Tanzania na population ya 60 million hata nusu hakajafika?? No wonder wale walio nayo Wana mdomo kubwa hivo to compensate their deficits 😂😂😂😂 redeemer @ joto la jiwe njooKenya has been ranked among the countries with highest number of internet users which currently stands at 89% of the total population. This truly signifies the the famous silicon Savannah phrase.
Zaidi ya 50 MillionNataka kujua kenya population iko ni aje, hii number inaweza maanisha mpaka toddlers wanatumia gadget zenya iot!
Zaidi ya 50 MillionKwani uko kenya total population Ni ngapi?
Kuna tofauti kubwa Kati ya Kenya na bongolalaa
Kula mwogo kwa chai ulale
Wachana na maneno za net budah enda kariobangi ukule githeriDuh Tanzania watu wanaotumia internet ni 23 million huku Kenya ni 43 million. Enyewe Kenya ni baba yao hapa Afrika Mashariki.
Unajisifia internet wakati baba na mama yako kule kijijini wanashindia uji wa chumvi kutokana na ukame mkali!??Duh Tanzania watu wanaotumia internet ni 23 million huku Kenya ni 43 million. Enyewe Kenya ni baba yao hapa Afrika Mashariki.
Nakula hapa githeri hapa Kibela nikikucheka hapa JF na internet iliyo very cheap hapa Afrika 😂😂😂Wachana na maneno za net budah enda kariobangi ukule githeri
Nashuku wewe ni kijibaba chenye miaka sitting na bado una tabia za kiutoto. Mbona waiga wajukuu wako babu?
Hauna aibu na kichwa kilichojaa nywele nyeupe Kama shamba la pamba????
We ni Mkenya?Wachana na maneno za net budah enda kariobangi ukule githeri
Hahaha inaonekana comment yangu imekugusa pabaya. Pole haikuwa nia yangu kukufanya ulie machozi kama mtotoUnajisifia internet wakati baba na mama yako kule kijijini wanashindia uji wa chumvi kutokana na ukame mkali!??
Hizo hela za bundle ni kheri hata ungewatumia gunia mbili za mtama .
Duh Tanzania watu wanaotumia internet ni 23 million huku Kenya ni 43 million. Enyewe Kenya ni baba yao hapa Afrika Mashariki.
By your retarded logic, Americans are more active on social media than any other nationality on earth sababu hawana kazi ya kufanya?Hilo linaweza kua na ukweli...
Hata kwenye social media platforms, Kenya's are more active online than Tanzanian's, sababu hamna kazi za kufanya...
Cc: mahondaw
Mpesa sio innovation ya mkenya, mlete huyo innovator wa kikenyaMiwivu za Tz knows no bounds.
Last time i checked the last 5yrs Kenya has scored higher than Tz in the annual innovation index .M-Pesa ,Ushahidi and I-Hub are Kenyan tech startups and venture capital funding for Kenyan startups went from $92.7m in 2016 to $147m in 2017.
Clearly we're doing a lot more vital stuff with our high internet penetration than Tz.(and i'm not surprised the only penetration that came to your mind is the one they do in porn)
Mpesa sio innovation ya mkenya, mlete huyo innovator wa kikenyaMiwivu za Tz knows no bounds.
Last time i checked the last 5yrs Kenya has scored higher than Tz in the annual innovation index .M-Pesa ,Ushahidi and I-Hub are Kenyan tech startups and venture capital funding for Kenyan startups went from $92.7m in 2016 to $147m in 2017.
Clearly we're doing a lot more vital stuff with our high internet penetration than Tz.(and i'm not surprised the only penetration that came to your mind is the one they do in porn)
Hizo stats za Kenya sio sahihi, ina maana mpaka watoto wadogo kabisa wana gadgets wakati umeme na chakula tu mgogoro.Meaning 70% of Kenyans have access to the internet. Thanks to fibre, and fast public internet Kenya seems to be the most connected country in Africa.
Upo na missions ngapi huku jf? Mbona unapenda dadisi maisha ya watu sana we ng'ombe?We ni Mkenya?
Kati ya hao wenye umri chini ya miaka 5 ni wangapiZaidi ya 50 Million
Nenda kalale mzee,umri wako haukuitikii ubishane mtandaoni. Nenda kapumzishe mgongo uliochoka Kama lorry ya miwa.Mpesa sio innovation ya mkenya, mlete huyo innovator wa kikenya
Hizo stats za Kenya sio sahihi, ina maana mpaka watoto wadogo kabisa wana gadgets wakati umeme na chakula tu mgogoro.