KENYA GENERAL ELECTION 2017:harakati,kampeni na matokeo ya uchaguzi mkuu wa Kenya

KENYA GENERAL ELECTION 2017:harakati,kampeni na matokeo ya uchaguzi mkuu wa Kenya

KAFA.cOm

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2013
Posts
1,301
Reaction score
739
Mods ikiwezekana fanya hii thread iwe stick thread.
Kenya ni majirani zetu kwa zaid ya miaka kumi na tano nimekuwa mfatiliaji wa uchaguzi mkuu wa Kenya.
Nna uhakika member wengi wa jf wangependa kupata updates zote za uchaguzi huu!!!!!! MK254 na wenzako hebu tujuzeni yote yanayojiri mle ndani.
 
Uzi bomba sana.
Hivi kufikia leo, Uhuru alikuwa ametawazwa na vyama vinne muhimu sana katika uchaguzi uchao
Kanu
C_I2fJ7XUAEqTBY.jpg


C_JFDY8XoAEyDdT.jpg


Maendeleo Chapchap (MCC)
C_JGNQgWsAAafsH (1).jpg


C_JG0_dXkAAOISJ.jpg


C_JUiFCXYAAy8-E.jpg


NARK Kenya
C_JL_fbXcAArm3b.jpg
C_JL_faXgAEICsP.jpg


C_JPtH8XYAA39Ke.jpg


Frontier Alliance Party
C_JUiFCXsAAQ-kD.jpg


Na Chama chake sasa Jubilee
C_JG3ybXoAAvaUp.jpg


Sijui ana bahati huyu jamaa ana ni mipango yeye hupiga three steps before Raila, ikienda hivi, Raila amo taaban
 
Jamani, mwacheni tu UHURU atawale Kenya,
I like this man so much.
 
My advise to Kenyans don't go to polls tomorrow. Just stay home and kula ugali na maharage basi
 
Back
Top Bottom