Kenya has confirmed 123 new Covid-19 infections marking the country’s highest number of infections recorded within 24 hours

Kenya has confirmed 123 new Covid-19 infections marking the country’s highest number of infections recorded within 24 hours

Kinachotia Moyo kuhusu Kenya Ni rate ya vifo vya korona Ni ndogo,,pia wao taifa la limeendelea na kumudu kuagiza vipimio vingi kiasi kuwa wanahimiza raia kujitokeza kupima,
Nchi zingine kupima korona moaka uwe na connection🤣🤣
 
Hapo sasa [emoji23][emoji23] korona limekuwa fumbo gumu sana kwa hao vichwa panzi ,wenzao watz miili yetu inazidi kutengeneza kinga maana ugonjwa unadhidi kuwa dhahifu miili yetu imesha pata kinga hadi WHO wamekili kuwa korona imeonyesha udhaifu Africa hasa tz na kutoa fedha ili uchunguzi Wa kisayansi ufanyike ili kujua ni kwanini soon dunia hitaitumia tz kama kielelezo cha msingi kuhusu kudhoofu kwa korona pasipo lockdown.
Hapa Israel Napo,joto lilipoanza tu,idadi ya maambukizi ikashuka Sana,hata jirani zetu Qatar,Iraq pia maambukizi yako chini
 
Back
Top Bottom