Kenya, Chinese firms to build "Friendship City" in Nairobi

Aisee sasa China Town inahusiana vipi na huu mradi? Au kwasababu wao ndio wameshirikishwa kwenye ujenzi kwa akili zako finyu ndio ukajua inamaanisha kwamba wao ndio wataishi kwenye hiyo Friendship City? Soma taarifa ya mada hii vizuri kwanza kabla ya kurukia kwenye comment.
 
Wat about LNG plant 30bn USD ..in Mtwara only

Sent using Jamii Forums mobile app
huo mtambo wa LNG ndo unagharimu 90% ya hio pesa, Lapsset project ni vitu tofauti kama Resort City in LAke Turkana, Lamu port, High grand falls dam ambayo ndo itakua Kenyas largest water reservoir itakua inashilia 5 billion cubic litters of water kutumika hilo eneo, barabara zaidi ya 7,000km, industrial city Lamu... etc... Yani Lapsset itafikia 70% of Kenyas landmass
 
Mtawaamini sana lakini uzi huu utakuja kufukuliwa siku moja
Hata utukane haisaidii kitu
Hao business people from China ni watoto wa mama yako eti
Wanapokuja kuwekeza unajua hela zao zinatoka wapi
Unajua kutakatisha hela duniani kumeshamiri sana


Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Good step,brozers

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha majungu bana. Kenya tunawaza biashara. Bado hatujafikia hatua ya kuwashobokea wachina. Kuwapa zawadi za wanyama pori wetu kama twiga na kupakiza meno ya tembo kwenye ndege ya viongozi wa China kama mlivofanya nyie watz wakati wa utawala wa msanii wenu kikwete. Tena sijakutusi, unataka kujadili ila hutaki kuelezwa kwamba hujaelewa mada ya uzi huu? Hivi hujasoma na kuelewa kwamba huu mradi ni wa kampuni binafsi ya kikenya na sio wa serikali?
 
Kila kitu ni Nairobi, miradi yote ya serikali ni Nairobi tu, projects zote na foreign investments zote destined in Nairobi.

Ndio maana njaa inaua counties za pembezoni mnasema huko sio Kenya, okay now I know Kenya ni Nairobi

Technicaly the project is in Athi River, Machakos County...not Nairobi. Ever heard of Nairobi Metropolitan region? This includes sections of Machakos, Kiambu and Kajiado. Map ndio hiyo.

 
Hiv lappest hela ni goverment ,,ppp, au loans?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Technicaly the project is in Athi River, Machakos County...not Nairobi. Ever heard of Nairobi Metropolitan region? This includes sections of Machakos, Kiambu and Kajiado. Map ndio hiyo.

View attachment 1051105
Hawa wakurupukaji bado hawatakuelewa hata ukiwaekea ramani. Wakome kabisa kufananisha Nairobi Metropolis na vitu vya kipuuzi. Jiji la Nairobi lipo kwenye ligi nyingine bana.
 
Nimeuelewa vizuri na kujua pia kuna wachina wafanyabiashara ambao watakuja pia sasa mbona huwazungumzii hao pia
Halafu kama ni ujambazi na wizi tunazijua takwimu
Pole jirani lakini mjue tunawapenda hahaha

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
sasa ndio umeambiwa hii ya nairobi ndio itakuwa china town...hebu jiongeze..
 

m nina rafiki mchaga pia...yani anaipenda sana kenya...kila siku wenzake wanasumbua kw simu awape connections waje hku wajitafutie rizki..
 
Kwaiyo mmewatoa kafara wakenya wa turkana
Kweli akili za mkenya hazitofautiani na chizi watu wanakufa njaa lenyewe limevimbiwa githeri linasema waache wajifunze.

Sent using Jamii Forums mobile app
km ufugaji wa msituni ni poa...na wewe pia nenda ukajaribu kuwa mfugaji turkana kw miezi sita tu km hutorudi kwenu tandale...

tukisema jamaa waamke tunawapenda sana...wewe unaishi msituni hutaki maendeleo..leo mko hapa kesho mumeshahamia kwengine..kwnn usitafute mbinu mbadala...mbna wafugaji wa kibantu hawaishi na mifugo yao mwituni....

yani ikija idshu ya njaa kenya ukiona picha au kw news ni wafugaji tu kila mahali...kwnn sehemu zengine za kenya hakuna njaa km ile ya kwao...mbna wao tu kila mwaka
 
Happiness ipo Nairobi tu kwingine ni kilio mfano Turkana
 
You are a fool, you want Stiglier ijengwe Dar kwani kuna river huko? Pipeline enye inatoka Uganda how do you expect it to start from Dar na iishie Dar? Are there gasses in Dar? You need to go and consult a doctor.
Tanzania sisi miradi mikubwa hata haipo Dar, chukulia Uganda pipeline, stiglierz gorge, sgr (destined to dodoma), natural gas project, and so forth lakini Kenya miradi yote ipo Nairobi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
This is Kitale, show me anything like this in whole of Tz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti sisi tumejazana Dar? You must not be serious, naomba population density ya Nairobi in relation to the geographical area versus Dar πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ sasa mngekua na magnitudes of slums everywhere?
 
Nyie wenyewe mnaenda arusha and moshi as your best tourist destinations in Tanzania achilia Dar Mwanza and Zanzibar hiyo ina maana hayo maeneo ni best kuliko Kenya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…