Wanaume wanaojua kazi..kwanza kuonyesha kwamba wananeshi wenu hawakuwa na akili timamu ni zile size za bendera walizobeba..Badala ya maneno mengi unge tuonyesha paratroopers wa Tanzania wakitua at least we compare.
sijui ka unaongea kuhusu size ya bendera ama parachute anyway, a bigger parachute like the one in the above picture will make it easier to land safely due to slower descent which caused by viscous drag, this allows the soldier to land very gently. The big parachutes however are not designed to take a load any greater than the weight of the parachutist himself.Wanaume wanaojua kazi..kwanza kuonyesha kwamba wananeshi wenu hawakuwa na akili timamu ni zile size za bendera walizobeba..
View attachment 1808295
Hizo bendera zenu huoni kwamba ukubwa wake unaongeza ukinzani wa upeposijui ka unaongea kuhusu size ya bendera ama parachute anyway, a bigger parachute like the one in the above picture will make it easier to land safely due to slower descent which caused by viscous drag, this allows the soldier to land very gently. The big parachutes however are not designed to take a load any greater than the weight of the parachutist himself.
Now compare that to the kdfs military-grade parachutes which can carry more weight and where the soldier has to rely on taught technique to absorb the impact of the landing.
Na hiyo ni science ya wapi kwamba parachute dogo linakuwezesha kubeba uzito mkubwa? Na parachute kubwa iwe vice versasijui ka unaongea kuhusu size ya bendera ama parachute anyway, a bigger parachute like the one in the above picture will make it easier to land safely due to slower descent which caused by viscous drag, this allows the soldier to land very gently. The big parachutes however are not designed to take a load any greater than the weight of the parachutist himself.
Now compare that to the kdfs military-grade parachutes which can carry more weight and where the soldier has to rely on taught technique to absorb the impact of the landing.
Paratroopers was Kenya
hahaha ...bendera hufuata upepo .Here is even a bigger flagHizo bendera zenu huoni kwamba ukubwa wake unaongeza ukinzani wa upepo
Wanachoweza ni kutua beach..kwenye open fields..na hata huyo ametua vibaya...kuna makosa amefanya..ukiwaambia watue uwanjani wanatua kwa migongohahaha ...bendera hufuata upepo .Here is even a bigger flag
No excuse plzEnyewe tanzanians can be petty fools, if you think sky diving is risky try static line jump, the latter you have no control of your shute, unagonga chini kama mawe, you cant even stand
Boss mnatrainiwa na kenya tandem na skydiving jumpsNo excuse plz
Paratrooper wa UAE huyo.... Mnajiona wenye akili sana??? Utopolo tu, na hamna lolote! π€£ π€£ π€£ π€£ Bendera au kitambaa chochote chenye maandishi maalum hupeperushwa hivyo na wenye training za maana wanaojua wanafanya nini! Zinaitwa Jumbo Flags!Wanaume wanaojua kazi..kwanza kuonyesha kwamba wananeshi wenu hawakuwa na akili timamu ni zile size za bendera walizobeba..
View attachment 1808295
Wanatuonyesha picha, watupe video kamili tuangalie show hata sisi! π€£ π€£Instead of engaging in sideshows, I wish you would at least have put a video of TPDF paratroopers,btw apart from a few units which have basic training on paratrooping sidhani TPDF wana airborne battalion. Meanwhile kdf has two airborne battalions ( 20th Parachute Battalion na 30th Special Operations Battalion)
Hawa jamaa nao, hata ni AP sio GSU... π π π
Facts, mfano mzuri those static line jumps wanazofanya wanajeshi wa US wakitumia C-17 Globemaster, waweza cheka, most of them huanguka kwa makalio... π Alafu unasikia mtu anajimwambify hapa wakati hata sijaskia Battalion ya paratroopers kwao, na ka iko haizidi moja. π π πEnyewe tanzanians can be petty fools, if you think sky diving is risky try static line jump, the latter you have no control of your shute, unagonga chini kama mawe, you cant even stand
Tulivamia wenyewe kuanzia angani, land forces hadi baharini wenyewe bila msaada wowote, US wako Somali toka kitambo wakifanya yao ya drone strikes on specific targets! Tukawakombolea hadi 'bandari' lao, unasema nini wewe! Sahi tuko AU huko huko!Nyinyi kule somali mnasaidiwa na nani!!!!US na bado mnakamuliwa.
So na nyie mkaiga...mkaangukia puaParatrooper wa UAE huyo.... Mnajiona wenye akili sana??? Utopolo tu, na hamna lolote! π€£ π€£ π€£ π€£ Bendera au kitambaa chochote chenye maandishi maalum hupeperushwa hivyo na wenye training za maana wanaojua wanafanya nini! Zinaitwa Jumbo Flags!
π¦πͺ
View attachment 1808878
π°πͺ
View attachment 1808921
Mtapiga sana picha..na selfie kubalini uwezo wenu mdogoHawa jamaa nao, hata ni AP sio GSU... π π π
View attachment 1808923
Itabidi, hujui wakali wao hupiga picha ili waonyeshe ubora wao? Endeleeni kujificha/kufichwa kama magaidi... πMtapiga sana picha..na selfie kubalini uwezo wenu mdogo