We have nothing to argue based on statistics for that matter.Japo kuna jambo fulani hauja angalia kwa hesabu zako.
KE kuna wizi mkubwa sana wa double registration..Utapata Number kama KCM 888M ipo mara mbili au tatu[emoji16][emoji16]
Unajaribu jaribu na ndinga zako ZakaziI own the following cars
1. Nissan Teana
2. Toyota Celica
3. Toyota Hilux Double Cab
I recently sold my Honda CR-V. Any questions?
None of those is a work car.Unajaribu jaribu na ndinga zako Zakazi
The actual figure say otherwise so hizo longolongo zako hazisaidii kitu. Dar es Salaam kuwa na magari mengi haimaanishi Nairobi haina mengi zaidi.Huu ni uongo wa mchana kweupe. Kwa ukubwa wa Dar es Salaam pekee,na magari yaliyopo,hicho kitu hakiwezekani.
Tuanze analysis hapa.
Mfumo wetu wa usajili magari upo kama hivi
1. Private:T...AAA mpaka T ....ZZZ.
Kwa sasa tupo T.... DQJ.
Kila herufi ina gari kuanzia 100-999=magari 899
Kwa hesabu za permutation/combination utapata ni magari kiasi gani
2. Namba za Serikali STJ,STK,STL,SU,DFP,PT,UT,TRC,JWTZ,STA,MT.
Dar es salaam pekee yake inakisiwa kuwa na wastani wa magari kama 500,000 mpaka 1,000,000.
Kumbuka pia Zanzibar ni Tanzania,hapo sijaweka SLS,SMZ na Z..AA mpaka Z....ZZ.
Nitakuja kufanya permutation/combination baadae nikija kuboresha ili kupata wastani wa magari kwa muktadha wa hesabu kwa mfumo wa sasa.
We ni mpmbv # 1data form any website says it all. you have less vehicles than kenya had in 2004Kenya Road Transport: Number of Motor Vehicles: Registered | Economic Indicators | CEIC
Kenya Road Transport: Number of Motor Vehicles: Registered data was reported at 3,280,934.000 Unit in Dec 2018. This records an increase from the previous number of 2,989,788.000 Unit for Dec 2017. Kenya Road Transport: Number of Motor Vehicles: Registered data is updated yearly, averaging...www.ceicdata.com
Vipi watu wanakula kinyesi na albino?Pia kenya hawana unga na mchele wakati watanzania unga na mchele tunagawia nguruwe
Tunajua hii ndio barabara pekee kutoka cbd,so sio maajabu kua na gari nyingi.lakini ukija Nairobi kuna more than five highways zinazoelekea cbd kutokea mikoani na bado zinabeba gari mob kuliko hii barabaraAcha kutafuta kichaka wewe bojo
Magari binafsi ni 98% barabarani
Ilo ni jam la km 4 gari zimejaa hakuna hata moja ya serikal hapo na ni mfano mdogo tuView attachment 1119896View attachment 1119898
Hiyo ni barabara moja tu Ally Hassan Mwinyi.Tunajua hii ndio barabara pekee kutoka cbd,so sio maajabu kua na gari nyingi.lakini ukija Nairobi kuna more than five highways zinazoelekea cbd kutokea mikoani na bado zinabeba gari mob kuliko hii barabara
Barabara kubwa zinazoingia mjn Ni morogoro road,kilwa road,Nyerere road na sio Bagamoyo road pekeyakeTunajua hii ndio barabara pekee kutoka cbd,so sio maajabu kua na gari nyingi.lakini ukija Nairobi kuna more than five highways zinazoelekea cbd kutokea mikoani na bado zinabeba gari mob kuliko hii barabara
You are smarterMore cars more more pollution by the way