Kenya Election 2007: Outcomes

Koba, sijui kama kuna ulichobakisha!! Nakumbuka kumewahi kuandikwa kitabu juu ya kuuponda ukoloni wa mweupe kuwa uliudidimiza uhai wa mtu mweusi. Lol... kama ndo haya madudu, mbona bora huyo mweupe angerejea ati!?
 

Mh. Zitto kama upo hapa ndani naomba uwapatie akina Raila hii advais ambaye is very useful. Mh. Kithuku hii ndio uhalisia wa mambo. Aidha Raila atuelekeze sasa hivi au tukubali kwamba jamii moja Kenya ni royal family na malkia au mfalme wa Kenya lazima atakua anatoka jamii hii kama ilivyo Britain.
 
Mheshimiwa KT, umesikia nini kuhusu hali ya wananchi kutoka Kenya wanao cross border pale Namanga kuja upande wa TZ?
 
Mheshimiwa KT, umesikia nini kuhusu hali ya wananchi kutoka Kenya wanao cross border pale Namanga kuja upande wa TZ?

Sijafahamu kwamba haya yanafanyika. Nitachunguza kisha nilete infomesheni.

__________________________________

NAWAOMBA MUANGALIE HIZI VIDEO MJIONEE WENYEWE WAHESHIMIWA VILE MTU MMOJA NA WANDANI WAKE WANAWEZA CHEZEA UTAWALA

http://www.reuters.com/news/video?videoId=73552&videoChannel=1


MSIKIZENI MAKINI AKIAPISHWA HUYU ANAKUBALI KUWA YEYE NI MHALIFU.

http://www.reuters.com/news/video?videoId=73534&videoChannel=1
 
Rais Kichaka na serikali yake hawakuwa na msimamizi hata mmoja katika uchaguzi huu, lakini walikuwa wa kwanza kumpongeza Kibaki kwa ushindi wake bila hata kusubiri ripoti ya kutoka kwa wasimamizi wa uchaguzi. Nadhani wameshamnunua huyu kama kibaraka wao. Halafu ndio wanajifanya wasambazaji wa demorasi duniani kumbe ni wachochezi wa machafuko.

Hapa kuna video
http://www.guardian.co.uk/kenya/story/0,,2233659,00.html

130 killed in Kenyan election violence

Xan Rice in Nairobi and Haroon Siddique
Monday December 31, 2007
Guardian Unlimited

The death toll from violent clashes in Kenya has today risen to more than 130.
Violence erupted after the ruling president, Mwai Kibaki, declared himself victorious in disputed elections and was sworn back into office almost immediately.

Some of the worst clashed took place in Kisumu, the country's third-largest city and a stronghold of the opposition.

A morgue attendant told the AFP news agency that police had brought in 46 bodies, including three women and two children, overnight. He said more than 20 of the dead had multiple bullet wounds.

Reporters were shown seven other bodies in Kisumu's main hospital before they were transferred to the morgue.
Police, who have imposed a 6am to 6pm curfew in Kisumu, admitted opening fire on looters but would not comment on any deaths.

A police official in the capital, Nairobi, told AFP that 40 people had been killed overnight.

Protesters clashed with hundreds of riot police in the city's slums, and witness told reporters that 15 bodies were today scattered in different parts of the Korogocho area.

Three police told the Associated Press they had orders to shoot to kill. They said the orders had split the force, with many officers sympathising with protesters.

The opposition candidate, Raila Odinga, has dismissed the presidential vote as rigged.

Kibaki, who today vowed to "deal decisively" with voters, was sworn in for a second five-year term after the results were announced last night.

He had trailed in all opinion polls and all but the final count yesterday.

The UK Foreign Office advised Britons against all but essential travel to several parts of Kenya, including Nairobi city centre and some districts of Mombasa.

Ten people died in the Rift Valley provincial capital, Nakuru, and clashes between rival supporters in a village near Kapsabet left four dead, police said.

Two people were killed in Molo, and doctors in Kakamega, western Kenya's regional capital, said six had died from gunshot wounds.

The violence also spread to Mombasa, the eastern port which is Kenya's second largest city and had been previously been relatively free of unrest.

Six members of Kibaki's Kikuyu tribe were hacked to death with machetes by members of rival tribes who were looting their businesses, police said.

There were also clashes in Kibera - the capital and Kenya's biggest slum - today.

Police tried to stop Odinga's supporters leaving the area, and the protesters attempted to keep officers out. Thousands of young men on the streets chanted: "No Raila, no peace."

Supporters of Odinga burned cars, barricaded the slum and torched the Poi market, in which most stalls are owned by people from the Kikuyu ethnic group, of which Kibaki is a member.

Police used teargas and fired bullets into the air as Odinga supporters tried to leave the area for a planned parallel swearing-in ceremony at which the opposition leader was to adopt the title of "people's president".

The planned rally was later postponed until Thursday, when the opposition leader predicts that 1 million people will attend. "We are calling for mass action, peaceful mass action," he told reporters.

Kibaki was given 4,584,721 votes to the 4,352,993 tally for Odinga.

Odinga, a fiery former political prisoner, rejected the result, claiming rigging by the government and comparing Kibaki to the notorious Ugandan dictator Idi Amin.

"There is no difference between him and Idi Amin and other military dictators who have seized power through the barrel of the gun," he said.

A joint statement by the British Foreign Office and the Department for International Development cited "real concerns" over irregularities, while international observers refused to declare the election free and fair.

The EU's chief observer, Alexander Graf Lambsdorff, said that, in one constituency, his monitors had seen official results for Kibaki that were 25,000 votes lower than the figure subsequently announced by the electoral commission.

"Because of this and other observed irregularities, doubt remains as to the accuracy of the result of the presidential election as announced today," he added.

The US, which cooperates closely with the Kibaki government on anti-terrorism matters, initially congratulated the president on his re-election but today withdrew its acclaim.

"We do have serious concerns, as I know others do, about irregularities in the vote count, and we think it's important that those concerns ... be resolved through constitutional and legal means," the US state department spokesman, Tom Casey, said.


 
Hivi kiapo kinachofuatishwa ni kile cha maandishi? cha mdomo? au vyote? Maana, kama cha mdomo kimekosewa then kiapo ni batili! hence ....
 
KT
Happy New Year 2008!

Hahaha umeichomeka patamu. Mwenyewe nimejisahau kutoa heri za mwaka mpya kwa wana JF wote. Kumradhi, mambo yanaingiliana sana na yanasababisha wengine tunajisahau. Happy New Year to everyone in these forums!

Invisible
 
Hivi kiapo kinachofuatishwa ni kile cha maandishi? cha mdomo? au vyote? Maana, kama cha mdomo kimekosewa then kiapo ni batili! hence ....
 
Hivi kiapo kinachofuatishwa ni kile cha maandishi? cha mdomo? au vyote? Maana, kama cha mdomo kimekosewa then kiapo ni batili! hence...
Kuna habari kuwa hata aliyemwapisha sio Chief Justice, ni judge wakaida ambaye kikatiba hana madaraka hayo lakini wamelazimisha ili mzee aingie Ikulu.
 
Hahaha umeichomeka patamu. Mwenyewe nimejisahau kutoa heri za mwaka mpya kwa wana JF wote. Kumradhi, mambo yanaingiliana sana na yanasababisha wengine tunajisahau. Happy New Year to everyone in these forums!

Invisible

Mkuu Invisible,

Wengine bado tunasubiri, lakini inatosha na tuusubiri mwaka 2008 ili uwe wa amani zaidi.
 
Hivi kiapo kinachofuatishwa ni kile cha maandishi? cha mdomo? au vyote? Maana, kama cha mdomo kimekosewa then kiapo ni batili! hence ....

Lakini kweli make jamaa kasema ameapa kutenda uhalifu?? Yaani nimecheka japo naumia!

Wizi mbaya yaani!! duu?? sidhani kama hata huko kwa m7 alipo kimbilia ana raha.. sijui kwanini amekubali kumalizia maisha yake vibaya namna hii!! Lakini Bado ana nafasi, atamke tu kwamba anajiuzuru for the sake of Kenyans! hapo aweza rudisha kidooogo reputation yake.
 
Jamani taarifa zinasema, Kibaki hana uhusiano mzuri na M7., na pengine hata JK.... JK yeye hakuwa na jinsi, rafiki yake mkubwa Kalonzo hakuwa na nguvu yoyote
 
KT,
Asante saana kwa tarifa zote ambazo umekuwa ukituletea, hali iliyofikia Kenya kwa sasa hivi si muafaka kabisa kwa Raila kuchukua madaraka hali itakuwa mbaya saana kuliko ya sasa hivi. Nasema hivi kwa sababu ukitembelea kwenye forum za wa Kikuyu nakuta nao pia wanaona Raila ana makosa, hivy kaa kweli wa Kenya mnataka suluhisho mtu pekee anayeweza kuwaunganisha ni Kalonzo Musyoka, huyu ndo atumike kwenye serikali ya mpito vinginevyo mauaji yaliyoaanza tayari yanelekea kwenye chuki za wahutu na watusi.
Mh Zito, ushauri wako si muafaka hapa naona unachanganya vitu viwili hii si Ukraine, hawa kura zinapigwa kiukabila, angalia kura zilivyogawanyika kwenye BBCNEWS wamezitoa, hivyo hayo mandamano unayotaka yafanyike haraka yataokea mauaji ya ajabu kati ya hawa mahasibu wakubwa, tena tusije shangaa huyu KT kuwa ni Omela.
 
Happy New Year to all huku iraqi tushafyatua mabomu sasa nje shamra shamra...na tunaomba dua kwa ndugu zetu wa kenya..mungu awaondolee balaa hili la huyu kibaka mhalifu..hadi kwenye kuapa mungu kamuangazam kakosea..au hajakosea maana ndio anavyotenda
 

HESHIMA MBELE MH. YOMBA JAMENI. NAONA KIDOGO UKAJARIBU KUSEMA KWAMBA MIMI NAWEZA KUWA NA SUPPORT RAILA KWAJILI YA UKABILA BASI INAHUZUNISHA SANA. HIO ITAKUA NA MAANA KAZI YOTE TUMEFANYA KENYA FROM 1982 KUPANDA MEBGU ZA DEMOKRASIA TUKIWA VIONGOZI WA WANAFUNZI CHUOO KIKUU HADI SASA TUFUNZAPO KUKO HUKO NI KAZI BURE. NAJUA HAUMANISHI HILI LAKINI NI MUHIMU KUFAHAMU RAILA ANA SAPPOT YA MIKOA 6 AU 87% YA WAKENYA AU MAJORITY YA MAKABILA 40. DATA YA BBC NI DATA POTEVU, MAONI YA MH. ZITTO USIYAPUUZE ANA UELEWA WA SIASA ZA KENYA MPAKA HATA MIMI NADHANI KWAMBA YEYE NI MKENYA. SHUKRAN KWA MAONI YAKO MKUU YOMBA. KIBAKI MUST GO AND HE WILL GO.


HAPPY NEW YEAR KWA WAHESHIMIWA WOTE WA JAMBO FORUMS, MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
Hivi kiapo kinachofuatishwa ni kile cha maandishi? cha mdomo? au vyote? Maana, kama cha mdomo kimekosewa then kiapo ni batili! hence ....
kwa maana hiyo ni batili na sio raisi ifuatiliwe..kijulikane moja maana sio raisi kitakua kimekosea kote kote..walioandaa itakua wamefanya makusudi maana wanajua ni mhalifu
 
Hivi kiapo kinachofuatishwa ni kile cha maandishi? cha mdomo? au vyote? Maana, kama cha mdomo kimekosewa then kiapo ni batili! hence ....

Hii inatisha sana, raisi huyu mteule ameapa kutenda kazi zake za UHALIFU...!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…