1academ
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 2,316
- 3,567
tujipeni hongera kwa kupiga hatua za kweli, ni jambo la kutia moyo. ila seala nyeti ni wazee wa makinikia wametinga namba ngapi hapo kwenye list, maana najua na kauli zao za jaza ujazwe lazma hali sio nzuri..shikamooni waswahili mpo?[emoji3] [emoji3] [emoji109] [emoji90] [emoji191]