Kenya has the highest internet users to population numbers ratio in Africa and among the highest worldwide.

Kenya has been ranked among the countries with highest number of internet users which currently stands at 89% of the total population. This truly signifies the the famous silicon Savannah phrase.
Tanzania na population ya 60 million hata nusu hakajafika?? No wonder wale walio nayo Wana mdomo kubwa hivo to compensate their deficits 😂😂😂😂 redeemer @ joto la jiwe njoo
 
Duh Tanzania watu wanaotumia internet ni 23 million huku Kenya ni 43 million. Enyewe Kenya ni baba yao hapa Afrika Mashariki.
Unajisifia internet wakati baba na mama yako kule kijijini wanashindia uji wa chumvi kutokana na ukame mkali!??

Hizo hela za bundle ni kheri hata ungewatumia gunia mbili za mtama .
 

Nashuku wewe ni kijibaba chenye miaka sitting na bado una tabia za kiutoto. Mbona waiga wajukuu wako babu?
Hauna aibu na kichwa kilichojaa nywele nyeupe Kama shamba la pamba????
 
Sindano imekuingia vizuri hii [emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja nikuletee na ile mliopewa misaada ya chakula kutoka UAE ambayo ni Desert malory yakaja hadi ikulu,
Nashuku wewe ni kijibaba chenye miaka sitting na bado una tabia za kiutoto. Mbona waiga wajukuu wako babu?
Hauna aibu na kichwa kilichojaa nywele nyeupe Kama shamba la pamba????
 
Unajisifia internet wakati baba na mama yako kule kijijini wanashindia uji wa chumvi kutokana na ukame mkali!??

Hizo hela za bundle ni kheri hata ungewatumia gunia mbili za mtama .
Hahaha inaonekana comment yangu imekugusa pabaya. Pole haikuwa nia yangu kukufanya ulie machozi kama mtoto
 
Hilo linaweza kua na ukweli...

Hata kwenye social media platforms, Kenya's are more active online than Tanzanian's, sababu hamna kazi za kufanya...



Cc: mahondaw
By your retarded logic, Americans are more active on social media than any other nationality on earth sababu hawana kazi ya kufanya?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah ukwel mwingne unabidi upelekwe mahakamani
Hilo linaweza kua na ukweli...

Hata kwenye social media platforms, Kenya's are more active online than Tanzanian's, sababu hamna kazi za kufanya...



Cc: mahondaw
 
Mpesa sio innovation ya mkenya, mlete huyo innovator wa kikenya
 
Mpesa sio innovation ya mkenya, mlete huyo innovator wa kikenya
Meaning 70% of Kenyans have access to the internet. Thanks to fibre, and fast public internet Kenya seems to be the most connected country in Africa.
Hizo stats za Kenya sio sahihi, ina maana mpaka watoto wadogo kabisa wana gadgets wakati umeme na chakula tu mgogoro.
 
Mpesa sio innovation ya mkenya, mlete huyo innovator wa kikenya

Hizo stats za Kenya sio sahihi, ina maana mpaka watoto wadogo kabisa wana gadgets wakati umeme na chakula tu mgogoro.
Nenda kalale mzee,umri wako haukuitikii ubishane mtandaoni. Nenda kapumzishe mgongo uliochoka Kama lorry ya miwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…