Kenya confirms first case of Corona Virus

Sasa hivi utawasikia manabii na mitume wetu wa Bongo wakitangaza maombezi ya kucha yanayoponya Covid 19 - Watatuambia kuwa tatizo ni mapepo wachafu na waganga waliowaroga. Watasema maombezi na kufunguliwa ndio njia ya pekee ya kutibu maradhi yooooote, pamoja na ukimwi, kansa na Corona - TUKATAE KUDANGANYWA
 
Mkuu kwa taarifa yako Corona virus is a HOAX!
Hapa Africa haiwezi kuathiri kitu.
Hapa Bongo jihadharai na Ukimwi,Hepatitis B, Ugonjwa wa moyo na magonjwa mengine mabaya.

Usiwaze kuhusu ugonjwa tu
Angalia uchumi duniani ulivyoathirika
Kama wazungu wanaathirika hivyo ujue kila kitu kitapanda bei Na recession inakuja jiandae


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Haya mkuu ukimwi mimi nina utibu hauna shida Ebola sijafanya utafiti wa dawa yake.

Safi mkuu, na its a matter of time, magonjwa yote yaingiyo mwilini, mwili eventualy inajitengenezea kinga ya asili.
Leo Afrika watu wanatembea na viini vya malaria na hawaumwi hadi vijitengenezee kuzidi kinga ya mwili.
Mzungu vijidudu viwili tu vya malaria vinamwondoa duniani, hana kinga asili.
 
Kitu muhimu kwa sisi Watu weusi ni usafi ndio kitu bora sana, pasipo na usafi wa mwili na mahali tunapo ishi maradhi yoyote yatakayo kuja yatatuondoa duniani haraka. Usafi kitu muhimu sana kwa afya ya binadamu.
 
Waongo hao wachina wametengeneza silaha ya sumu ya Corona Virus ili kukitokea vita wapate kuitumia kuuwa Watu kwenye Vita. Kuna mtu mmoja ameitoa hiyo Silaha kiwandani kuja nayo nje ndio ikasababisha watu wapatwe na Maambukizi ya Silaha hiyo Aka Corona Virus .Wachina wanajuwa kile walicho kifanya. Wachina wanakula miaka mingi Popo na nyoka wa aina zote zile mbona hawaja patwa na hayo Maradhi feki ya Corona Virus? ni Maradhi ya kuteneneza kwenye Viwanda vya silaha za Sumu.
 

Hawa wenzetu wako vizuri sana kutangaza hali halisi ilyopo tofauti na huku Tz, kila kitu siasa.
 
asante kwa kuja kaka tunaamini wenzetu mmejipanga vizuri, heko kwa wizara ya afya

Hiki kitu kinawatesa wenye uchumi na teknolojia za hali ya juu, sisi Waafrika sijui tutatoka vipi maana kikigonga Uswazi yaani tutaangamia sote.
 
Bongo mpaka watu wafe ndio utasikia hatua madhubuti zitachukuliwa.
Kusikia kwa Kenge..
 
Yeye anataka mask tu... Ziuzwe pote tuvae wote
 
This topic is very controversial!!!! China or US???
 
Hii hapa janja yao....
 
Hawa wenzetu wako vizuri sana kutangaza hali halisi ilyopo tofauti na huku Tz, kila kitu siasa.
Hivi vitu hakuna siasa kama ikitua wataitangaza tu... Sioni sababu ya kuficha kama ikigundulika... Seems watu hawaamini covid haijafika bongo... Na tutaipata sababu mnaiomba sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…