KENYA: Binti akiri kumsingizia babake kumbaka na kupelekea afungwe kifungo cha maisha

KENYA: Binti akiri kumsingizia babake kumbaka na kupelekea afungwe kifungo cha maisha

Kwa comment yako tu nishajua kiwango chako cha elimu! Mngeendelea na masomo kidogo mgepunguza huo ujinga uliowajaa wewe na hao wajinga wenzio waliolike utumbo ulioandika.
Fanya hivii, Fungua tovuti ya NEWYORK TIMES (ni gazeti la marekani) kwenye search bar andika 'father rapes daughter' ama 'serial rapist/killer' kwenye hiyo orodha ndefu fungua hata link mbili angalia picha ya mtuhumiwa coz kusoma najua hutoweza alaf uje na ujinga mwingine tofauti
700-65539-Certified-Idiot.jpg
 
Jamii forum should have a policy where 'forumers' should meet a bare minimum of intelligence ili kujiunga. I can't believe I'm sharing a platform with your likes! Its a new low for me.
 
Huyo mama kabila gani mkuu?
Sasa we kama mtanzania unataka kujua kabila la huyu mama wa kikenya ndo ufanyeje... Binadamu katili ni Katili haijalishi kazaliwa wapi wala kabila ghani.... Unataka ujue kabila lake ili uendelezee 'stereotyping' ya makabila flani.... This is the definition of negative ethnicity...
 
Swim
You're worthy a ' CERTIFIED INANE ' on this rostrum.
Says (whatever it is you meant) someone who thinks mzungu is her God. Swim in your ignorance, honestly I couldn't care less. Just dont procreate. One of you is enough for a couple of generations
 
Vipo vituko vingi vya wanawake tena vya kijinga . Hapo amemhurumia kwa kumuachia uhai , huwa wanaua kabisa kisa kumiliki mali . Kuitwa mama mwenye nyumba ndio issue !

Sent using Jamii Forums mobile app
Cha kushangaz unaweza oa mali kazikuta ila anavyokuja kujifanya ana machungu na Mali Sasa ndo hatari hukawii kukosana na jamaa zako chunga Sana hao watu
 
Aliomba kufanya DNA judge akamwambia ni expensive,akawambia atalipa judge akamjibu muda ushapita wa kufanya DNA

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo judge anatakiwa aingize jela yeye au auawe . Sharia za Bible zilikuwa nzuri sana. Huyo judge angefungwa jiwe la kusagia shingoni na kutupwa baharini huko ndiko kutakuwa kilio na kusaga meno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom