KENYA: Government switches off NTV, Citizen TV and Radio!

Leo siku ya pili bado ntv, ktn na citizen bado vimefungiwa na waziri wa habari ameunda kamati kwa uchunguzi zaidi, kwa nini walikataa kutii agizo la serikali la kutokulirusha tukio hilo live (source BBC swahili)
 
Leo siku ya pili bado ntv, ktn na citizen bado vimefungiwa na waziri wa habari ameunda kamati kwa uchunguzi zaidi, kwa nini walikataa kutii agizo la serikali la kutokulirusha tukio hilo live (source BBC swahili)
Wameambiwa watafute njia mbadala, za kutafuta hela. Hamna namna waanze tu kufuga kuku wa broiler kwenye studio zao. Ufugaji wa kuku una faida sana. 🙂
 

Ni kweli bana katiba nzuri inayowapa uhuru wananchi ni suluhisho. Ninti Wakenya mmepata bahati sana ya kupata katiba ambayo mimi naweza sema is the best in Africa, tatizo viongozi wenu hawako tayari kuitekeleza na hadi sasa wameshaanza kufanya mabadiliko kwenye baadhi ya vipengele hususani vya uchaguzi na wataendelea kufanya mabadiliko kwenye maeneo mengi yanayowanyima raha ili iwe business as usual. Sijui kwanini viongozi wa Africa hawaamini kuwa still unaweza kuwa kiongozi mwnye mafanikio kwakukuza uchumi na kuleta maendeleo ya watu kwakufuata demokrasia, sielewi kwanini wanaamini kuwa demokrasia na uhuru wa watu ni uadui kwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…