CHE Raptino
JF-Expert Member
- Mar 11, 2017
- 1,027
- 1,068
Hujakutana nao tu!Hahaaa....wanawake wa bongo wanaheshima Sana sidhani kama hizo zipo kwetu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujakutana nao tu!Hahaaa....wanawake wa bongo wanaheshima Sana sidhani kama hizo zipo kwetu!
Sasa hao wanaume ni kwamba wanawaachia wake zao wawapige Kwa upendo ama ni udhaifu mkuu!!Nilikua nasikia wanaume wa Kenya wanaopigwa na wake zao huwa hawalii kabisa hata mguno hakuna kutokana na kukwepa aibu kwa majirani,
Sasa unaambiwa wanawake ndio wamekua wakitake advantage kwenye hiyo situation kwa kushusha kichapo cha mbwa mwizi mpaka kupelekea baadhi yao kuzirai kabisa,
Wengine wanaopata auheni ni wale wanaopigwa na wake zao lakini wakati wanapokea kichapo huwa wanalia kama wanawake ili kufunika kombe mwanaharamu apite, Tatizo lao ni kwamba majirani wakija kuamua hao wanaopigwa ndio wanakua wakali kuruhusu msaada wa wasamaria wema.
So mpaka wanaanzisha huo umoja wao usidhani ni mchezo mchezo wamehaso
😀😀😀😀😉
😀😀😀😀😉 usinambie ndani aongei? Mbona aliweza kuwaita watu wapumbavu
Haji na hata akija hachangii akichangia tu kichapo labda aje kulala hukuhuku JF!njoo MK254 hahahahahaha
Unaambiwa alipigwa na mkewe hadi akavunjwa mguu😀😀😀😀😉 usinambie ndani aongei? Mbona aliweza kuwaita watu wapumbavu