I've read somewhere that untill the end of 2018 paved roads in Tz should be 12,000+ kms ,the aim is to make sure that all trunk roads are paved!!
Umemjibu vizuri sana. Anataka kutuaminisha kwamba kwa 86000km ,85000 ni surfaced. Huyu Melissaaa hukurupuka kufungua nyuzi bila kufikiria kwanza. Ten ameshindwa kuleta ushahidiNimekupa ramani ya barabara zote za Tanzania, hiyo ramani hapo haionyeshi tu barabara zilizo chini ya TANROAD.
Unayo matatizo makubwa kielimu, yaani unataka kumaanisha mumewashinda hata Nigeria kwa paved road, unajua maana ya paved road kweli au unahangaika.
Hehehe eti yaani mumeshinda hadi Morocco, nchi ambayo huwapa nyie misaada.....
Mumeshinda hata Denmark.... Yaani kama kuna Watanzania waliobahatika kwenda shule na wanasoma huu uzi lazima wanahisi aibu ya mwaka.
Wewe zero brain kabisa...Sisi hapa tunaongelea barabara za agency zote na sio za Tanroads..Hapo tumeweka Total Roads zaTANROADS, TARURA, Halmashauri na Wilaya...πππNimekupa ramani ya barabara zote za Tanzania, hiyo ramani hapo haionyeshi tu barabara zilizo chini ya TANROAD.
Unayo matatizo makubwa kielimu, yaani unataka kumaanisha mumewashinda hata Nigeria kwa paved road, unajua maana ya paved road kweli au unahangaika.
Hehehe eti yaani mumeshinda hadi Morocco, nchi ambayo huwapa nyie misaada.....
Mumeshinda hata Denmark.... Yaani kama kuna Watanzania waliobahatika kwenda shule na wanasoma huu uzi lazima wanahisi aibu ya mwaka.
Nyie mko na 14thou tuHehehe sasa mleta mada anasema Tanzania has a freaking 85,000km of paved road, hapa Afrika if am not mistaken kuna labda nchi nne zimekidhi urefu huo.
Utalia sana.. Lakini hizo ndo fact...Kulia lia tu kijana..πππHehehe sasa mleta mada anasema Tanzania has a freaking 85,000km of paved road, hapa Afrika if am not mistaken kuna labda nchi nne zimekidhi urefu huo.
Hapo nimekuelewa mkuuπππHuo mkeka ulikua ni wa budget ya barabara kwa mwaka huu walikua wametenga 1.5trillions tshs kuwalipa wakandarasi pamoja na muendelezo wa barabara zinginezo, sina tena document ile nilifuta
Nakuona unalia sana...Nimewka facts mezani lakini nyinyi mnatoa mnachofikili..Mwenzako anataka ni deal na barabara za Tanroad pekee wakati hapo nimejumuisha na Tarura, Halmashauri na Wilaya..πππMlikuwa hamjui hata maana ya paved roadsππππ€£Umemjibu vizuri sana. Anataka kutuaminisha kwamba kwa 86000km ,85000 ni surfaced. Huyu Melissaaa hukurupuka kufungua nyuzi bila kufikiria kwanza. Ten ameshindwa kuleta ushahidi
Tanzania has doubled Kenya in terms of Paved roads..Kenya has 44,100km while Tanzania has 85,000km.. What real went wrong after independence???View attachment 960600View attachment 960601
SEARCH FOR: HOME ROADS Roads Tanzania Roads Road transport is the most widely used form of transport in Tanzania, carrying over 90% of the passengers and 75% of the freight traffic in the country. The number of road passengers in Tanzania rose by 32%, from 8,750 in Q2 2015 to 11,546 in Q2 2016.
The road network in Tanzania currently comprises 86,472 km of roads, of which 12,786 km are trunk roads, 21,105 km are regional roads and the remaining 52,581 km are district, urban and feeder roads.
Nyie mko na 14thou tu
Last time data za mwaka gani...maana hua kuna mkeka wa 2014 ndio kulikua na 7600+kms lakini muda sasa umesogea barabara nyingi zimejengwa tayari..it's possible zimeshafika 12thou kwa mWaka huuYeah! I agree zetu 14,000km paved road is not much to write home about, lakini nyie the last time I checked hata hamkua mumefikisha 8,000km leo nashangaa mnaibuka na 85,000km paved, yaani mumeshinda nchi kama Denmark.
Nilijua kapagawa nilivyosoma, kaandika kenya imeizidi tz kila kitu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jamaa kapagawa[emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe lia tu...Mimi source yangu ni total paved roads sio trunk roads..Yeah! I agree zetu 14,000km paved road is not much to write home about, lakini nyie the last time I checked hata hamkua mumefikisha 8,000km leo nashangaa mnaibuka na 85,000km paved, yaani mumeshinda nchi kama Denmark.
Hawa jamaa ni shida sana... Wanajifariji kijinga sanaπ€£π€£π€£πππNilijua kapagawa nilivyosoma, kaandika kenya imeizidi tz kila kitu
Zimeshafika 12thouAnd your source is a tweet. Stupid bongolalas. 85k is the total road network in Tanzania. Paved roads are 7000km for Tanzania and 16,000km for Kenya. Stop bring stupid.
Tanzania - Transport Infrastructure | export.gov
Njoo na facts sio unajibu hoja kwa misitari miwili kwa mada kubwa kama hii..Hapa sio Twitter kuwa unakuwa limited kuji express...Au umeshikiliwa simu???H
Mimi nimeitisha ushahidi wa paved roads.Kama ni 80000 si mngekuwa nambari moja afrika ama top 10.
Nawasisi wewe ni MKπππZimeshafika 12thou
Hivi unajua SA wana Agency ngapi za Barabara?? Je hiyo agency imeanza lini kujenga barabara?? Hayo ni maswali yakujiuliza...