mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa wewe umekuwa DaktariPoleni sana majirani mjaribu kusimamisha muingiliano wa safari za ndege haswa kutoka mataifa yaliyoathirika! maana dalili za Coronavirus huchukua si chini ya siku 5 kuonekana!
Mkuu nilisahahu kukuambia kuna daktari bingwa wa magonjwa ya virusi ya milipuko alisema kwa kesi ya Coronvirus mask hizi za kawaida wanazo uza maduka ya dawa hazisaidii sana.mkuu una habari hata mask zimekua adimu kwa sasa?
Hapa kwetu hua wanajitahidi kuficha taarifa km pyongyoung.,....muda utasema tu
wewe falamanga peleka huo ubishi Kibera! Shenzy type!Sasa wewe umekuwa Daktari
Mafeelings wachia wanawakewewe falamanga peleka huo ubishi Kibera! Shenzy type!
na ujibambe na corona jinga wewe yaani unabisha vitu obvious vinafanyika all over the World!Mafeelings wachia wanawake
Hahah hii kitu imekuwa-catchy, uhuru au Mseveni akinyanyua mguu namna hii lazma alambe mchanga!
![]()
CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Matrixx
Chanzo ni supu ya popo!Chanzo cha huu ugonjwa ni nini?Ni nani ameuleta? kwa namna unavyovuka mipaka inakuwa kama ni kitu cha kimkakati.
ndo maana mnabaka vizee huko Kunyaland kwa akili za kipumbavu sasa hata kusalimiana kwa miguu ushafikiria kubaka! Mbwa kweli wewe! Anza na mamako!Badala ya kula hicho chakula safi anaamua kulipiga teke duh!!
Una matatizo ya kiakili wewe mzee, usiwe unanitaja kwenye vitu vya kipumbavu kama hivi. Watu wanaelimishana kuhusu virusi vya Corona alafu wewe hapo unamsifia Jiwe kwasababu alinyanyua mguu mmoja, umerogwa? Alafu nilikueleza kwamba hizi tags zako hazifanyi kazi wewe pimbi.Hahah hii kitu imekuwa-catchy, uhuru au Mseveni akinyanyua mguu namna hii lazma alambe mchanga!
![]()
CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Matrixx
Yet umejibu na hata foreign dignitaries wanaiga salamu ya JPM!Una matatizo ya kiakili wewe mzee, usiwe unanitaja kwenye vitu vya kipumbavu kama hivi. Watu wanaelimishana kuhusu virusi vya Corona alafu wewe hapo unamsifia Jiwe kwasababu alinyanyua mguu mmoja, umerogwa? Alafu nilikueleza kwamba hizi tags zako hazifanyi kazi wewe pimbi.
Kwani ni waziri wa afya nchini Kenya?Tunasubiri tamko la Ummy Mwalimu.
Yet umejibu na hata foreign dignitaries wanaiga salamu ya JPM!Una matatizo ya kiakili wewe mzee, usiwe unanitaja kwenye vitu vya kipumbavu kama hivi. Watu wanaelimishana kuhusu virusi vya Corona alafu wewe hapo unamsifia Jiwe kwasababu alinyanyua mguu mmoja, umerogwa? Alafu nilikueleza kwamba hizi tags zako hazifanyi kazi wewe pimbi.
Pumbavu
Corno virus inakufa katika joto zaidi ya 26 deg C.Sawa mkuu but huu ugonjwa upo pia middle east ambapo kuna joto sana..