Kenya: Chama cha kutetea wanaume dhidi ya unyanyaswaji wa kijinsia chaanzishwa

Wanaume wa Kenya wana sura nzuri,macho ya kurembua na matako makubwa makubwa kuliko wanawake nilishangaa sana afu sauti zao nyororo
 
Sasa hao wanaume ni kwamba wanawaachia wake zao wawapige Kwa upendo ama ni udhaifu mkuu!!
 
Vyenye jamaa wa KE wanachezea kichapo kutoka kwa bibi zao hadi wanaamua kuanzisha association?? interesting
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…