Kenya confirms first case of Corona Virus

Kenya confirms first case of Corona Virus

Sasa hivi utawasikia manabii na mitume wetu wa Bongo wakitangaza maombezi ya kucha yanayoponya Covid 19 - Watatuambia kuwa tatizo ni mapepo wachafu na waganga waliowaroga. Watasema maombezi na kufunguliwa ndio njia ya pekee ya kutibu maradhi yooooote, pamoja na ukimwi, kansa na Corona - TUKATAE KUDANGANYWA
 
Mkuu kwa taarifa yako Corona virus is a HOAX!
Hapa Africa haiwezi kuathiri kitu.
Hapa Bongo jihadharai na Ukimwi,Hepatitis B, Ugonjwa wa moyo na magonjwa mengine mabaya.

Usiwaze kuhusu ugonjwa tu
Angalia uchumi duniani ulivyoathirika
Kama wazungu wanaathirika hivyo ujue kila kitu kitapanda bei Na recession inakuja jiandae


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Haya mkuu ukimwi mimi nina utibu hauna shida Ebola sijafanya utafiti wa dawa yake.

Safi mkuu, na its a matter of time, magonjwa yote yaingiyo mwilini, mwili eventualy inajitengenezea kinga ya asili.
Leo Afrika watu wanatembea na viini vya malaria na hawaumwi hadi vijitengenezee kuzidi kinga ya mwili.
Mzungu vijidudu viwili tu vya malaria vinamwondoa duniani, hana kinga asili.
 
Safi mkuu, na its a matter of time, magonjwa yote yaingiyo mwilini, mwili eventualy inajitengenezea kinga ya asili.
Leo Afrika watu wanatembea na viini vya malaria na hawaumwi hadi vijitengenezee kuzidi kinga ya mwili.
Mzungu vijidudu viwili tu vya malaria vinamwondoa duniani, hana kinga asili.
Kitu muhimu kwa sisi Watu weusi ni usafi ndio kitu bora sana, pasipo na usafi wa mwili na mahali tunapo ishi maradhi yoyote yatakayo kuja yatatuondoa duniani haraka. Usafi kitu muhimu sana kwa afya ya binadamu.
 
Waongo hao wachina wametengeneza silaha ya sumu ya Corona Virus ili kukitokea vita wapate kuitumia kuuwa Watu kwenye Vita. Kuna mtu mmoja ameitoa hiyo Silaha kiwandani kuja nayo nje ndio ikasababisha watu wapatwe na Maambukizi ya Silaha hiyo Aka Corona Virus .Wachina wanajuwa kile walicho kifanya. Wachina wanakula miaka mingi Popo na nyoka wa aina zote zile mbona hawaja patwa na hayo Maradhi feki ya Corona Virus? ni Maradhi ya kuteneneza kwenye Viwanda vya silaha za Sumu.
 
Hii ni habari mpasuko inayotangazwa muda huu na Waziri wa afya wa Kenya.

Kwa kuanzia anapiga marufuku mikusanyiko yote.

Shule hazitafungwa kwa sasa

Mipaka yote kudhibitiwa.

View attachment 1386764
View attachment 1386765

------
The Kenyan Government has confirmed the first case of coronavirus in the country.

Health CS Mutahi Kagwe revealed that the patient is a woman who travelled from the U.S. to Nairobi through London.

“The case was confirmed yesterday (Thursday). She was confirmed positive by the National Influenza Lab,” he said.

According to the Health CS, the condition of the Kenyan woman is stable and her temperature has gone down to normal.

He said the patient is currently at the Kenyatta National Hospital and the Government has traced everyone that she was in contact with.

“What we have is a corona virus positive test. There is no cause for alarm, continue with regular activities,” CS Kagwe said.

The CS further said that Kenyans must take seriously the guidelines issued to prevent infection.

These include thoroughly wash hands and use alcohol-based sanitizer and 1 meter distance from a person who is sneezing or coughing.

Further, a person who is coughing or sneezing should stay at home and avoid crowds..”We have suspended all public gatherings meetings, games, events, church crusades. Churches can have services as long as they have sanitizer,” he added.

Schools are to remain open but inter-school games cancelled, the CS said adding that all visits to prisons are also suspended for the next 30 days.

He also warned against spreading panic on social media platforms saying: “Kenyans must not abuse social media platforms or indulge in acts that will place fear.”

“At the moment, there is absolutely no need for panic or worry provided we keep having the precautionary measures,” the CS added.

“If you take Matatus, buses, trains, we are giving public transport special intervention,” he said.

Hawa wenzetu wako vizuri sana kutangaza hali halisi ilyopo tofauti na huku Tz, kila kitu siasa.
 
asante kwa kuja kaka tunaamini wenzetu mmejipanga vizuri, heko kwa wizara ya afya

Hiki kitu kinawatesa wenye uchumi na teknolojia za hali ya juu, sisi Waafrika sijui tutatoka vipi maana kikigonga Uswazi yaani tutaangamia sote.
 
Bongo mpaka watu wafe ndio utasikia hatua madhubuti zitachukuliwa.
Kusikia kwa Kenge..
 
Mkuu nilisahahu kukuambia kuna daktari bingwa wa magonjwa ya virusi ya milipuko alisema kwa kesi ya Coronvirus mask hizi za kawaida wanazo uza maduka ya dawa hazisaidii sana.
Kasema labda mask zile maalumu kama unazo ona watu wanaohudumia wagonjwa wa Ebola wanavaa.

Mask zikinge na macho yako, anadai ile hewa yenye virusi ikifika machoni tu unaweza kaumbukizwa, ukigusana tu una ambukizwa, sasa jiulize kwa usafiri wetu wa dal dala na mwendokasi atapona mtu?

Mask imekuwa biashara tu, kasema kidogo zina saidia mgonjwa anae umwa asiambukize watu anapo kohoa.

Google "simple surgical face mask doesn't prevent Coronavirus" uone madokta bingwa kibao wamesema hilo jambo.
Ile mnapigwa pesa tu.
Yeye anataka mask tu... Ziuzwe pote tuvae wote
 
Waongo hao wachina wametengeneza silaha ya sumu ya Corona Virus ili kukitokea vita wapate kuitumia kuuwa Watu kwenye Vita. Kuna mtu mmoja ameitoa hiyo Silaha kiwandani kuja nayo nje ndio ikasababisha watu wapatwe na Maambukizi ya Silaha hiyo Aka Corona Virus .Wachina wanajuwa kile walicho kifanya. Wachina wanakula miaka mingi Popo na nyoka wa aina zote zile mbona hawaja patwa na hayo Maradhi feki ya Corona Virus? ni Maradhi ya kuteneneza kwenye Viwanda vya silaha za Sumu.
This topic is very controversial!!!! China or US???
 
Hii ni habari mpasuko inayotangazwa muda huu na Waziri wa afya wa Kenya.

Kwa kuanzia anapiga marufuku mikusanyiko yote.

Shule hazitafungwa kwa sasa

Mipaka yote kudhibitiwa.

View attachment 1386764
View attachment 1386765

------
The Kenyan Government has confirmed the first case of coronavirus in the country.

Health CS Mutahi Kagwe revealed that the patient is a woman who travelled from the U.S. to Nairobi through London.

“The case was confirmed yesterday (Thursday). She was confirmed positive by the National Influenza Lab,” he said.

According to the Health CS, the condition of the Kenyan woman is stable and her temperature has gone down to normal.

He said the patient is currently at the Kenyatta National Hospital and the Government has traced everyone that she was in contact with.

“What we have is a corona virus positive test. There is no cause for alarm, continue with regular activities,” CS Kagwe said.

The CS further said that Kenyans must take seriously the guidelines issued to prevent infection.

These include thoroughly wash hands and use alcohol-based sanitizer and 1 meter distance from a person who is sneezing or coughing.

Further, a person who is coughing or sneezing should stay at home and avoid crowds..”We have suspended all public gatherings meetings, games, events, church crusades. Churches can have services as long as they have sanitizer,” he added.

Schools are to remain open but inter-school games cancelled, the CS said adding that all visits to prisons are also suspended for the next 30 days.

He also warned against spreading panic on social media platforms saying: “Kenyans must not abuse social media platforms or indulge in acts that will place fear.”

“At the moment, there is absolutely no need for panic or worry provided we keep having the precautionary measures,” the CS added.

“If you take Matatus, buses, trains, we are giving public transport special intervention,” he said.
Hii hapa janja yao....
Hii ni habari mpasuko inayotangazwa muda huu na Waziri wa afya wa Kenya.

Kwa kuanzia anapiga marufuku mikusanyiko yote.

Shule hazitafungwa kwa sasa

Mipaka yote kudhibitiwa.

View attachment 1386764
View attachment 1386765

------
The Kenyan Government has confirmed the first case of coronavirus in the country.

Health CS Mutahi Kagwe revealed that the patient is a woman who travelled from the U.S. to Nairobi through London.

“The case was confirmed yesterday (Thursday). She was confirmed positive by the National Influenza Lab,” he said.

According to the Health CS, the condition of the Kenyan woman is stable and her temperature has gone down to normal.

He said the patient is currently at the Kenyatta National Hospital and the Government has traced everyone that she was in contact with.

“What we have is a corona virus positive test. There is no cause for alarm, continue with regular activities,” CS Kagwe said.

The CS further said that Kenyans must take seriously the guidelines issued to prevent infection.

These include thoroughly wash hands and use alcohol-based sanitizer and 1 meter distance from a person who is sneezing or coughing.

Further, a person who is coughing or sneezing should stay at home and avoid crowds..”We have suspended all public gatherings meetings, games, events, church crusades. Churches can have services as long as they have sanitizer,” he added.

Schools are to remain open but inter-school games cancelled, the CS said adding that all visits to prisons are also suspended for the next 30 days.

He also warned against spreading panic on social media platforms saying: “Kenyans must not abuse social media platforms or indulge in acts that will place fear.”

“At the moment, there is absolutely no need for panic or worry provided we keep having the precautionary measures,” the CS added.

“If you take Matatus, buses, trains, we are giving public transport special intervention,” he said.
IMG-20200313-WA0023.jpg
 
Hawa wenzetu wako vizuri sana kutangaza hali halisi ilyopo tofauti na huku Tz, kila kitu siasa.
Hivi vitu hakuna siasa kama ikitua wataitangaza tu... Sioni sababu ya kuficha kama ikigundulika... Seems watu hawaamini covid haijafika bongo... Na tutaipata sababu mnaiomba sana.
 
Back
Top Bottom