REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,925
- 14,890
Do you understand swahili? Nimekuambie mtaje mvumbuzi wa mpesa hapa.Mpesa was an idea hatched by a form two student then latter perfected by a jkuat alumni
[/URL]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Do you understand swahili? Nimekuambie mtaje mvumbuzi wa mpesa hapa.Mpesa was an idea hatched by a form two student then latter perfected by a jkuat alumni
[/URL]
We naona unahamu ya kupumuliwa, umekosa hojaNenda kalale mzee,umri wako haukuitikii ubishane mtandaoni. Nenda kapumzishe mgongo uliochoka Kama lorry ya miwa.
By your retarded logic, Americans are more active on social media than any other nationality on earth sababu hawana kazi ya kufanya?
Anaitwa Nyagaka Anyona Ouko. Yeye ndiye aliyeibuka na concept ya M-Pesa akiwa mwanafunzi wa chuo kikuu cha JKUAT(Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology) mwaka wa 2002, kisha akawa'approach' Safaricom na Kencell(Airtel). Ila Safaricom wakamdhulumu kwasababu hakuwa amepata patent ya idea yake.Do you understand swahili? Nimekuambie mtaje mvumbuzi wa mpesa hapa.
Nyagaka Anyona Ouko.Mpesa sio innovation ya mkenya, mlete huyo innovator wa kikenya
Anaitwa Nyagaka Anyona Ouko. Yeye ndiye aliyeibuka na concept ya M-Pesa akiwa mwanafunzi wa chuo kikuu cha JKUAT(Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology) mwaka wa 2002, kisha akawa'approach' Safaricom na Kencell(Airtel). Ila Safaricom wakamdhulumu kwasababu hakuwa amepata patent ya idea yake.
Patent ya 'mobile money transer' anayo sasa hivi lakini aliipata 2013, miaka kumi baada ya M-Pesa kuzinduliwa mwaka wa 2003. Walichofanya Safaricom ni kuizindua wakiwa wameibadilisha jina na kuiita M-Pesa.![]()
😂😂😂😂 How much stake so far does he own anywhere? Huyo nasikia ni mkora hana mbele wala nyuma? Ni bora hata mnyamaze tu sababu hafananii hata na mpesa wakalaNyagaka Anyona Ouko.
Anaitwa Nyagaka Anyona Ouko. Yeye ndiye aliyeibuka na concept ya M-Pesa akiwa mwanafunzi wa chuo kikuu cha JKUAT(Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology) mwaka wa 2002, kisha akawa'approach' Safaricom na Kencell(Airtel). Ila Safaricom wakamdhulumu kwasababu hakuwa amepata patent ya idea yake.
Patent ya 'mobile money transer' anayo sasa hivi lakini aliipata 2013, miaka kumi baada ya M-Pesa kuzinduliwa mwaka wa 2003. Walichofanya Safaricom ni kuizindua wakiwa wameibadilisha jina na kuiita M-Pesa.![]()
Nyagaka Anyona Ouko.
Haya basi, acha tukubaliane kwamba M-Pesa ilibuniwa na watz.How much stake so far does he own anywhere? Huyo nasikia ni mkora hana mbele wala nyuma? Ni bora hata mnyamaze tu sababu hafananii hata na mpesa wakala
Hakuna cha mpesa ilibuniwa na watanzania hapa, mnaonesha contradictions nyingi kwenye maelezo yenu, mara moi University student mara jomo University student hamueleweki kwa kifupi, na ni uongo.Haya basi, acha tukubaliane kwamba M-Pesa ilibuniwa na watz.
Ok.Hakuna cha mpesa ilibuniwa na watanzania hapa, mnaonesha contradictions nyingi kwenye maelezo yenu, mara moi University student mara jomo University student hamueleweki kwa kifupi, na ni uongo.