Kenya hatuwezi kubali mapenzi ya jinsia moja

Kenya hatuwezi kubali mapenzi ya jinsia moja

Mahakama kuu Nchini Kenya imepiga marufuku mapenzi ya jinsi moja, hii inafuatia mahakama kuridhia Sheria inayozuia mapenzi hayo kuendelea kutumika kinyume na matarajio ya wapenzi wa jinsi moja na wanaharakati ambao walipeleka shauri mahakamani kuomba Sheria hiyo ifutwe.

Katika uamuzi wa mahakama pamoja na mambo mengine majaji wameamua Sheria inayopingwa, maarufu kanuni ya 162 hailengi makundi yoyote maalaum ya watu badala yake inaeleza kwamba ni Makosa kwa yeyote kushiriki katika uhusiano wa aina hiyo, mahakama ilieleza kutambua haki za binadamu hata hivyo Sheria imeweka MIPAKA au UKOMO wa baadhi ya haki za binadamu. Kwa mujibu wa Sheria Nchini Kenya mtu anayepatikana kujihusisha na mapenzi ya jinsi moja anaweza kuhukumiwa kifungo cha miaka 14 jela.

Kufuatia uamuzi huo wa Kenya ni matarajio ya wengi wapenda hasa. WAPENDA usawa kuona mataifa ya Magharibi na Marekani kutoonesha DOUBLE STANDARD kwa kuchukua hatua ikiwemo kutoa matamko ya kulaani uamuzi wa mahakama, kutishia au kuinyima misaada Nchi ya Kenya kama yalivofanya kwa Tanzania baada ya Serikali ya awamu ya tano ilipoamua kulinda maadili ya kitanzania

Baadhi ya wanaharakati Nchini akiwemo Fatuma Karume, Maria Sarungi ni wakati wa kuwa na kutafakari kubwa kuhusu misamamo yao hasa kwenye baadhi ya 'haki za binadamu' , kwani kwa mataifa mengi ya Afrika masuala ya mapenzi ya jinsi moja HAYAKUBALIKI na hayapaswi kupewa baraka na Sheria, Kanuni na Katiba za Nchi kwa KUTAMKA KUYATAMBUA.

Tunapata funzo jingine ni muhimu wananchi bila kujali itikadi zetu za kisiasa kuunga mkono pale Serikali inapofanya au kusimamia jambo lenye maslahi kwa Nchi, wakati mataifa ya Nje yanatoa matamko na kutishia kuidhibu Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa madai ya kupinga mapenzi ya jinsi moja, wafuasi wa vyama vya Upinzani na wakosoaji wa Serikali ya awamu ya Nne ghafla waligeuka kuwa wadau wa mapenzi ya jinsi moja wakiyaunga mkono mataifa ya nje kuibana Serikali ikiwezekana hata kuinyima misaada ilimradi tu wafanikishe maslahi yao ya Kisiasa.

IMG_1830.jpg
 
Umesahau juzi hapa mlikua wapole pale Makonda aliposema atawasaka mashoga wote, mabwana zenu wanaowapaga misaada wakawajia juu ilibidi mawaziri wakanyagane wote wakimkana Makonda na kusema hayo yalikua maoni yake sio ya serikali, mngethubutu kuonyesha jeuri za kumuunga Makonda mkono hadharani ndio mngekiona, hamna jeuri hiyo nyie.
Rais wa Marekani alipokua Kenya alipewa majibu na rais Uhuru bila kumumunya maneno wala kuremba.....

Kwa Kenya lipo kwenye katiba na halina mjadala, ukitaka kulibadilisha lazima ushawishi nchi yote tukubali kubadilisha katiba, na hilo halitendeki kwa miaka mingine 100, sio kwa kizazi hiki cha sasa.
kwanini mnapenda kujadili mambo ya ushoga kila siku...kadri mnavyojadili ushoga ndivyo tunavyoendelea kuupa kiki na ulimwengu mzima uweke concentration....hao mashoga kamata nyunyiza virusi vya ebola kwisha habari...kimyakimya
 
So do you legalize homosexual!?
Go sit on di... Huko huko kwenu.
Our constitution is clear we don't allow ushoga.

Ahaaa haaa haaa
KATIBA YAO inamung'unya maneno.
Mara aaaa inapata kigugumiizi.
 
Too late hao watu wameshaumizana huko nyuma kusikostahili... Taifa limeaibika!
Kenya court upholds ban on gay sex in major setback for campaigners
Judges tell packed courtroom in Nairobi that they had not seen enough evidence of discrimination to change the law
Jason BurkeAfrica correspondent

Fri 24 May 2019 15.11 BSTLast modified on Fri 24 May 2019 15.12 BST
Shares
0

A sticker calling for equal rights seen at a court hearing in Nairobi in February.
A sticker calling for equal rights seen at a court hearing in Nairobi in February. Photograph: Simon Maina/AFP/Getty Images

Judges in Kenya’s high court have rejected a bid to repeal colonial-era laws criminalising gay sex, saying that to do so would “fly in the face of public opinion”.

The decision is a major setback to LGBT campaigners across Africa.

A bench of three judges told a packed courtroom that they had not seen sufficient evidence of discrimination caused by the laws, which they said were not unconstitutional because they represented the values and views of the country.

In a statement that will outrage many, Justice Roselyne Aburili rejected last year’s precedent in India, which legalised gay sex between consenting adults, as well as a series of other judgments across the Commonwealth and elsewhere, saying that Kenya should make its own laws to reflect its own culture.
Advertisement

Aburili said that same sex couples living together would be violating the constitution and that there was no scientific proof that LGBT people were “born that way”.

“Courts should be loath to fly in the face of public opinion,” she said.

The judgment has potential implications across the continent, where LGBT people face widespread discrimination.

There were chaotic scenes before the judgment as media, supporters and lawyers packed the narrow corridors of the high court in Nairobi.

The court had been due to deliver its ruling in February, but then postponed it until May. The case stems from a petition filed by gay activists in 2016 that argued that the laws contravene Kenya’s 2010 constitution and encourage discrimination.

“The progressive needs of the Kenyan constitution are different from those of other countries… [It] should be a mirror that reflects the national soul and articulates its values”, said Justice Roselyne Aburili.

Colonial-era laws in Kenya currently punish sexual acts deemed “unnatural” with up to 14 years in prison, and homosexuality is illegal in most countries on the continent. In several, gay people face life imprisonment or the death penalty.

Hate crimes against gay people – including physical and sexual assault, blackmail and extortion – are common, but most victims are too fearful to go to the police, rights groups say.

Kenya arrested 534 people for same-sex relationships between 2013 and 2017.

According to petitioners against the law, there have been more than 1,500 attacks against LGBT Kenyans since 2014.
Activists had described the ruling in Nairobi as a watershed moment for LGBT equality with “the potential of creating a tidal wave across Africa”.

“This is about Kenya and Kenyan people but [the ruling] will send a strong message to other African countries to promote, protect and fulfil the rights of queer people,” said Brian Macharia from the Gay and Lesbian Coalition of Kenya shortly before the decision was announced.

Reform of the law was opposed by the Kenya Christian Professionals Forum, a coalition of Catholic, Protestant and Evangelical churches.

Charles Kanjama, the lead lawyer representing the forum, said homosexuality was “a sexual perversion that is damaging to the individual, the family and the society”.

A 2013 survey found that 90% of the population in Kenya did not think society should accept same-sex relationships. In several other African countries, levels of disapproval were even higher.

The court has heard from expert witnesses who said there have long been established traditions of tolerance of same-sex relationships in Africa.

The campaign to repeal Section 162 received a major boost last year when India’s top court scrapped a law that punished gay sex with up to 10 years in jail in a historic verdict.

Campaigners say Kenya’s laws are used daily to discriminate against LGBT people, making it harder for them to get a job or promotion, rent housing or access health and education services.

Last year the high court in Kenya temporarily overturned a ban on the film Rafiki, that portrays a lesbian relationship, to allow it to be entered for the Oscars.

“I am not convinced that Kenya is such a weak society that it cannot handle a gay theme. There are Kenyans who paid the ultimate price for the freedoms we enjoy today,” Justice Wilfrida Okwany told a packed courtroom in Nairobi at the time.

Uhuru Kenyatta, the president of Kenya, has described gay rights as an issue that was “of no importance to the people of Kenya”.

“This is not an issue of human rights, this is an issue of our own base as a culture, as a people regardless of which community you come from,” Kenyatta told CNN in an interview last year.

In neighbouring Tanzania, authorities in Dar es Salaam, the biggest city, have launched a series of crackdowns on gay people in recent years. In the most recent the city’s governor called on citizens to identify gay people so they could be arrested, forcing hundreds of people into hiding.

However there has been progress elsewhere, including Angola, which decriminalised gay sex in January. In March, the high court in Botswana heard a case brought by campaigners challenging the constitutionality of a law punishing same-sex relations.
 
Back
Top Bottom