When and how to use masksnimekutag picha ya ummy yeye mwenyewe hajavaa mask na yupo mpakani halafu unasema tumejiandaa πππππππππ mataga hamnaga jipya
asante kwa kuja kaka tunaamini wenzetu mmejipanga vizuri, heko kwa wizara ya afyaMuda wa kupoteana kwenye hii nchi.
Ukiziweka fikra zako katika upande fulani wa shilingi ni ngumu sana mtu kukushawishi kuhama upande huo ikizingatia ushakuwa mtu mzima sasa... Na mimi natambua hiyo hali so wacha nikupe ushindi..πππ...you win.hapa waziri anadhihirisha kuwa mask zipo za kutosha mpaka yeye ameshindwa kuvaa Drone Camera
Aaaah nzige walijichop wakapitia Uganda wakaliwa wote kule.Tuliambiwa Nzige wameshafika Kenya wanafika Bongo muda wowote, kiko wapi?
Ashapata corona sasa... Tusubir amuambukize raisnimekutag picha ya ummy yeye mwenyewe hajavaa mask na yupo mpakani halafu unasema tumejiandaa πππππππππ mataga hamnaga jipya
Sidhani hata kama hapa ataelewa... Yeye anataka aone wananchi wote wavae mask popote pale na maduka yote nchini yauze mask... Very silly argument.
Unga tera mkuu kama sie tulivyoungaNaomba mods mtuwekee translation huku siye tusiojua kingereza tunapata tabu sana[emoji24][emoji24][emoji24]
Acha kujidanganya hayo makanisa yana pigania sadaka tu yanajua corona ikiingia ndiyo mwisho wa kupata sadaka hadi sasa hivi yameanza kubuni njia ya kutuma sadaka kupitia Simu endapo ugonjwa utafika tzJuzi kanisani kwetu tulikuwa na maombi hayo
Makanisa ya kweli na watumishi wa Kweli wapo ila hawajitangazi tuView attachment 1386801
Sent using Jamii Forums mobile app
Imekuwa verified na nanKuna post naiona sana kutoka kwa Millard ayo inasema colona imeshaingia tz hii imekua verfied jmn
Uelewa wa watu bado mdogo sana kwenye hili.Sidhani hata kama hapa ataelewa... Yeye anataka aone wananchi wote wavae mask popote pale na maduka yote nchini yauze mask... Very silly argument.
SureUelewa wa watu bado mdogo sana kwenye hili.
Nimekua naifatilia website ya WHO kwa ukaribu sana, hasa kipindi kama hichi. Maana watu wamekuwa wakitoa taarifa nyingi za kupotosha.Sure
hahahhapa waziri anadhihirisha kuwa mask zipo za kutosha mpaka yeye ameshindwa kuvaa Drone Camera
Acha kujidanganya hayo makanisa yana pigania sadaka tu yanajua corona ikiingia ndiyo mwisho wa kupata sadaka hadi sasa hivi yameanza kubuni njia ya kutuma sadaka kupitia Simu endapo ugonjwa utafika tz
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana.... Wapotoshaji kwa sasa ni wengi.Nimekua naifatilia website ya WHO kwa ukaribu sana, hasa kipindi kama hichi. Maana watu wamekuwa wakitoa taarifa nyingi za kupotosha.
Una uhakika unacho kisema lakini? .Mkuu kwa taarifa yako Corona virus is a HOAX!
Hapa Africa haiwezi kuathiri kitu.
Hapa Bongo jihadharai na Ukimwi,Hepatitis B, Ugonjwa wa moyo na magonjwa mengine mabaya.