KENYA: Government switches off NTV, Citizen TV and Radio!

KENYA: Government switches off NTV, Citizen TV and Radio!

Anataka serikali ya Mseto awe Waziri Mkuu kama ilivyokuwa awali...Kipindi cha Mwai Kibaki
This move might turn sour and endanger all his political ambitions. After all he is very old by African standards
 
Saa hii anajiapisha ila naona ni kihunihuni hivi maana kafika tu na kunyanyua kitabu na kuanza kuapa.
 
This move might turn sour and endanger all his political ambitions. After all he is very old by African standards
Ana umati mkubwa wa watu unamuunga mkono...Leo hata Polisi wameshindwa kuwazuia Watu na RAO kutekeleza ‘kiapo’ chao...

Kitendo cha kumkamata RAO au kumchukulia hatua yoyote kitaiingiza Kenya kwenye machafuko makubwa sana..Wafuasi wake naona kama wamechanganyikiwa hivi..

Kosa kubwa sana limefanyika kumruhusu atekeleze hicho ‘kiapo’ chake maana uchaguzi anaodai alishinda ulifutwa kisheria na Mahakama..Hivyo hata hayo matokeo anayojitamba nayo hayatambuliki kisheria...
 
  • Thanks
Reactions: Lee
uraisi na kashaapishwa kuwa raisi wa watu 😀😀😀😀😀😳 so kenya ina raisi wa nchi na wa watu wa kenya kikikiki
Hajaapishwa, kafika pale uwanjani na note book akainyajua mwenyewe akajiapisha akaenda nyumbani kwake. Rais gani anacheza ma watoto nyumbani kwake hakuna hata mgambo wa kumlinda?
 
Mkuu hivi bado una [emoji342] ya JVC na inapiga kazi!?
Inapiga mzigo mkuu afu inakimbiza dstv premium, hapo sasa tv ya milioni 5, afu unatumia STARTIME na mimi JVC but ina dstv premium..!
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Inapiga mzigo mkuu afu inakimbiza dstv premium, hapo sasa tv ya 15, afu huna dstv na mimi jvc but ina dstv premium..!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
The Citizen TV and NTV shoutdown following to broadcast live the inauguration events of NASA candidate mr. Raila Odinga today.

Yestarday the authorities in kenya warned the Media in Kenya not to broadcast the event live. This saga has taken anorher trench after the reconciliation betwen the rivals sides, NASA and JUBILEE failed to bring political hope in Kenya.

View attachment 687429

MORE:

The Communications Authority of Kenya has switched off Citizen Television and Radio in most parts of the country over the coverage of the NASA ‘swearing-in’ plan.

This comes just a day after it emerged that the government had allegedly threatened to switch off and revoke licenses of the media houses that will cover the controversial swearing in ceremony.

In a statement by the chairman of the Kenya Editors Guild, Linus Kaikai, on Monday, January 29, the editors took issue with the summoning of media managers from the main media houses to State House, Nairobi last week where alleged threats of shutting down media houses if they cover the NASA event were issued.

“We have just learnt today that on Friday last week, a section of media managers and select editors from the main media houses were quietly summoned to a meeting at the State House, Nairobi,” said Mr. Kaikai.

“The brief meeting attended by President Uhuru Kenyatta, Deputy President William Ruto, Interior Cabinet Secretary Fred Matiang’i, ICT Secretary Joe Mucheru and AG Githu Muigai did not bode well for the freedom of expression and press in the country,” read the statement in part.

“At the meeting, President Kenyatta expressly threatened to shut down and revoke the licences of any media house that would broadcast live the planned purported swearing in of NASA leaders Raila Odinga and Kalonzo Musyoka on Tuesday. That direct threat has subsequently been echoed, off record by other senior members of government.”
==================

UPDATES:
Light goes off at NTV studios
View attachment 687539
=================================================================
 
Waliotoa povu vyombo kupigwa fine kwa kurusha habari za Bisimba&Co ndiyo hao hao wanaokenua vyombo kuzimwa Kenya.

Wabongo kwa unafiki!!
 
visasi vipi? hapa nchini mlitetea vyombo visipigwe fine kwa kurusha habari za kituo cha sheria na haki za binadamu, iweje Kenya vinafungiwa na kutishiwa kunyang'anywa leseni? kwani kosa lao ni nini? Ndio maana naomba wana UKAWA ambao wanaiunga mkono serikali ya Kenya kuzungumzia huku kuminya uhuru wa habari na uhuru wa vyombo vya habari kufanya kazi zao.
Funga bakuli lako kwa muda kwanza!
Jikite kwenye hoja kwanza
 
Wapinzani wa Tanzania kama SIGARA KALI, hawaeleweki , wanaichukia nyama ya nguruwe alafu mchuzi wake wanaunywa, full unafiki.
 
Back
Top Bottom