Wakuu
Nitawaleteeni matokeo zinazotolewa na KTN sabab wako na higher numbers (more people in the field) na more updates baada ya kila mda usiokuwa mrefu sana:
MUHIMU: Haya ni matokeo ya vituo fulani ambazo zimemaliza kwenye maeneo mbali mbali nchini. Kuna vituo vingi ndani ya kila eneo bunge. Halaf kuna maeneo bunge 210 nchi nzima zimezogawanika ndani ya mikoa nane: Central (kwa kina Kibaki), Nyanza (kwa kina Raila), Eastern ( kwa kina Kalonzo), Rift Valley (Kwa Moi), Western, Coast, Nairobi na North Eastern. Vituo vyote vikishatuma hesabu zao katika eneo bunge fulani basi hesabu za jumla zitapigwa chapchap na mshindi wa eneo hilo anatangazwa. Basi msiwe na shaka hili likitokea mimi hapa chap kwafahamisha sitachelewa
Nchi nzima:
K - 55,373
R - 66,383
Ka - 7,894
Zote hapo chini zimefuata taratibu ifuatayo:
Kibaki
Raila
Kalonzo
Central
23,576
378
68
Nyanza
545
18,614
10
Rift Valley
6,793
21,052
311
Nairobi
9,577
9,245
2,440
Eastern
5,527
396
2,276
Western
5,404
9,971
851
Coast
1465
3814
221
North Eastern
1,085
2,377
219