Kenya debt to GDP ratio has officially crossed a 70% mark

Kenya debt to GDP ratio has officially crossed a 70% mark

Mkuu Geza ulole unalitendea haki hili jukwaa yani unawajuwa wakenya Kama sehemu ya ukoo wenu.

Ulitakiwa uwe ambassador wa Tz huko kwa wakenya maana unapiga za uso hapa jukwaani kwa facts siyo kwa kubahatisha.​
Hapana, balozi asiende watamchinja siku hiyo hiyo atakayofika Nairobi, jamaa ni wanyama kupitiliza.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Niliwaambia wangoje siku Kenya watasamehewa deni ndio waanze kuongea. By now Tanzania remains the only East African country to be forgiven their debt.
Yaani deni la mkulima tu ndio iliwashinda la Kenya wataweza kweli
 
Shidako unapost links bila kusoma, Itali haikusamehea Kenya deni. They just converted that debt to charity in order to help slum dwellers.
Hahahaha, chizi wewe. Kusamehewa deni kunakuwa na sababu nyingi tu, lakini mwisho wa siku ni kwamba deni ulilokopeshwa linakua limefutwa.

1)Wanaweza kukusamehe deni ili hiyo pesa ambayo ulipaswa kuwalipa wao wakakuambia itumie kununua dawa za kupambana na Corona, au ipeleke kujenga makazi ya watu wako masikini.

Lengo lao ni kuhakikisha kwamba pesa walitosamehe inatumika ipasavyo badala ya kunufaisha wanasiasa au kununulia silaha, hiyo yote ni kusamehe deni.

Nchi chache Sana ambazo wanaziamini hakuna rushwa au matumizi mabaya ya fedha serikalini ndio wanaweza kusamehe deni bila kuweka maelekezo ya wapi hizo pesa ziende kutumika.
 
Wewe hakuna unachoelewa hapo, ni kama huko na deni yangu alafu nikuambie baadala unilipe hiyo deni make sure umelipia gate keeper wako expenses zake. Hiyo sio kusamehewa deni kwa sababu bado lazima ntalipa hile deni lakini sio kwa mwenye alipea bali kwa mtu mwingine and that`s what happened between Kenya and Italy.
Hahahaha, chizi wewe. Kusamehewa deni kunakuwa na sababu nyingi tu, lakini mwisho wa siku ni kwamba deni ulilokopeshwa linakua limefutwa.

1)Wanaweza kukusamehe deni ili hiyo pesa ambayo ulipaswa kuwalipa wao wakakuambia itumie kununua dawa za kupambana na Corona, au ipeleke kujenga makazi ya watu wako masikini.

Lengo lao ni kuhakikisha kwamba pesa walitosamehe inatumika ipasavyo badala ya kunufaisha wanasiasa au kununulia silaha, hiyo yote ni kusamehe deni.

Nchi chache Sana ambazo wanaziamini hakuna rushwa au matumizi mabaya ya fedha serikalini ndio wanaweza kusamehe deni bila kuweka maelekezo ya wapi hizo pesa ziende kutumika.
 
Wewe hakuna unachoelewa hapo, ni kama huko na deni yangu alafu nikuambie baadala unilipe hiyo deni make sure umelipia gate keeper wako expenses zake. Hiyo sio kusamehewa deni kwa sababu bado lazima ntalipa hile deni lakini sio kwa mwenye alipea bali kwa mtu mwingine and that`s what happened between Kenya and Italy.
Kwani nani mwenye jukumu la kumlipa huyo gate keeper wako?, hiyo ni sehemu ya matumizi yako, kwasababu asingekusamehe hiyo pesa, ulipaswa utafute pesa kwa njia tofauti ili umlipe huyo gate keeper, au usingemlipa pesa yake.

Yeye ili kuhakikisha kwamba gate keeper wako anaendelea kupata mshahara wake, ndio akakuambia hiyo pesa yangu nimekusamehe lakini usiende kunywea pombe badala yake mlipe huyu Gate keeper[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani nani mwenye jukumu la kumlipa huyo gate keeper wako?, hiyo ni sehemu ya matumizi yako, kwasababu asingekusamehe hiyo pesa, ulipaswa utafute pesa kwa njia tofauti ili umlipe huyo gate keeper, au usingemlipa pesa yake.

Yeye ili kuhakikisha kwamba gate keeper wako anaendelea kupata mshahara wake, ndio akakuambia hiyo pesa yangu nimekusamehe lakini usiende kunywea pombe badala yake mlipe huyu Gate keeper[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila JPM ni kiboko imagine 25th November mkandarasi wa SGR Mwanza-Isaka anatangazwa! Wakati jirani aliyekuwa akishindana nasi kwenye ujenzi wa SGR kagomea Naivasha tena na kwa kukopa right and left mpaka kuwa credit unworthiness.

Sasa yupo hoi na unexpected Corona debts! Right now GDP to debt ratio is over 70% na tayari analilia clemency maana anashindwa kulipa madeni ambayo yana-consume 49% ya budget allocation inayoenda ku-service madeni!

Believe me SGR Kenya haitafika Malaba milele! Na tunaenda kuchukua cargo ya Uganda; by 2025 Uganda cargo will be distributed 50:50 btn Tanzania and Kenya!

 
Tuletee pia deni la Marekani, Japani na kadhalika humu....acheni ushamba watanganyika, nchi tajiri hukopesheka sana tena sana kwa maana ina uwezo na ubavu wa kulipa,benki siku zote huchunguzaa uwezo wa kulipa tu kabla hawajaidhinisha mkopo wowote hata hao matajiri wakuu kabisa hupewa mikopo kubwa kubwa ajabu ,weye kanyaboya kajamba mlala hoi hukopesheki abadan kahtan, labda shilingi nane za madafu tena kwa mara moja tu,ila tajiri hupewa hundi nono, tena akirudi kabla ya kumalizia malipo huongezewa tena na tena.
kalb hayawani hawa.
 
Ila JPM ni kiboko imagine 25th November mkandarasi wa SGR Mwanza-Isaka anatangazwa! Wakati jirani aliyekuwa akishindana nasi kwenye ujenzi wa SGR kagomea Naivasha tena na kwa kukopa right and left mpaka kuwa credit unworthiness.

Sasa yupo hoi na unexpected Corona debts! Right now GDP to debt ratio is over 70% na tayari analilia clemency maana anashindwa kulipa madeni 49% ya budget alllocation inaenda ku-service madeni!

Believe me SGR Kenya haitafika Malaba milele! Na tunaenda kuchukua cargo ya Uganda by 2025 Uganda cargo will be distributed 50:50 btn Tanzania and Kenya!


Hata nashangaa mie..hahahhah
Wewe hakuna unachoelewa hapo, ni kama huko na deni yangu alafu nikuambie baadala unilipe hiyo deni make sure umelipia gate keeper wako expenses zake. Hiyo sio kusamehewa deni kwa sababu bado lazima ntalipa hile deni lakini sio kwa mwenye alipea bali kwa mtu mwingine and that`s what happened between Kenya and Italy.
 
Tuletee pia deni la Marekani, Japani na kadhalika humu ushamba watanganyika, nchi tajiri hukopesheka sana tena sana kwa maana ina uwezo na ubavu wa kulipa,benki siku zote huchunguzaa uwezo wa kulipa tu kabla hawajaidhinisha mkopo wowote hata hao matajiri wakuu kabisa hupewa mikopo kubwa kubwa ajabu ,weye kanyaboya kajamba mlala hoi hukopesheki abadan kahtan ,.labda shilingi nane za madafu tena kwa mara moja tu,ila tajiri hupewa hundi nono, tena akirudi kabla ya kumalizia malipo huongezewa tena na tena.
kalb hayawani hawa.
Mbona China aligundua hamna uwezo wa kulipa akaamua kukataa kuendelea kuwakopesha, kama mnakopesheka kwanini China imekataa japo kuifikisha Kisumu? Kama ni matajiri kwanini mnashindwa kulipa gharama zaeuendeshaji wa SGR za kila mwezi sasa ni miezi kumi hamjalipa PESA ya wachina wameanza kulalamika?
 
Mbona China aligundua hamna uwezo wa kulipa akaamua kukataa kuendelea kuwakopesha, kama mnakopesheka kwanini China imekataa japo kuifikisha Kisumu?. Kama ni matajiri kwanini mnashindwa kulipa gharama zaeuendeshaji wa SGR za kila mwezi sasa ni miezi kumi hamjalipa PESA ya wachina wameanza kulalamika?
Labda wamelalamika takoni mwako...halfu hao hao China wanajenga expressway..nenda kamsaidie mungu mtu wenyu wa hapo matopeni anapokonywa kiti mwaka huu........hamkwepi
 
Mbona China aligundua hamna uwezo wa kulipa akaamua kukataa kuendelea kuwakopesha, kama mnakopesheka kwanini China imekataa japo kuifikisha Kisumu?. Kama ni matajiri kwanini mnashindwa kulipa gharama zaeuendeshaji wa SGR za kila mwezi sasa ni miezi kumi hamjalipa PESA ya wachina wameanza kulalamika?

Haya ni maswali magumu sana kwa hawa mburura! take them slowly and lightly! 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏
 
Labda wamelalamika takoni mwako...halfu hao hao China wanajenga expressway..nenda kamsaidie mungu mtu wenyu wa hapo matopeni anapokonywa kiti mwaka huu........hamkwepi,,,,.....kalb wahid.
Tumalize kwanza kuhusu wachina kukataa kutoa pesa ya SGR baada ya kugundua hamna uwezo wa kurudisha mkopo, kuthibitisha umasikini wenu, mumeshindwa hata kumalizia kipande kilichobaki, hii imekaaje?
 
Back
Top Bottom