Kenya fourth in Africa as billionaires hit 356

KENPAULITE

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2017
Posts
3,511
Reaction score
3,313
SA its on its own league, Nigeria better watch out, we aunt that far, yet again we have trippled our noisy neighbours in the south.Alafu Kq hapo next is not really doing justice, proves a bitter point tho
 
Ni Sawa kujikubali lakini economic gap kati ya matajiri na masikini unaionaje? 70%ya ardhi imehodhiwa na familia nne, na ardhi ndio msingi wa uzalishaji, its clear to say Mafisadi na wazungu wa ukoloni 300 are dominant na mabilionea, kujilinganisha SA ni Sawa sababu politicians ndo wanaochochea kufukuza majirani na wafrica wenzao ilihali mchawi mnamjua vema
 

Majority of the developed world live in Urban areas.
They only land they own is the small piece their houses are on.

The large majority of the productive land is owned by large corporations or rich familes, for plantations.

Kenya and other MDCs are moving that way.
Tanzania and other LDCs are stuckin the old way.
 
Ushawahi kutana na hii kitu Tz [emoji23][emoji23][emoji23]

 
Data mpike nyie alafu mseme Tz wanapika[emoji23][emoji23][emoji23]


Kenya has a vibrant media. Tanzania ni kama Ethiopia na North Korea tu.
Hata habari za mauaji ya albino tunazisoma CNN na BBC.

Ile njaa na umaskini uko huko bongolala, Kenya labda tuitwe first world country.
 
For the nonsensical tanzanians, do you realise if we categorized millionaires and other sectors too we would quadruple your numbers respectively
 
Tanzania hakuna njaa kwa sababu haina wazembe wajinga kama nyie ambao ardhi inamililikiwa na wachache,
Kama hujui masikini wa Tanzania ana chakula cha kutosha na anaishi vizuri [emoji23][emoji23][emoji23]
Ushahidi ni yule journalist wenu,
Hayo mauaji ni past tense wakati hapo kwenu ukabila na njaa ni current news,
Ushawahi ona karne hii Tanzania ikipewa misaada ya chakula.
Kenya has a vibrant media. Tanzania ni kama Ethiopia na North Korea tu.
Hata habari za mauaji ya albino tunazisoma CNN na BBC.

Ile njaa na umaskini uko huko bongolala, Kenya labda tuitwe first world country.
 
Sasa mnatafuta nini humu na hizo uzi about Tz mnazofungua daily humu ni za kazi gani [emoji23][emoji23][emoji23]
Ingia kwenye hii tweet kasome comment za wakenya wenye akili sio poyoyo kama nyie mnaoneza chuki hapa JF


We don't bother following Tanzanian news.
Anayekufuata ni yule anataka kuwa kama wewe.
 
For the nonsensical tanzanians, do you realise if we categorized millionaires and other sectors too we would quadruple your numbers respectively
Na wewe ni bilionea wa ngapi hpo Kenya

Ova
 
Sasa mnatafuta nini humu na hizo uzi about Tz mnazofungua daily humu ni za kazi gani [emoji23][emoji23][emoji23]
Ingia kwenye hii tweet kasome comment za wakenya wenye akili sio poyoyo kama nyie mnaoneza chuki hapa JF



Lol.
This is the Kenyan section.
Wanaoleta thread za TZ hapa ni nyinyi tu bongolala.
 

Bad news sells faster, especially where there is a vibrant media.
Most of the time, the bad news affects 0.00001% of the population.

If Tanzania had a vibrant media, you would be getting relief food from even Rwanda and Burundi.
 
Embu soma nyuzi za hili jukwaa uone nyuzi zinazoletwa na wakunyaji kuhusu Tz zilivyo nyingi,
Nyie hamna akili Kabisa maana mlifunguliwa hili jukwaa maalum kwa mambo ya kenya ila kwa sababu nyie ni wajinga mkaona muwe mnapost habari za Tanzania [emoji23][emoji23][emoji23]
Lol.
This is the Kenyan section.
Wanaoleta thread za TZ hapa ni nyinyi tu bongolala.
 
Tanzania hakuna njaa kwa sababu haina wazembe wajinga kama nyie [emoji23][emoji23][emoji23]
Masikini wa Tanzania ana chakula cha kutosha kabisa na ana uhakika wa kula,
Yaani chakula kipo kingi sana hadi jana tulikiuza zim,
Hadi wazembe wa kenya huwa tunawauzia,
Usisahau pia counties zaidi ya 13 zinateseka na njaa kunyaland.
Bad news sells faster, especially where there is a vibrant media.
Most of the time, the bad news affects 0.00001% of the population.

If Tanzania had a vibrant media, you would be getting relief food from even Rwanda and Burundi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…