Kenya haina Jesh la kazi wala Vikosi vya kiusalama vya shuguli

Kenya haina Jesh la kazi wala Vikosi vya kiusalama vya shuguli

Joined
Sep 3, 2013
Posts
19
Reaction score
7
Naanza kuamini maneno ya Rais wa Uganda mzee Mseveni aliyowahi kuyasema kwamba Jeshi la Kenya ni la utaalamu yan mtu anaajiliwa kutokana na utaalamu wake na ni kazi kama kazi nyingine hazizingatii uzalendo wa mtu mmoja mmoja. Tukio linaloendelea Nairobi now ni uthibitisho kuwa Jeshi la Kenya na vikos vyake vya ulinzi sio wa taalamu. Leo wameamua kulipua moja ya duka mle ndani ili moshi uwe mwingi wapate nafasi ya kuwaokoa mateka. Kwa kitalamu ingelibidi wachukue Raman ya jengo thn wajue. Niwapi waasi wapo na mateka na kuivamia lakini cha kushangaza wamejaza vifaru nje na hakuna hatua zozote zinazochukuliwa kuingia ndani ya jengo na kujitolea muhanga kuwaokoa watu. Now ni siku ya tatu sasa tunakwenda hamna kipya. Kenya na serikali yake wanahaja ya kuangalia Jeshi lao upya pamoja na vikosi vyao vya ulinzi.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Dah !. Kuna wengine juzi walikuwa wanatembea huku wanapepesuka pepesuka kama wamelewa aisee. Yani hata hawakuchangamka kama wapiganaji.
 
Dah !. Kuna wengine juzi walikuwa wanatembea huku wanapepesuka pepesuka kama wamelewa aisee. Yani hata hawakuchangamka kama wapiganaji.
Please have the facts before talking, Kenya is surrounded by volatile neighbors, Sudan, Southern Ethiopia, Somalia and nothern Uganda and thus our Forces are more equipped and active than any other in East Africa You should Probably check African Military rankings. Hao ambao uliona ni plain cloth detectives most of whom were off duty considering it was a Saturday and were first to respond on.jpg on the scene. Details ndo hizi hapa. . .
article-2428875-1828C11B00000578-187_964x610.jpg
View attachment 113367rec.jpg
 
Kwa kitalamu ingelibidi wachukue Raman ya jengo thn wajue.
Hiyo ramani wanayo na wanaisoma sana. Halafu kumbuka wanasaidiwa ushauri na wataalamu kutoka kila pembe ya dunia (incl. Israel, UK, US ..). Zile helcopter zinazoruka zinafuatilia in real-time yanayoendelea mle ndani. Hadi kufikia hatua ya kulipua hilo duka watakuwa wamenotice kitu ndani..
 
Hahaa Museveni?? muulize huyo Museveni Ugandan Casualties in Somalia ni wangapi kwanza. Poleni lakin Tanzania Somalia hamuwezi ng'o! afadhali Uganda mara mia.
 
Hiyo ramani wanayo na wanaisoma sana. Halafu kumbuka wanasaidiwa ushauri na wataalamu kutoka kila pembe ya dunia (incl. Israel, UK, US ..). Zile helcopter zinazoruka zinafuatilia in real-time yanayoendelea mle ndani. Hadi kufikia hatua ya kulipua hilo duka watakuwa wamenotice kitu ndani..
The only thing they provided is just advisory but the boots on ground are all Kenyan, that building has over 80 stores with banks, restaurants, movie theaters, boutiques, supermarkets and anything you can think of its a highly mordanised Mall thats why foreigners frequent it, it is so big, a tricky situation considering the hostages held up. the main aim is to save as many lives as possible since most of them are young kids like you don't already know there was a children event going on that fateful day. no explosives can be employed.
 
Naanza kuamini maneno ya Rais wa Uganda mzee Mseveni aliyowahi kuyasema kwamba Jeshi la Kenya ni la utaalamu yan mtu anaajiliwa kutokana na utaalamu wake na ni kazi kama kazi nyingine hazizingatii uzalendo wa mtu mmoja mmoja. Tukio linaloendelea Nairobi now ni uthibitisho kuwa Jeshi la Kenya na vikos vyake vya ulinzi sio wa taalamu. Leo wameamua kulipua moja ya duka mle ndani ili moshi uwe mwingi wapate nafasi ya kuwaokoa mateka. Kwa kitalamu ingelibidi wachukue Raman ya jengo thn wajue. Niwapi waasi wapo na mateka na kuivamia lakini cha kushangaza wamejaza vifaru nje na hakuna hatua zozote zinazochukuliwa kuingia ndani ya jengo na kujitolea muhanga kuwaokoa watu. Now ni siku ya tatu sasa tunakwenda hamna kipya. Kenya na serikali yake wanahaja ya kuangalia Jeshi lao upya pamoja na vikosi vyao vya ulinzi.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Mkuu rudi ukafanye utafiri tena kabla ya kuandika hii habari.

Kenya wapo imara na wana vikozi mbalimbali vya ulinzi na usalama ambavyo kwa ushirikiano wa aina yake wameweza kuwadhibiti magaidi hao na pia kuwaokoa raia wasiopungua 1000.

Ntakuelewa ukizungumzia "response" kwamba ilikuwa "poor" baada ya shambulio ambapo ilichukua dakika 30 kwa vikosi vya usalama kuwasili mahali hapo.

Shughuli hii ya kuwadhibiti magaidi hawa imefanywa na vikosi vilivyojumuisha KDF yaani vikosi vya usalama, Polisi wa kawaida na wale wa usaidizi na kikosi maalum cha polisi cha kupambana na ugaidi ambacho kinapata mafunzo kutoka kwa jeshi la Marekani.

Pia kuna kikosi maalum "Special Forces" ambachoi kinajumuisha maofisa kutoka kule sehemu iitwayo Gilgil ambacho kina askari 20 waitwao Para Battalion na Rangers Strike Force.

Pia kuna wengine kutoka Recce Company and General Service Unit kwa kushirikiana na FBI na majeshi maalum ya Israel.

Kwahio ukiangalia sana utaona mafanikio ya shughuli hii ingawa bado kuna maswali hawa vijana wameingiaje Kenya wakiwa na silaha kubwakubwa bila kugundulika.
 
Wanaweza kuwa na silaha za kisasa, wanakuwa trained na wamarekani lakini wakawa very poor in intelligence agencies/services simply because hayo mashambulizi lazima yamepangwa ndani ya nchi.
 
Mkuu rudi ukafanye utafiri tena kabla ya kuandika hii habari.

Kenya wapo imara na wana vikozi mbalimbali vya ulinzi na usalama ambavyo kwa ushirikiano wa aina yake wameweza kuwadhibiti magaidi hao na pia kuwaokoa raia wasiopungua 1000.

Ntakuelewa ukizungumzia "response" kwamba ilikuwa "poor" baada ya shambulio ambapo ilichukua dakika 30 kwa vikosi vya usalama kuwasili mahali hapo.

Shughuli hii ya kuwadhibiti magaidi hawa imefanywa na vikosi vilivyojumuisha KDF yaani vikosi vya usalama, Polisi wa kawaida na wale wa usaidizi na kikosi maalum cha polisi cha kupambana na ugaidi ambacho kinapata mafunzo kutoka kwa jeshi la Marekani.

Pia kuna kikosi maalum "Special Forces" ambachoi kinajumuisha maofisa kutoka kule sehemu iitwayo Gilgil ambacho kina askari 20 waitwao Para Battalion na Rangers Strike Force.

Pia kuna wengine kutoka Recce Company and General Service Unit kwa kushirikiana na FBI na majeshi maalum ya Israel.

Kwahio ukiangalia sana utaona mafanikio ya shughuli hii ingawa bado kuna maswali hawa vijana wameingiaje Kenya wakiwa na silaha kubwakubwa bila kugundulika.
Brother ni kweli vikosi ulivyotaja hapo vinaonekana ni shupavu na vya kutegemewa Kenya.
Lakini inakuwaje watu 15 tuu waendelee kuwaumiza kichwa namna hiyo kiasi kwqamba mpaka propaganda zinatumika eti mara 'tumecontroo jengo zima..'
Alafu milio ya risasi kila inaposikika hivyo vikosi ulivyotaja vinaonekana vinakimbia kimbia ovyo kama raia?
 
Naanza kuamini maneno ya Rais wa Uganda mzee Mseveni aliyowahi kuyasema kwamba Jeshi la Kenya ni la utaalamu yan mtu anaajiliwa kutokana na utaalamu wake na ni kazi kama kazi nyingine hazizingatii uzalendo wa mtu mmoja mmoja. Tukio linaloendelea Nairobi now ni uthibitisho kuwa Jeshi la Kenya na vikos vyake vya ulinzi sio wa taalamu. Leo wameamua kulipua moja ya duka mle ndani ili moshi uwe mwingi wapate nafasi ya kuwaokoa mateka. Kwa kitalamu ingelibidi wachukue Raman ya jengo thn wajue. Niwapi waasi wapo na mateka na kuivamia lakini cha kushangaza wamejaza vifaru nje na hakuna hatua zozote zinazochukuliwa kuingia ndani ya jengo na kujitolea muhanga kuwaokoa watu. Now ni siku ya tatu sasa tunakwenda hamna kipya. Kenya na serikali yake wanahaja ya kuangalia Jeshi lao upya pamoja na vikosi vyao vya ulinzi.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Huna uhakika na ulichokiandika. Ule moto wala haukuwa kwenye duka lolote mle ndani bali ulikuwa kwenye parking ya magari nyuma ya jengo. Hakuna mwenye uhakika kama moto ule uliwashwa na askari wa Kenya kwa lengo maalumu kwani hakukuonekana juhudi zozote za kuuzima. Moto ule pia haukusambaa popote mbali ya pale ulipowashiwa. Hii inawezekana ilikuwa ni strategy ya kijeshi.

Na sidhani kama upo sahihi kwamba jeshi la Kenya ni legelege kwa kutumia vigezo vya hili shambulio. Kumbuka walikuwa wanafanya mambo mawili kwa wakati mmoja, kuokoa maisha ya waliokuwa wametekwa huko ndani na pia kuwaua au kuwakamata watekaji bila kuwadhuru hostages. Ili zoezi lilihitaji umakini wa hali ya juu kuweza kulifanya kwa ufanisi na wala haikuwa rahisi kama unavyofikiria.

Tiba
 
Brother ni kweli vikosi ulivyotaja hapo vinaonekana ni shupavu na vya kutegemewa Kenya.
Lakini inakuwaje watu 15 tuu waendelee kuwaumiza kichwa namna hiyo kiasi kwqamba mpaka propaganda zinatumika eti mara 'tumecontroo jengo zima..'
Alafu milio ya risasi kila inaposikika hivyo vikosi ulivyotaja vinaonekana vinakimbia kimbia ovyo kama raia?

Jamani hii ni rescue mission kikubwa kinachoangaliwa ni life of civilians, vyombo vya usalama havipambani na majambazi au waharifu wa kawaida hawa ni magaidi ukienda hovyo hostages wengi watakufa
 
Jamani hii ni rescue mission kikubwa kinachoangaliwa ni life of civilians, vyombo vya usalama havipambani na majambazi au waharifu wa kawaida hawa ni magaidi ukienda hovyo hostages wengi watakufa
mision is the mision, kama wapo vizuri isingewachukua siku tatu mfululizo. na si ajabu siku ya leo ikapita tena. Na vipi kuhusu hivyo vikosi kukimbia kimbia hovyo kiraia raia kila milio inaposikika?
 
TPDF,CDO wangepewa masaa 3 tu,mission ingekua accomplished ,kingefuata tu kuwang'oa kucha na meno hadi waseme wametumwa na nani

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
TPDF,CDO wangepewa masaa 3 tu,mission ingekua accomplished ,kingefuata tu kuwang'oa kucha na meno hadi waseme wametumwa na nani

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

CDO ndo kina nani hao mkuu?Pia umetumia kigezo gani kutoa huo muda?

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Naanza kuamini maneno ya Rais wa Uganda mzee Mseveni aliyowahi kuyasema kwamba Jeshi la Kenya ni la utaalamu yan mtu anaajiliwa kutokana na utaalamu wake na ni kazi kama kazi nyingine hazizingatii uzalendo wa mtu mmoja mmoja. Tukio linaloendelea Nairobi now ni uthibitisho kuwa Jeshi la Kenya na vikos vyake vya ulinzi sio wa taalamu. Leo wameamua kulipua moja ya duka mle ndani ili moshi uwe mwingi wapate nafasi ya kuwaokoa mateka. Kwa kitalamu ingelibidi wachukue Raman ya jengo thn wajue. Niwapi waasi wapo na mateka na kuivamia lakini cha kushangaza wamejaza vifaru nje na hakuna hatua zozote zinazochukuliwa kuingia ndani ya jengo na kujitolea muhanga kuwaokoa watu. Now ni siku ya tatu sasa tunakwenda hamna kipya. Kenya na serikali yake wanahaja ya kuangalia Jeshi lao upya pamoja na vikosi vyao vya ulinzi.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Nadhani sio busara kutoa maoni kama haya muda kama huu.
 
hahahaha Watanzania bana, wenzenyu tunahuzunika tumepoteza familia na rafiki nanyi mnawaongelea security agencies wetu vibaya licha ya kazi kubwa sana walioifanya ya kuokoa hostages walio baki with minimal casualties. Learn to give credit where its due, we have commandos trained in Israel and the states but considering the hostage situation they had to tread carefully, there was also speculation that some of the hostage takers had strapped themselves with explosives, so it wasn't an easy task as some fruits here are trying to insinuate.
 
hahahaha Watanzania bana, wenzenyu tunahuzunika tumepoteza familia na rafiki nanyi mnawaongelea security agencies wetu vibaya licha ya kazi kubwa sana walioifanya ya kuokoa hostages walio baki with minimal casualties. Learn to give credit where its due, we have commandos trained in Israel and the states but considering the hostage situation they had to tread carefully, there was also speculation that some of the hostage takers had strapped themselves with explosives, so it wasn't an easy task as some fruits here are trying to insinuate.

Noted mkuu ila si watz wote,lengo hasa ni kuokoa maisha ya mateka na si kupigana,kama kupigana al-shababy kwa kiasi kikubwa wamepigwa huko kwao na kwa kuwa hawawawezi 'well trained KDF soldiers' ndo maana wamekimbilia kudhuru raia wasio na ufahamu wowote wa masuala ya kijeshi.
Mungu awarehemu waliofariki wote na awaponye majeruhi wote,amein!

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Naanza kuamini maneno ya Rais wa Uganda mzee Mseveni aliyowahi kuyasema kwamba Jeshi la Kenya ni la utaalamu yan mtu anaajiliwa kutokana na utaalamu wake na ni kazi kama kazi nyingine hazizingatii uzalendo wa mtu mmoja mmoja. Tukio linaloendelea Nairobi now ni uthibitisho kuwa Jeshi la Kenya na vikos vyake vya ulinzi sio wa taalamu. Leo wameamua kulipua moja ya duka mle ndani ili moshi uwe mwingi wapate nafasi ya kuwaokoa mateka. Kwa kitalamu ingelibidi wachukue Raman ya jengo thn wajue. Niwapi waasi wapo na mateka na kuivamia lakini cha kushangaza wamejaza vifaru nje na hakuna hatua zozote zinazochukuliwa kuingia ndani ya jengo na kujitolea muhanga kuwaokoa watu. Now ni siku ya tatu sasa tunakwenda hamna kipya. Kenya na serikali yake wanahaja ya kuangalia Jeshi lao upya pamoja na vikosi vyao vya ulinzi.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Kuna wale waliotoa ushauri kwamba itumike "Sleeping Gas" ili wote "Mpunga na mchele" walale uchambuzi uwe rahisi. Niliiunga mkono kauli hii lakini waka opt kutumia nguvu. Usalama waliotumia wazee wetu kama Chifu Mkwawa ambaye alihusisha ulinzi hata kwa watoto ambapo mgeni aliyefika akauliza waliko wazazi wake mtoto alimuongoza sehemu nyingine kabisa kama vile kwenye njia ambayo ilikuwa imechimbwa shimo refu ambalo mhanga huyu aliweza kutumbukia humo na kuweza kamatwa kirahisi. Mbinu kama hizi ni suala la kuziboresha tu.
 
Back
Top Bottom