GeniSys101
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,229
- 1,465
Wazungu wametushika pabaya sana. Ona mijitu mieusi ijavyopigana vikumbo kujiona bora kwa kujua lugha za wanaume wenzao wazungu… natumai kwa mtizamo wako pia wachina.. Wajapan… watakuwa watu wapuuzi sana manake kizungu kinawapiga chenga sana.. Na wewe unaejua Kiingereza utakuwa bora sana kuliko hawa wajapan etc… kazi ipo kwa kweli…The article is in English but the stupid idiots are busy commenting in Swahili, what an amateurish illogical way of thinking.tanzanians are so foolish to the height of foolishness like their pathetic leaders with fake matriculated certificates