Kenya Election 2013 Petition...Uhuru and Ruto's victory upheld.

Kenya Election 2013 Petition...Uhuru and Ruto's victory upheld.

Wakikuyu wanadai Uhuru ni chaguo la Mungu. It is a big mockery of democracy and rule of law. Yaani hata constitution inasemaje juu ya hili suala,majaji hawasemi. majaji wamepewa statement ya kusoma and then thats it!!!.

I think walianza vizuri kwa ku-televise the whole process BUT, they had made up their minds before the judgement.
Nani amewapa majaji hiyo statement ya kusoma?
 
Dont forget there are more than 1200 kenyans who died. Nani alihusika na mauaji haya, ndilo swali la msingi.

ICC walipelekewa kesi na hao hao kina uhuru wakijua itakuwa mchezo. walipoona wamejiingiza motoni - wakaanza kampeni za kudai kuwa ICC ni wabaya (sick). After all said and done, Uhuru was involved in the killing of kenyans (by omission or commission). Its unfortunate that he is using his financial muscles and being supported by Kibaki through Kikuyu gangs to frustrate the ICC and obviously denying justice to those he killed and displaced.

Some of us love ideals more than personalities.

Wale watu zaidi ya 1,000 waliopoteza maisha yao nawasikitikia sana maana mwishowe haki wanaweza wasitendewe kwa jinsi ambavyo kesi dhidi ya hao watuhumiwa inavyosambaratika.

Na sina hakika hata kama kuna mtu mmoja jela ambaye alihusika na hizo ghasia. Kama yupo basi itakuwa ni moja ya wale vidagaa lakini mapapa na nyangumi bado wanafurahia uhuru wao uraiani.
 
Katika hali isiyotarajiwa na wengi,mahakama kuu ya Kenya chini mwanasheria mkuu wa serikali Willy Mutunga,imetupitilia mbali hoja zilizotolewa na CORD,zakupinga matokeo ya uchaguzi.
Aliyekuwa mgombea urais Raila Odinga,huwenda akakata rufaa,kupitia wakili wake maarufu toka nchini Marekani.

ungwana ni vitendo.mkuu huyo wakili wa marekani hiyo rufaa ataikatia wapi na itasikilizwa wapi?supreme court ndo mwisho.majaji wametumia common sense ila kulikuwa na mapungufu mengi
 
... kheri kwa Rais Kikwete (Abdulrahman Kinana), Kibaki, Omar Al-Bashir (Najib Balala), Moi, Ruto na Uhuru!!!!!!!!!!!
 
Katika hali isiyotarajiwa na wengi,mahakama kuu ya Kenya chini mwanasheria mkuu wa serikali Willy Mutunga,imetupitilia mbali hoja zilizotolewa na CORD,zakupinga matokeo ya uchaguzi.
Aliyekuwa mgombea urais Raila Odinga,huwenda akakata rufaa,kupitia wakili wake maarufu toka nchini Marekani.
Uamuzi wa Supreme Court ndio wa mwisho. Hakuna rufaa.
Oginga sasa alie tu.

Macinkus
 
kwel nimeamin ng'ombe wa mackin hazai, na hata akiza basi anazaa dume!
sasa ni rasmi kenya ni ya wakikuyu tangu uhuru! ndugu zangu wakamba, waluo, kabila la kina laila wactegemee kuiongoza kenya! laila alikuwa na na mvuto kuliko uhuru, ila ukabila umefanya kaz yake!
hvi unazani mahakama ingefanya nini wakati asilimia karibu tisini ya majaji ni wakikuyu!
bora tanzania gape la ukabila sio kubwa kiivyo ni sisi watanzia tunashndwa kufanya maamuz kw nizamu ya woga tuliyonayo!

odinga urais aliuuza kwa kibaki na kuwatoa kafala walokuwa nyuma yake,acha aishie hapo hapo,jeramogi naye mpaka amezikwa analilia urais..!
 
Ukabila ni dhambi. Anayesema Uhuru atajaribu kukabiliana nao, hakika anajidanganya. Nani asiyejua kwamba Raila is far better than Uhuru lakini piga uwa wakikuyu kamwe wasingeweza kumpa kura Raila. Itachukua vizazi na vizazi kuondoa hali hii through affirmative actions from the top leader.
 
Hatimaye Mahakama kuu ya Kenya imeridhia ushindi wa Kenyatta kuwa ni wa halali na kutupilia mbali madai manne ya Odinga kupinga uchaguzi huo, hata hivyo Mh, Odinga amekubali hukumu ya mahakama na amempongeza mshindani wake Uhuru na amemtambua rasmi kama rais wa kenya..Hili ni funzo kwa wanasiasa wetu hapa nchini kuwa tayari kukubali kushindwa na kutambua mshindi.SOURCE: CHANNEL TEN
 
CDM,inabidi wajifunze kwa huyu raila,kwani ingawa roho inauma inabidi akubali tu.
Ili mwaka 2015,pasiwepo usumbufu

ungeongelea vyama vya siasa ungeeleweka vizuri lakini umejiaminisha chama cha siasa kilichobaki ni chadema ukisahau kuwa hata chama kilicho madarakani nacho hakina kinga katika hilo.
 
Ni kweli kabisa Kenya ni kinara wa demokrasia Afrika Mashariki na kwa kweli nafikiri ktk nchi zilizo kusini mwa Jangwa la Sahara.Ndio maana binafsi napenda na kufuatilia sana siasa za Kenya.

Uko kama Mimi ndugu napenda sana siasa za kenya
 
Mkuu habari hii ni sahihi ila imekuja kwa muda usio muafaka na siyo jukwaa lake.
 
Ukabila ni dhambi. Anayesema Uhuru atajaribu kukabiliana nao, hakika anajidanganya. Nani asiyejua kwamba Raila is far better than Uhuru lakini piga uwa wakikuyu kamwe wasingeweza kumpa kura Raila. Itachukua vizazi na vizazi kuondoa hali hii through affirmative actions from the top leader.
nipatie mifano kadhaa kuonyesha raila ni bora zaidi ya uhuru,na huo utafiti wako umefanya lini mkuu wangu?
 
Katika hali isiyotarajiwa na wengi,mahakama kuu ya Kenya chini mwanasheria mkuu wa serikali Willy Mutunga,imetupitilia mbali hoja zilizotolewa na CORD,zakupinga matokeo ya uchaguzi.
Aliyekuwa mgombea urais Raila Odinga,huwenda akakata rufaa,kupitia wakili wake maarufu toka nchini Marekani.
Mkuu nikusahihishe kidogo, Willy Mutunga ni Jaji Mkuu wa Kenya.
 
577265_10151474421543518_1256163534_n.jpg

Its all systems go as CORD does the final touches on this behemoth of a petition. This is going to be a shocker of biblical proportions as friends at the nerve center tell me. CORD already knows what they have and they simply need the information from IEBC for cross reference purposes. When the smoke clears and the dust is settled there will be no IEBC to run the next election for it will have to be overhauled. The resolve is firmly grounded as we know our 'cyber courts' have already adjudicated the case and if anything are saying 'Hakuna haja'. That's expected from somebody who is stealing from you because they don't want you to be aware of their pilfering ways.

I have confidence in the person of the Chief Justice Mr Willy Mutunga, a man appointed in a transparent vetting process by the JSC. He is a man of integrity who believes in the rule of law ever and has stood on the side of justice time and time again. Just yesterday he postponed the swearing of TSC commissioners because they have a case pending in court.


Standard Digital News - Kenya : Mutunga postpones TSC commissioners swearing in

So I said to myself if he has told these TSC chaps to hold on till their case is resolved, then somebody needs to tell those Jubilee fellows that the swearing in ceremony of the President-Select is not happening anytime soon. That is the how the law operates.

Thank God for the New Kenyan Constitution.

Now those who are keen know that the IEBC is starting from a very disadvantaged position when it comes to their ability to carry out an exercise of such huge magnitude. The ramifications not withstanding. The BVR failed and transmission mechanism put in place as a check and balance also failed. This is why the returning officers just walked casually into Bomas of Kenya with the forms showing tallying from various polling stations. Not accompanied or security whatsoever..mambo 'kienyeji styro!' These are not contested facts no matter how many excuses Mr Hassan tried to make. Hassan’s explanation has been that he used the manual stuff and relied on the form 36 which replaced the now infamous form 16. But Hassan should remember that the transmission requirement is part of the electoral laws for a reason. It provides the first check and balance in the system. It was recommended by the Kriegler team and enacted into law because in 2007, the the Returning Officers altered records so badly that even Mr. Kriegler agreed it was not possible to determine who won.

Therefore in as much as the final poll result had to come from the manual data, the constitution provided for that data to be cross checked with the provisional data transmitted directly from the voting location. Due to the failure of the transmission their is no provisional data to provide the check and balance that was supposed to be the first line of defense against electoral fraud. This posses a big problem for IEBC as they have directly contravened the constitution.

Now lets look at the rejected voters that kept on increasing steadily up to the 300K mark when the whole thing was called off. When Hassan was asked about he said that it was a bug multiplying things by 8. Now the problem becomes he will have to explain to the court how this whole thing works in the IT world. Now, I know I'm not IT guru but one thing I know for sure is that when you do something on the Internet there are 'always cyber footprints' that are left behind. If by any chance there is found any evidence of deliberate tampering to compromise the system (this is the word in the grapevine by the way) then IEBC are in for a serious spanking. This was too important an exercise for somebody to say they forgot to charge the batteries of the BVR kits and that's why they didn't work on the morning of the election. And we are supposed to believe such garbage!

Uhuru Kenyatta and his godfather Mwai Kibaki are busy trying to paint this crazy picture that the election is over lets move on. I beg to ask move on to what? This business of stealing elections needs to stop and it needs to stop now! We have to show these old geezers that that time is gone and this a new Kenya. I'm disappointed at Uhuru Kenyatta who I believed would be a breath of fresh air into Kenya's Presidency, yet he has chosen the same old archaic ways of stealing elections blatantly with the careless mta-do? posture. This is a very different Kenya! That is why Raila refused to accept the unilateral appointment of A. Visram as Chief Justice. If that had happened Uhuru Kenyatta would have been sworn in by now and a couple people locked up just to prove a point. Raila saved us that mess.

Thank God for The New Kenyan Constitution.

God Bless Kenya!

Lemmie get ready to go to the High Court.

Una la kuongea na mahekaya ya abunuwasi ulokuwa unayamimina humu jukwaani....acha ushabiki kwenye mambo usiyoyajua dr wa vitumbua
 
ulitaka aiweke au kupost wapi?wasomi wetu jamani kazi kweli.
 
I don't think he has conceded defeat. He has accepted the decision of the court as he promised he will do.

That is quiet different from conceding. And I agree with him.

I don't think he lost fairly and I don't think Uhuru won fairly either.

You are right. He has chosen to respect The Supreme Court's Verdict
 
Mkuu habari hii ni sahihi ila imekuja kwa muda usio muafaka na siyo jukwaa lake.
umeeleza ukweli kabisa.machadema hayataipenda hii habari. subiria mapro-chadema watakavyorapu hapa. mara ikapanda mara ikashuka.
 
Back
Top Bottom