Hehehehe!! Nilifikiria utakua na ufahamu, nikafikiria labda unampa mwenzio morale aendelee kujibaraguza, duh kumbe hata wewe unang'ang'ania na kuamini eti TZ ina 85,000km paved. Aki ya nani nyie ni kichekesho mpaka raha.
Nchi yenu ukubwa wake 945,000 square kilometres barabara zenu zote ni urefu wa 87,581km
Hapo ukifanya combination ya paved Trunk Roads, Regional Roads, District Roads,Urban Feeder roads hazijafikia 10,000km
Mnamo mwaka wa 2013 mlikua na total ya 7,611km paved.
Afrika bado mbali sana, yaani nchi kuwa na 85,000km paved halafu bado inatajwa ndani ya maskini wa kutupwa kwenye LDC.....
Hivi unajua ukubwa wa Israel ni 20,770 km² yaani hata ni ndogo kuliko mkoa wenu wa Arusha lakini wana paved road zaidi ya nchi yenu yote, zaidi ya muungano wenu wa nchi mbili.