without undergoing DNA TEST ili ku verify Kama kweli alimbaka?
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah hapo hata kama tunasisitizwa kusamehe ni ngumu kumsamehe huyo mwanamke,pengine unaweza kumsamehe mtotoMuacheni amalize kifungo....
Alifungwa miaka kumi na ameshatumikia miaka kumi
DNA test ni hisia za kuhisi kuwa alcholalamika binti ni ukweli mtupu.Mahakama za kishenz unawezaji kutoa hukumu without undergoing DNA TEST ili ku verify Kama kweli alimbaka?
Sent using Jamii Forums mobile app
Walichukua Mali mama akauza mashamba akaolewa na mtu mwingine watoto wakasambaratika kwahiyo binti kabaki yatima ameona afichue Siri kwamba alisingizia babayake Kwa kushinikizwa na mama yake ili wachukue MaliKwa hiyo walichukua hizo mali?
DNA test ni hisia za kuhisi kuwa alcholalamika binti ni ukweli mtupu.
Sent using Jamii Forums mobile app