Wivu wa kike babaa si nikununulie sketi?Hiyo tunnel yao ni fupi sana sio 7" kilometers acheni uongo
Na tunnel refu zaidi Africa ni hii ya morogoro kwa tunnel za train π Africa π
Pia wewe this days umekuwa mama?What happened to double stuck bull shit!!
"Chinese completes"
Tunajuwa mmewachoka lakini msiwavunjie heshima kihivyo.
Unazani mimi kama wewe! Umekua mama mpaka umekuja na acnt ya kike then unaji ita sister horny [emoji2]Pia wewe this days umekuwa mama?
Stop calling your old model SGR, hiyo ni takataka ambayo wachina walitijengea ktk miaka ya 70s. Hebu eleza ukiacha upana wa kati ya reli, kuna tofauti gani ya msingi kati ya TAZARA na hiyo reli yenu?Sasa ukishikwa na wivu na hata SGR yenyewe haijaisha je ikiisha si tutapata ulijinyonga... slow down boy usikufe ungali mchanga, tungetaka kama Nyang'au ushuhudie SGR Kenya ikikamilika.
Sasa umekuwa horny?Unazani mimi kama wewe! Umekua mama mpaka umekuja na acnt ya kike then unaji ita sister horny [emoji2]
Wakenya mlivyo wala rushwa, hilo tunnel usikute limepigwa 10% na ipo siku litakuja kuanguka na kuua watuThe second longest railway tunnel in Africa was on Monday completed after months of construction.
View attachment 876585
The SGR Ngong tunnel became the longest railway tunnel in East Africa and second in Africa.
It stretches for 7.41km which is second to the Hex River Tunnels in South Africa which stands at 13.6km.
The route runs from the Em-Bulbul SGR tunnel in Kajiado County and joins the Ngong one to complete part of the second phase of the SGR project.
The project takes the railway line from Nairobi to Naivasha and onward to Narok.
According to the Kenya Railways management, laying of tracks is the next step after completing the tunnel.
The Ngong tunnel has been designed as a single-track railway path with a clearance height of 7.6 metres and a width of 6.4 metres constructed using the three-bench seven-step excavation method.
Benching refers to the creation of a series of steps in the vertical wall of an excavation to reduce the height and ensure stability during construction.
Rocks are blasted to create the tunnelβs arch shape.
The tunnel project which is funded by the Exim Bank of China cost Ksh 150 million.
Construction of the Naivasha line started in January with the production of parts like T-beams and sleepers.
Kenya Completes 2nd Longest Railway Tunnel in Africa [PHOTOS]
Hii yetu old school inakusumbua hadi ukafungua Uzi...leave us to our own devices bro...pili pili usioila inawashia mdomo yako nini[emoji23] [emoji23]Stop calling your old model SGR, hiyo ni takataka ambayo wachina walitijengea ktk miaka ya 70s. Hebu eleza ukiacha upana wa kati ya reli, kuna tofauti gani ya msingi kati ya TAZARA na hiyo reli yenu?
Stop calling your old model SGR, hiyo ni takataka ambayo wachina walitijengea ktk miaka ya 70s. Hebu eleza ukiacha upana wa kati ya reli, kuna tofauti gani ya msingi kati ya TAZARA na hiyo reli yenu?
Isis umetoa wapi hii picha?
kama hata kupiga deki ni mchina basi mliowakosesha wakenya kazi Mungu anawaona.Bahati nzuri au mbaya macho yangu haya kuumbwa na camera ndani, lakini niliwaona.
View attachment 876824View attachment 876825
18 tunnels aggregate is 8km here one tunnel is 7km..why do you shame yourselfTazara is over 8km tunnels.View attachment 877100
umewashinda wote, kina nani?Furaha yangu ni kuwa na kila kitu kizuri kuwashnda wote, iwe handaki wala nini...
Nimetaka tofauti ya kitaalamu iliyopo kati ya TAZARA iliyojengwa na wachina na hiyo mnayojengewa na wachina miaka 40 baadae. Tofauti iliyopo ni upana tu kati ya reli, kama kuna tofauti ingine tafadhali ninaomba unielimishe.Tazara ni mavi ya kuku ama ya nguruwe
Aisee, hii nimeiweka akiba.
Maneno kama haya, mkawaambie watu wa nchi kama Togo au CAR lakini sio sisi tunawaona vile mmechoka mbaya.2nd only to SA Yani tunakimbizana na Afica's finest sio laziest( Tanzagiza). Najua ndani unaumia ila vumilia tu mtaja fika siku za vitukuu wenu.
Tena Nyang'au anaweka picha sio edited videos za sekunde 60 za uzinduzi kuwamulika wakubwa wa serikali wakizurura zurura mle.
Ni wakenya wenyewe ndio wamejiliza, mimi sio mkenya.kama hata kupiga deki ni mchina basi mliowakosesha wakenya kazi Mungu anawaona.