Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Mikwara ule ya kininja alikuwa anapigwa NasibuTumeshuhudia Harusi hii iliyotikisa afrika mashariki kwa Tv ikiwa mubashara,Mume akiwa mtanzania nimejiuliza utamaduni ule wa visu Na majambia ni wa kabila lipi hapa Tanzania?
Kama ndivyo ...ametumia utamaduni wa dini yakeAlikuwa na UTAPIA MLO wa FIKRA...maana ile kuweka MAJAMBIA NA VILEMBA ni tamaduni za watu wa OMAN...sasa sijuwi alimaanisha nn?
Ushaona muumini wa dini ya KIISLAM ANAINGIA msikitini Na JAMBIA?uislam na JAMBIA ni vitu viwili tofauti...Kama ndivyo ...ametumia utamaduni wa dini yake
Panic!!!!Alikuwa na UTAPIA MLO wa FIKRA...maana ile kuweka MAJAMBIA NA VILEMBA ni tamaduni za watu wa OMAN...sasa sijuwi alimaanisha nn?
Mkuu ukijibiwa nitag pls!Na mabwana harusi wanapovaa suti na tai hutumia utamaduni wa kabila gani?
Mkuu wacha kulia lia kwani kila mtu ana uhuru wake..Lakini lini wa Tanzania tutakua serious na national issues kuna mambo muhimu ya kujadili unataka tupoteze akiri na mda kujadili ubishow wa mtu moja hilo litatusaidia nini......bado tutaburuzwa sana nawajanja nchi hii
Lakini lini wa Tanzania tutakua serious na national issues kuna mambo muhimu ya kujadili unataka tupoteze akiri na mda kujadili ubishow wa mtu moja hilo litatusaidia nini......bado tutaburuzwa sana nawajanja nchi hii
TAMADUNI ZA VISIWANI,PWANI,TABORA NA KIGOMA tamaduni hizi zimekuwepo tangu karne ya 18.Tumeshuhudia Harusi hii iliyotikisa afrika mashariki kwa Tv ikiwa mubashara,Mume akiwa mtanzania nimejiuliza utamaduni ule wa visu Na majambia ni wa kabila lipi hapa Tanzania?
Kuvaa hivo imekua ni Tamaduni hasa hasa sehem walipoishi Sana waarabu utawakuta hata waswahili wakivaa hivo no kawaida tuTAMADUNI ZA VISIWANI,PWANI,TABORA NA KIGOMA tamaduni hizi zimekuwepo tangu karne ya 18.
Tumeshuhudia Harusi hii iliyotikisa afrika mashariki kwa Tv ikiwa mubashara,Mume akiwa mtanzania nimejiuliza utamaduni ule wa visu Na majambia ni wa kabila lipi hapa Tanzania?
ustarabu wa milenia ya tatuNa mabwana harusi wanapovaa suti na tai hutumia utamaduni wa kabila gani?
milenia ya tatu ndio kabila gani hilo?ustarabu wa milenia ya tatu
Kwa taarifa yako waswahili ni taifa na kiswahili ndiyo lugha yao. Nchi hii imeanzia kusini ya somalia na kuishia ngazija.Kuvaa hivo imekua ni Tamaduni hasa hasa sehem walipoishi Sana waarabu utawakuta hata waswahili wakivaa hivo no kawaida tu
suti na tai?je tamaduni za wapi?Alikuwa na UTAPIA MLO wa FIKRA...maana ile kuweka MAJAMBIA NA VILEMBA ni tamaduni za watu wa OMAN...sasa sijuwi alimaanisha nn?