Kenya, Chinese space station deal alarms US

Kenya, Chinese space station deal alarms US

Ulitaka tukuje tanzania? Mchina ameendelea kiteknolojia, mzungu pia ndiyo kwa sababu tunaenda kusoma kwao. Nyinyi mnaopenda masomo ya gumbaru mtatusaidia nini?
Kwanza kiteknolojia Tanzania ik na nini ya kuonyesha dunia ama hata afrika?
Mtakuja uzwa kutegemea wanaume wenzenu...kwanini msianzishe chenu....
 
Elimu ya tanzania ni bora. Sema wewe hupendi vile ikifundishwa kwa lugha ya kuafrika. Unataka ifundishwe kwa lugha ya kiingereza. English lugha tu sio utàalamu. Mafundi wangapi hawajui kimgereza lakini ndo basic blocks katika kujenga nyumba na kufanya installation za umeme. Ma engineer wanaojua kingereza wanabaki wanawatumatuma tu. Lakini kiuhalisia kazi inafanywa na ma artisan na matechnician
Yani hata wakati AU kupitia African Institute for Mathematical Sciences (AIMS) ilichagua wanasayansi 25 wa afrika hakuna hata mtanzania mmoja alikuwemo.
 
WFP nayo ilisema watanzani wengi akili zao hazikui vizuri kwa sababu ya kula mihogo na maharage tu kutoka utotoni.


Angalia hapo, ili ujifunze from me what is going on in your kenya, or you blindfold yourself your sense to cherish yourself !!!!, very funny🤣🤣

Screenshot_20200928-214326.png
 
Nachoongea hapa ni kwamba. We need to be more afrocentric na kutengeneza cha kwetu kwanza na kua na unity moja. Wazungu wana umoja ambao sisi hatuna na ule umoja wao unawapa nguvu moja kubwa sana. Tuna kaa tunagombana tanzania vs kenya. Tunasahau kumuona invisible enemy ambae ametu exploit miaka 400 iliyopita.
Ya i know technoligy ni muhimu. Lakini iwafaidishe waafrika. Musiruhusu watu kutoka nje wakaingilia business za ndani za kiafrika ambazo zinatakiwa ziwe za siri na uzalendo
Ulitaka tukuje tanzania? Mchina ameendelea kiteknolojia, mzungu pia ndiyo kwa sababu tunaenda kusoma kwao. Nyinyi mnaopenda masomo ya gumbaru mtatusaidia nini?
Kwanza kiteknolojia Tanzania ik na nini ya kuonyesha dunia ama hata afrika?
 
Mwafrika ndo binadamu pekee alietofauti na binadamu wote dunuani. Wote waliobaki ni wazungu kasoro mwafrika. Ndo maana hata mikutano ya G8 superpowers huwezi kukuta nchi ya africa. Inamaana wazungu ndo wanaitana kudiscuss kucontrol dunia. Na je wajua G8 zipo nchi zipi. Hapo mdo utajua wazungu ni wapi na waafrika(black) ni wapi
Hata hiyo G8 Kenya, ethiopia, Nigeria na south africa ndizo nchi hualikwa kuka kwa hizo vikao.
 
Yani hata wakati AU kupitia African Institute for Mathematical Sciences (AIMS) ilichagua wanasayansi 25 wa afrika hakuna hata mtanzania mmoja alikuwemo.
Who is AU? nyerere alivokufa na AU ilikufa. No african union. Now its LIVE drama movie in AU. there is no seriousness.
Na hao wanasayansi walienda ulaya kutumika kama watumwa. Wametumia akili zenu kujinufaisha. Amkeni
 
Depression ni rahisi kutibu, kichaa wengi huwa hawaponi.
WFP nayo ilisema watanzani wengi akili zao hazikui vizuri kwa sababu ya kula mihogo na maharage tu kutoka utotoni.

Ukumbuke hizo akili zenyu ambazo hazija mature, huwafanya mfikirie mnaeza jilinganisha na Kenya.




Wala hawakusema wakenya wameugua depression, wamesema Wakenya wana matatizo ya kiakili, hiyo depression umesema wewe.
 
Apparently the US, which is killing multilaterism all over the world with its demented foreign policies, is worried about its percieved supremacy. What a colourful joke! They can't have it both ways. China will without doubt continue trampling them down, like its their birthright.
 
Hata hiyo G8 Kenya, ethiopia, Nigeria na south africa ndizo nchi hualikwa kuka kwa hizo vikao.
We unajidanganya kweli. Watakua wanaalikwa kwenye fungulia mbwa. Yani baada ya kikao kale ka mda ka kurelax na kuchekeshana.
 
Mtu mmoja wakati Kenya iko na maelfu wakiwemo Prof Calestous Juma anayefunza Harvard University, Prof Mzenga Wanyama Augsburg University,Prof Peter Mbati Vice Chancellor Sefako Makgatho Health Sciences University Pretoria, South Africa, Prof Magdalene Anyango Namakhia University for the Creative Arts London, Prof Yotto ochieng Head of the Centre for Transport Studies at Imperial College London. He also serves as Director of the Engineering Geomatics Group and Chair of Positioning and Navigation Systems etc List ni ndefu

Top Kenyan scientist unveils ARV drug to be used once a year
News
Dr Menach Pyeko Owen feted as world youngest scientist
Kenyan scientist starts work on Sh20bn drugs, research centre
Kenya Marine and Fisheries Research Institute - A Kenya Scientist Receives Global Recognition

Kwa ufupi wakenya wamesoma kushinda watanzania.
 
Who is AU? nyerere alivokufa na AU ilikufa. No african union. Now its LIVE drama movie in AU. there is no seriousness.
Na hao wanasayansi walienda ulaya kutumika kama watumwa. Wametumia akili zenu kujinufaisha. Amkeni
We uliskia wapi eti wanasayansi wakenya wanafanya research za Wazungu?.😂😂
 
We uliskia wapi eti wanasayansi wakenya wanafanya research za Wazungu?.😂😂
Huyo ni wale wa kukaa na kungoja serikali iwafanyie kila kitu. Imjengee nyumba, ilishe bibi na watoto wake wote 12.
 
Who is AU? nyerere alivokufa na AU ilikufa. No african union. Now its LIVE drama movie in AU. there is no seriousness.
Na hao wanasayansi walienda ulaya kutumika kama watumwa. Wametumia akili zenu kujinufaisha. Amkeni
Hao walikuwa ni wana sayansi waliochaguliwa kwa kujaribu kutatua shida za afrika na wakaonekana hao ndiyo 25 bora. Wewe ulitaka watatue shida za wapi?

Unajiita genius lakini naona mtoto wangu wamiaka 4 ako na akili kushinda watanzania wengi.
 
Hao walikuwa ni wana sayansi waliochaguliwa kwa kujaribu kutatua shida za afrika na wakaonekana hao ndiyo 25 bora. Wewe ulitaka watatue shida za wapi?

Unajiita genius lakini naona mtoto wangu wamiaka 4 ako na akili kushinda watanzania wengi.
Shida gani ya africa ilitatuliwa na hao wanasayansi
 
Shida gani ya africa ilitatuliwa na hao wanasayansi

Kabla umalize kusoma hiyo ya Africa CDC

2019: Microsoft walifungua Research and development centre ya technology hapa nairobi
Microsoft sets-up Africa's first R&D hub in Nairobi - African Strategic-Ventures

2020: Microsoft wanafungua ingine (Microsoft Africa Research centre) tena hapa hapa Nairobi
Microsoft announces new Africa Research Institute to improve productivity in work, health, society - MCGH | Microsoft Africa and Middle East breaking news

Unaona kwa nini masomo ni muhimu?
 
Back
Top Bottom