komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Watu tuna ji enjoy leo jumapili, au we ilkua una tatizo loloteembu eleza shida yako ni kitu gani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu tuna ji enjoy leo jumapili, au we ilkua una tatizo loloteembu eleza shida yako ni kitu gani.
*Embu ndio kiswahili cha wapi tena??Kisukuma au😂😂embu eleza shida yako ni kitu gani.
*Embu ndio kiswahili cha wapi tena??Kisukuma au[emoji23][emoji23]
Mkuu umesahau jeshi la Mali asiliTanzania kila kitu ni jeshi
1. Jeshi la polisi
2. Jeshi la magereza
3. Jeshi la zimamoto na uokoaji
4. Jeshi la kujenga taifa
5. Jeshi la akiba
6. Jeshi la wananchi
7. Jeshi la kutuliza ghasia
8. Jeshi la nchi kavu
9. Jeshi la anga
10. Jeshi la majini
11. Jeshi la sungusungu
Usilinganishe Tanzania na vitu vya kijinga.View attachment 1621215View attachment 1621216View attachment 1621217
Mkuu umesahau jeshi la Mali asili
Unajua hizo ni bunduki gani?Hivi mbona polisi wenyu tena wa kulinda rais wako na bunduki za kijinga hivi?
Sasa ni bora hao kuliko wale waliopigwa na mujahdeen al harakati hadi wakafir*wa juu....duh aibu hii mjeshi afirw* na vijana wa kitanzania walio ktk kikosi cha mgambo cha mujahdeen al muslimNdio mlitoroka DRC baada ya kupewa kichapo cha mbwa kuingia msikitini na watoto waliojihami na panga. Walikata wanajeshi 17 wa TPDF na mmoja mpaka leo hajapatikana. Ilibidi majeshi ya nepal waje kuokoa tpdf kutoka kwa hilo genge la watoto.
Hiki kitengo cha GSU ni moto, kwenye vita vya fire arm to firearm, hiki kikosi kinaweza kusambaratisha TPDF vibaya.
Yenyewe yameona bunduki kwa movie za rambo na arnold basi na yenyewe yananunua,kumbe hawajui jamaa wanazi-market bunduki zao lakini ni za kijinga,sasa bunduki inachemka na kujam kweliii si unaweza kufa uwanja wa vitahaya mazuzu yanaangali rangi na kushangiria [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
There is a reason why Scars are rated among the best battle rifles.Infact it is the AK47 of the western world.Yenyewe yameona bunduki kwa movie za rambo na arnold basi na yenyewe yananunua,kumbe hawajui jamaa wanazi-market bunduki zao lakini ni za kijinga,sasa bunduki inachemka na kujam kweliii si unaweza kufa uwanja wa vita
Hahaa ...kenya uses scar H chambered in 7.62x 51.Remember that Kenya also manufactures 7.62x 51 ammo.FN SCAR L is for special operations...Zina shida hizo za kupata joto,kujam and mulfunctioning....wenye akili wezipiga Chini wamewauzia poyoyo Kenya ambao wamazipigia selfie na kujimwambafai
![]()
What's the purpose of having the SCAR L and SCAR H while also having the M4A1 and M16A4?
Answer (1 of 7): The top answer here is wrong, so I’m going to chime in, despite this question being roughly two years old. The correct answer is that the SCAR L (or Mk 16 as it is known in US Military terminology) was discontinued almost immediately after it was adopted as it was deemed redunda...www.quora.com
Polisi sio mwanajeshi we
Jkt pia sio wanajeshi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pumbavu!
Hakuna taasisi yeyete ya Usalama Tanzania inaajiri mtu asiye na mafunzo ya Kijeshi.
Wote ni wakufunzi wa JKT.
Jeshi nusu kivipi?lile ni jeshi usu.
au jeshi nusu,sio kamili.
Aibu ni wewe uko nayo sio mwenye alipatikana akiiba.Story za kujifariji, CIA wamedhibitisha kupitia cctv camera Westgate KDF wakiiba Jojo, milkshake, chocolates, biscuits, juice 😅😅😅😅
Hiyo aibu haiondoki leo wala kesho
Aibu ni wewe uko nayo sio mwenye alipatikana akiiba.
Vitu zenye waliiba, ni vitu za maana na za pesa mingi lakini sio vitu za kiujinga ujinga kama zenye unasemea hapo.
Dah hiki ni kiswahili au?Aibu ni wewe uko nayo sio mwenye alipatikana akiiba.
Vitu zenye waliiba, ni vitu za maana na za pesa mingi lakini sio vitu za kiujinga ujinga kama zenye unasemea hapo.
Kenya in conjunction with turkey have been developing local capacity for making this drones.Hii moja inafyeka jeshi ZimaView attachment 1624330