Kenya fourth in Africa as billionaires hit 356

[emoji23][emoji23][emoji23] endelea kujipa matumaini hapo gorokocho slum,
Masikini wa Tanzania ana chakula cha kutosha na ana maisha mazuri kuliko mkenya wa kawaida,
Failed state ninyi,

Dar is slum.
The biggest slum in the world.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Naona umehamisha magoli,
Nairobi ni makao makuu ya slum duniani,
Kenya kila county ina slums za kutosha,
Nairobi pekee zipo zaidi ya 10,

Dar is slum.
The biggest slum in the world.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umeua mzee...wao wanataka kila mtu awe mkulima...
Watu wanpigania kujijenga kiuchumi na kuishi maisha simple na freshy tu
 
Unamaanisha wahindi na waarabu..
 
Hta wamarekani pia huiponda nchi yao...
Sasa mnatafuta nini humu na hizo uzi about Tz mnazofungua daily humu ni za kazi gani [emoji23][emoji23][emoji23]
Ingia kwenye hii tweet kasome comment za wakenya wenye akili sio poyoyo kama nyie mnaoneza chuki hapa JF


 
Kenyan news inakuhusu na nn...sasa mjinga ni nani km unajua hku kumetengewa wakenya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wale waliosema KQ haimiliki ndege wako wapi???
 
So who owns the other 44.2% ?
 
SA its on its own league, Nigeria better watch out, we aunt that far, yet again we have trippled our noisy neighbours in the south.Alafu Kq hapo next is not really doing justice, proves a bitter point thoView attachment 1211837

This number of billionaires should be seen and reflected on wellbeing of the people. It's useless to have a big number of them, while the number of people who dying for hunger is on rising.
 
Kenya has a vibrant media. Tanzania ni kama Ethiopia na North Korea tu.
Hata habari za mauaji ya albino tunazisoma CNN na BBC.

Ile njaa na umaskini uko huko bongolala, Kenya labda tuitwe first world country.
Hzo past stories achana nazo tuongee current issues.
 
Kwa the Kq lenders company, 2 of the insitutions are owned by Gok, alafu mnasemanga kenya ni wazungu, owned country, see a kenyan representing
Kuwa serious, KQ ni public-private company. KQ ako na hizo 49% the rest share ni private own. KQ lenders ni consortium of banks ambao wamewekeza huko.

Hizo banks ndio utajua ni za wakenya au uchumi umeshikwa na wakenya.
 
Acha kelele nyingi
 
Kati ya hizo banks, ngapi are government owned?
Kuwa serious, KQ ni public-private company. KQ ako na hizo 49% the rest share ni private own. KQ lenders ni consortium of banks ambao wamewekeza huko.

Hizo banks ndio utajua ni za wakenya au uchumi umeshikwa na wakenya.
 
Huu ni bitting truth coz kuwa na ardhi kubwa ambayo haikusaidii kuondoa umaskini na ni less productive ni ujinga bora uwe na plot na bizness yenye inakufanya uishi good life
Huku Tzn watu wanadai wana ardhi lakini hakuna inachosaidia
 
Average food consumption ya Kenya iko juu kuliko Tanzania.
Na hii ni across all categories. Beef, poultry, cereals, fruits. etc.. Mpaka Turkana ikijumuishwa, Kenya iko juu kwa kg consumed per person per year.

80% of Tanzanians are malnourished.
Na hii hakuna wa kubisha maana kimo na thinking capacity vinaonesha na ambavyo takwimu tofauti na za gvt hazitoki ni dhahiri hali ni mbaya sana huko bongolala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…