ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,938
- 6,942
So painful, mwanamke apigwa vibaya na askari wa Kenya. Hivi mnasema nyie mna Katiba mpya? What kind of a social contract you entered that does not protect the rights of people?
Nawahakikishia, mna mazingaombwe siyo katiba.
Wangapi wameuwawa kisa kuzuia corona?
Wangapi wameachwa vilema kisa kuzuia wasitoke nje?
Nchi ya ajabu kweli. Hamna police wanawake? You are very poor.
Nawahakikishia, mna mazingaombwe siyo katiba.
Wangapi wameuwawa kisa kuzuia corona?
Wangapi wameachwa vilema kisa kuzuia wasitoke nje?
Nchi ya ajabu kweli. Hamna police wanawake? You are very poor.