Atarudia maneno yake ya siku zote kuwa mpaka sasa hakuna mgonjwa hata mmoja aliyethibitika kuwa na coronatunasubiri tamko la Ummy Mwalimu
Kabisa mkuu wakati kenya mpaka waliandaa ward in case of emergency ila sisi hatuna habari tupo bize na wapinzaniAtarudia maneno yake ya siku zote kuwa mpaka sasa hakuna mgonjwa hata mmoja aliyethibitika kuwa na corona
Not reallyWe are done!!
Wafiche taarifa ili iweje... Acha upopoma weweHapa kwetu hua wanajitahidi kuficha taarifa km pyongyoung.,....muda utasema tu
Wewe ushaandaa makaburi mangapi?Kitu kinavuka boda namanga loh..
au kitatokea rombo!!!
Tuandae makaburi mapema maana hatuwezi kulivuka hili likiingia, ukizingatia Serikali yeneywe ya kikuda.
Huu ndio muda wa Mungu kujithibitisha ukuu wake kwetu vichwa ngumu
Mkuu bongo majanga kama haya huwa yanakata kona.Bongo ni suala la muda tu
πKitu kinavuka boda namanga loh..
au kitatokea rombo!!!
Tuandae makaburi mapema maana hatuwezi kulivuka hili likiingia, ukizingatia Serikali yeneywe ya kikuda.
Huu ndio muda wa Mungu kujithibitisha ukuu wake kwetu vichwa ngumu
Juzi kanisani kwetu tulikuwa na maombi hayoNashangaa wachungaji hujitangazi "waleteni wakoma, wenye ukimwi, viwete etc" sijasikia wakisema wenye corona.
Maelfu wamepoteza maisha huko Mungu wako alikuwa amelala au..?Kwann mkuu πππ