Kenya hakuna demokrasia Wala uhuru wa Mahakama ni uhuni mtupu

Kenya hakuna demokrasia Wala uhuru wa Mahakama ni uhuni mtupu

Yani wewe mtu ovyo sana. Unafurahia kuwalamba matako hawa wenzako ili wakupende yet wanabaki wakikutusi tu. [emoji1787] [emoji1787]
Sasa mnaanza kugombana wenyewe kwa wenyewe baada ya uongo wenu na majigambo yenu kufika mwisho, hovyo sana ninyi watu.
 
Acha ujinga, wana akili gani? Raisi aliyeko madarakani kachaguliwa na wa-Venezuela, kama wanabisha waruhusu Server za IEBC zikaguliwe, siku hiyo ndo mujua hawa watu wakoje....
Thibitisha!!!
 
Huu ndio uhuru wa kujieleza ulioletwa na katiba mpya ya Kenya?
 
Kenya hakuna Demokrasia, uhuru wa kujieleza, na uhuru wa mahakama ukilinganisha na wapi? Make inawezekana wewe ni mnufaika wa system kandamizi hivyo ukapigwa upofu usione chochote.
Wewe inawezekana ni miongoni mwa wale nyumbu wanaoburuzwa na kelele za upande uleeeeeee
 
Wewe inawezekana ni miongoni mwa wale nyumbu wanaoburuzwa na kelele za upande uleeeeeee
Mpumbavu amekwepa kiujanja, jinga type idiot, yaani hauna udhibitisho mwafaka ni mada za kishabiki tu kila uchao.., wewe ni mwendawazimu wa CCM(chama cha mafala).., mko hovyo, inauma ila jikubali tu bado mko poroni 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Mpumbavu amekwepa kiujanja, jinga type idiot, yaani hauna udhibitisho mwafaka ni mada za kishabiki tu kila uchao.., wewe ni mwendawazimu wa CCM(chama cha mafala).., mko hovyo, inauma ila jikubali tu bado mko poroni [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nadhani unajua wazi kwamba mpumbavu ni mama yako mzazi
 
Mpumbavu amekwepa kiujanja, jinga type idiot, yaani hauna udhibitisho mwafaka ni mada za kishabiki tu kila uchao.., wewe ni mwendawazimu wa CCM(chama cha mafala).., mko hovyo, inauma ila jikubali tu bado mko poroni 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
achana na huyo zumbukuku, anaiwaza kenya tu, huwezi muona kwenye forum zingine, huyo ni wa kupuuzwa tu, ni kama hata hajui ni nini kinaendelea nchini mwake, ni taahira fulani hivi.
 
achana na huyo zumbukuku, anaiwaza kenya tu, huwezi muona kwenye forum zingine, huyo ni wa kupuuzwa tu, ni kama hata hajui ni nini kinaendelea nchini mwake, ni taahira fulani hivi.
Mimi nipo hapa kupambana na watu wa hovyo tu Kama wakenya, sioni sababu ya kwenda kwenye "forums" zingine.

Nchi ya watu wanaochinjana Kila siku kwa sababu ya ukabila, watu wenye kufa kwa njaa Kama sisimizi, watu wanapigana risasi kwasababu ya mifugo ndio taahira na majinga ya mwisho hapa duniani. Hovyo sana ninyi, failed state kabisa ninyi.
 
Njoo mombasa Mzee Baba tule bata, achana na mambo ya maandamano

Nambari +25479000**60
Fika mwembe uni DM nikupe namba zangu kw ukamilifu
Mimi nikikanyaga Ardhi ya Kenya ninahisi Kama nipo Khartum, Sudan.
 
Back
Top Bottom