Kenya hakuna demokrasia Wala uhuru wa Mahakama ni uhuni mtupu

Kenya hakuna demokrasia Wala uhuru wa Mahakama ni uhuni mtupu


Hii ndiyo nchi inayojisifu kuwa na uhuru wa vyombo vya habari.
 
Ukweli ni kuwa bado kuna mambo mengi ya kujifunza kutoka Kenya, ukisoma vitabu vingi vya mageuzi yaliyoleta maendeleo kwa binadamu, jamii kama ya wa Kenya ndiyo ilitoboa....[emoji4][emoji4] Tanzania bado tuna shida nyingi na jamii yetu bado ni duni hasa kwa mtazamo na kanuni za kileo....jamii yetu haijazoea 'challenge' mtu anaye 'challenge' huonekana kama vile si mstaarabu na hafai, hii ipo mpaka makazini kwetu, mitazamo ya wa Tanzania wengi wanao changia humu JF ni kuwa Kenya ni failed state....[emoji16][emoji16] Lakini ukija katika 'arguments' zinapofanyika kwa 'facts and evidence' huwa wanabwagwa mbali kabisa, mfano mzuri wa kulinganisha Kenya na Tanzania ni kama vile ndege aliyeko tawini kwa kuogopa kuruka anamcheka ndege aliyethubutu kuruka anapambana na mawimbi hewani, hii inachangiwa kwa kuwa nchi yetu imebarikiwa sana katika rasilimali, ukiangalia mfumo wa Kenya wamejikita zaidi kuendeleza rasilimali watu...hivyo Kenya unafundishwa kuvua samaki....ndoano na chambo utajua mwenyewe utakako pata....ilhali Tz tunasubiri zaidi tuletewe samaki.....[emoji4][emoji4]
 
Ukweli ni kuwa bado kuna mambo mengi ya kujifunza kutoka Kenya, ukisoma vitabu vingi vya mageuzi yaliyoleta maendeleo kwa binadamu, jamii kama ya wa Kenya ndiyo ilitoboa....[emoji4][emoji4] Tanzania bado tuna shida nyingi na jamii yetu bado ni duni hasa kwa mtazamo na kanuni za kileo....jamii yetu haijazoea 'challenge' mtu anaye 'challenge' huonekana kama vile si mstaarabu na hafai, hii ipo mpaka makazini kwetu, mitazamo ya wa Tanzania wengi wanao changia humu JF ni kuwa Kenya ni failed state....[emoji16][emoji16] Lakini ukija katika 'arguments' zinapofanyika kwa 'facts and evidence' huwa wanabwagwa mbali kabisa, mfano mzuri wa kulinganisha Kenya na Tanzania ni kama vile ndege aliyeko tawini kwa kuogopa kuruka anamcheka ndege aliyethubutu kuruka anapambana na mawimbi hewani, hii inachangiwa kwa kuwa nchi yetu imebarikiwa sana katika rasilimali, ukiangalia mfumo wa Kenya wamejikita zaidi kuendeleza rasilimali watu...hivyo Kenya unafundishwa kuvua samaki....ndoano na chambo utajua mwenyewe utakako pata....ilhali Tz tunasubiri zaidi tuletewe samaki.....[emoji4][emoji4]
Wewe ndio wale wale wenye kushikiwa akili, kelele za wakenya za kujisifia zomekufumba macho kabisa, haya endelea kujifunza.
 
Ukweli ni kuwa bado kuna mambo mengi ya kujifunza kutoka Kenya, ukisoma vitabu vingi vya mageuzi yaliyoleta maendeleo kwa binadamu, jamii kama ya wa Kenya ndiyo ilitoboa....[emoji4][emoji4] Tanzania bado tuna shida nyingi na jamii yetu bado ni duni hasa kwa mtazamo na kanuni za kileo....jamii yetu haijazoea 'challenge' mtu anaye 'challenge' huonekana kama vile si mstaarabu na hafai, hii ipo mpaka makazini kwetu, mitazamo ya wa Tanzania wengi wanao changia humu JF ni kuwa Kenya ni failed state....[emoji16][emoji16] Lakini ukija katika 'arguments' zinapofanyika kwa 'facts and evidence' huwa wanabwagwa mbali kabisa, mfano mzuri wa kulinganisha Kenya na Tanzania ni kama vile ndege aliyeko tawini kwa kuogopa kuruka anamcheka ndege aliyethubutu kuruka anapambana na mawimbi hewani, hii inachangiwa kwa kuwa nchi yetu imebarikiwa sana katika rasilimali, ukiangalia mfumo wa Kenya wamejikita zaidi kuendeleza rasilimali watu...hivyo Kenya unafundishwa kuvua samaki....ndoano na chambo utajua mwenyewe utakako pata....ilhali Tz tunasubiri zaidi tuletewe samaki.....[emoji4][emoji4]
 
Ukweli ni kuwa bado kuna mambo mengi ya kujifunza kutoka Kenya, ukisoma vitabu vingi vya mageuzi yaliyoleta maendeleo kwa binadamu, jamii kama ya wa Kenya ndiyo ilitoboa....[emoji4][emoji4] Tanzania bado tuna shida nyingi na jamii yetu bado ni duni hasa kwa mtazamo na kanuni za kileo....jamii yetu haijazoea 'challenge' mtu anaye 'challenge' huonekana kama vile si mstaarabu na hafai, hii ipo mpaka makazini kwetu, mitazamo ya wa Tanzania wengi wanao changia humu JF ni kuwa Kenya ni failed state....[emoji16][emoji16] Lakini ukija katika 'arguments' zinapofanyika kwa 'facts and evidence' huwa wanabwagwa mbali kabisa, mfano mzuri wa kulinganisha Kenya na Tanzania ni kama vile ndege aliyeko tawini kwa kuogopa kuruka anamcheka ndege aliyethubutu kuruka anapambana na mawimbi hewani, hii inachangiwa kwa kuwa nchi yetu imebarikiwa sana katika rasilimali, ukiangalia mfumo wa Kenya wamejikita zaidi kuendeleza rasilimali watu...hivyo Kenya unafundishwa kuvua samaki....ndoano na chambo utajua mwenyewe utakako pata....ilhali Tz tunasubiri zaidi tuletewe samaki.....[emoji4][emoji4]
Wewe endelea kuimba na kukariri Kama Kasuku
 
Wamejificha siku hizi, husikii hata mmoja akizungumzia kuhusu Kenya.
Huku kazi tunaifanya siku tatu kwa wiki kisa maandamano ya kipuzi kupora Mali ya watu ili viongozi kadhaa wapati kuingia serikalini. Tundu Lissu akileta upuzi kama huo awekwe ndani mara moja sababu ikiwa anatumika na wazungu na vibaraka wao kuisambaratisha Nchi za Afrika.
 
Ukweli ni kuwa bado kuna mambo mengi ya kujifunza kutoka Kenya, ukisoma vitabu vingi vya mageuzi yaliyoleta maendeleo kwa binadamu, jamii kama ya wa Kenya ndiyo ilitoboa....[emoji4][emoji4] Tanzania bado tuna shida nyingi na jamii yetu bado ni duni hasa kwa mtazamo na kanuni za kileo....jamii yetu haijazoea 'challenge' mtu anaye 'challenge' huonekana kama vile si mstaarabu na hafai, hii ipo mpaka makazini kwetu, mitazamo ya wa Tanzania wengi wanao changia humu JF ni kuwa Kenya ni failed state....[emoji16][emoji16] Lakini ukija katika 'arguments' zinapofanyika kwa 'facts and evidence' huwa wanabwagwa mbali kabisa, mfano mzuri wa kulinganisha Kenya na Tanzania ni kama vile ndege aliyeko tawini kwa kuogopa kuruka anamcheka ndege aliyethubutu kuruka anapambana na mawimbi hewani, hii inachangiwa kwa kuwa nchi yetu imebarikiwa sana katika rasilimali, ukiangalia mfumo wa Kenya wamejikita zaidi kuendeleza rasilimali watu...hivyo Kenya unafundishwa kuvua samaki....ndoano na chambo utajua mwenyewe utakako pata....ilhali Tz tunasubiri zaidi tuletewe samaki.....[emoji4][emoji4]
Acha ujinga, wana akili gani? Raisi aliyeko madarakani kachaguliwa na wa-Venezuela, kama wanabisha waruhusu Server za IEBC zikaguliwe, siku hiyo ndo mujua hawa watu wakoje....
 
Huku kazi tunaifanya siku tatu kwa wiki kisa maandamano ya kipuzi kupora Mali ya watu ili viongozi kadhaa wapati kuingia serikalini. Tundu Lissu akileta upuzi kama huo awekwe ndani mara moja sababu ikiwa anatumika na wazungu na vibaraka wao kuisambaratisha Nchi za Afrika.
Hata mkifanya kazi siku Moja kwa wiki, demokrasia haina mipaka kwani Katiba mpya mlipokua mkijisifu hamkujua matokeo yake?, Ninyi ni watu wapumbavu hamna akili kabisa.

Jambo likifanywa na nchi zingine kwenu ni jambo baya, ila likifanyika Kenya mnakuja na sababu milioni Moja kuhalalisha ujinga wenu, hovyo sana ninyi.
 
Hata mkifanya kazi siku Moja kwa wiki, demokrasia haina mipaka kwani Katiba mpya mlipokua mkijisifu hamkujua matokeo yake?, Ninyi ni watu wapumbavu hamna akili kabisa.

Jambo likifanywa na nchi zingine kwenu ni jambo baya, ila likifanyika Kenya mnakuja na sababu milioni Moja kuhalalisha ujinga wenu, hovyo sana ninyi.
Kila nchi ina mapungufu yake, ila ya Tanzania sio mapungufu tena..ni ukoma uliotukuka

Kwahyo Acha hasira kw vi video vyako hapa ku justify malengo yako .
Mbona hu post Yale mazuri yaliyofanywa na mahakama...
Sasa ngoja uone hao polisi waliobugi km hawatosumbuliwa, Ahmed Rashid sai amebaki pekeake..
 
Huku kazi tunaifanya siku tatu kwa wiki kisa maandamano ya kipuzi kupora Mali ya watu ili viongozi kadhaa wapati kuingia serikalini. Tundu Lissu akileta upuzi kama huo awekwe ndani mara moja sababu ikiwa anatumika na wazungu na vibaraka wao kuisambaratisha Nchi za Afrika.
Yani wewe mtu ovyo sana. Unafurahia kuwalamba matako hawa wenzako ili wakupende yet wanabaki wakikutusi tu. 🤣 🤣

Hata mkifanya kazi siku Moja kwa wiki, demokrasia haina mipaka kwani Katiba mpya mlipokua mkijisifu hamkujua matokeo yake?, Ninyi ni watu wapumbavu hamna akili kabisa.

Jambo likifanywa na nchi zingine kwenu ni jambo baya, ila likifanyika Kenya mnakuja na sababu milioni Moja kuhalalisha ujinga wenu, hovyo sana ninyi.
 
Kila nchi ina mapungufu yake, ila ya Tanzania sio mapungufu tena..ni ukoma uliotukuka

Kwahyo Acha hasira kw vi video vyako hapa ku justify malengo yako .
Mbona hu post Yale mazuri yaliyofanywa na mahakama...
Sasa ngoja uone hao polisi waliobugi km hawatosumbuliwa, Ahmed Rashid sai amebaki pekeake..
Nchi yenu ni nchi ya hovyo sana, mahakama yenu haina faida yoyote kwa raia wa Kenya, serikali inadharau na kupuuza maamuzi ya mahakama na hakuna kitu mnafanya.

Mahakama iliamuru Miguna Miguna arejeshewe passport yake na aruhusiwe kurudi nyumbani, Juzi mahakama iliamuru serikali kusimamisha kuajiri CAS, lakini yote hayo serikali ilipuuza.

Mahakama ya upeo ilimpa ushindi Rutto katika uchaguzi uliopita, Raila anapinga mahakama anaanzisha madai ya kufungua savers. Sasa ni nchi gani ambayo hamtaki kuheshimu vyombo vyenu vya kutoa haki?, Ninyi ni watu wa ajabu Sana, "very uncivilized people".
 
Back
Top Bottom