Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Tanzania tumechukua hatua gani so far?Poleni sana majirani mjaribu kusimamisha muingiliano wa safari za ndege haswa kutoka mataifa yaliyoathirika! maana dalili za Coronavirus huchukua si chini ya siku 5 kuonekana!
Umeambiwa tz hakuna isolation centers?haya mkuu Titicomb tutajifunza kwa wenzetu
kwani nilikutag mkuu povu la nini sasa mask zenyewe hamna madukaniUmeambiwa tz hakuna isolation centers?
Tanzania tumechukua hatua gani so far?
Kenya maduka yote yana mask?kwani nilikutag mkuu povu la nini sasa mask zenyewe hamna madukani
wanasema kinga ni bora kuliko tibaKha!!! So ulitaka pharmacy zote ziwe na mask ndo ujuwe kuwa tumejiandaa sio
PumbavuMkuu kwa taarifa yako Corona virus is a HOAX!
Hapa Africa haiwezi kuathiri kitu.
Hapa Bongo jihadharai na Ukimwi,Hepatitis B, Ugonjwa wa moyo na magonjwa mengine mabaya.
So unaongea jambo usilolijua.... Let's end herengoja aje akujibu MK254
[emoji48][emoji48][emoji48]Kitu kinavuka boda namanga loh..
au kitatokea rombo!!!
Tuandae Vyakula na mahitaji majumbani mapema maana hatuwezi kulivuka hili likiingia, ukizingatia Serikali yeneywe ya kikuda.
Huu ndio muda wa Mungu kujithibitisha ukuu wake kwetu vichwa ngumu
nimekutag picha ya ummy yeye mwenyewe hajavaa mask na yupo mpakani halafu unasema tumejiandaa πππππππππ mataga hamnaga jipyaSo unaongea jambo usilolijua.... Let's end here
Mkuu kwa taarifa yako Corona virus is a HOAX!
Hapa Africa haiwezi kuathiri kitu.
Hapa Bongo jihadharai na Ukimwi,Hepatitis B, Ugonjwa wa moyo na magonjwa mengine mabaya.