Kenya imechaguliwa kuwa mwakilishi wa bara la Afrika kwenye Baraza la Usalama la UN.

Kenya imechaguliwa kuwa mwakilishi wa bara la Afrika kwenye Baraza la Usalama la UN.

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Kenya imechaguliwa kuwa mwakilishi wa bara la Afrika kwenye Baraza la Usalama la UN kwa mwaka 2021-2022 baada ya kupata kura 37 dhidi ya 13 alizopata Djibout zilizopigwa na wanachama 51 kati ya 55 wa Umoja wa Afrika leo Agosti, 21 huko jijini Addis Ababa, Ethiopia.

Ingekuwa Tanzania ndiyo imechaguliwa leo kusingekalika, ingekuwa hizo ni juhudi binafsi za Magufuli na CCM, ingekuwa Magufuli anaipaisha Tanzania hadi imechaguliwa, tumeyaona wakati wa kikao cha SADC.
 
Washamba wanaongoza SADC na werevu wanaitwa SADC..
Japokuwa Mimi ni Mtz, lakini uamuzi huu wa kuchaguliwa kwa Kenya kuiwakilisha Afrika huko UN ktk Baraza LA Usalama naunga mkono kwa 100%

Licha ya juhudi hizi ndogo zilizoanza, lakini Mimi binafsi naona aibu kubwa sana kwa sisi waafrika kuwa hivi tulivyo hivi Leo, Mpaka karne hii ya 21 bado sisi Waafrika weusi wa bara la Afrika tumeendelea "kuwa MAZUMBUKUKU", ndio maana watu weupe wanatudharau sana, wanatuona kama vile takataka au mapunguani
 
Kenya imechaguliwa kuwa mwakilishi wa bara la Afrika kwenye Baraza la Usalama la UN kwa mwaka 2021-2022 baada ya kupata kura 37 dhidi ya 13 alizopata Djibout zilizopigwa na wanachama 51 kati ya 55 wa Umoja wa Afrika leo Agosti, 21 huko jijini Addis Ababa, Ethiopia.

Ingekuwa Tanzania ndiyo imechaguliwa leo kusingekalika, ingekuwa hizo ni juhudi binafsi za Magufuli na CCM, ingekuwa Magufuli anaipaisha Tanzania hadi imechaguliwa, tumeyaona wakati wa kikao cha SADC.
Mbona tulishapata hicho kiti?
Hamia basi kenya
 
kama kuongoza SADC imeonekana ni muujiza kuliko ile ya Yesu, basi kwa nafasi ya uwakilishi wa Baraza la Usalama UN tungeambiwa Jiwe ndiye Mungu Baba
 
yaani ingekua Tz imechaguliwa basi yangepigwa mapambio ya sifa mwezi mzima.
kizuri chajiuza kibaya ...............
mtu anayefanya kazi nzuri haitaji risasi kuwaonesha watu matunda mema ya kazi yake.
 
Tulishachaguliwa kitambo sana.
yaani ingekua Tz imechaguliwa basi yangepigwa mapambio ya sifa mwezi mzima.
kizuri chajiuza kibaya ...............
mtu anayefanya kazi nzuri haitaji risasi kuwaonesha watu matunda mema ya kazi yake.
 
Tulipata wakati ule bado nchi inaongozwa na wastaarabu.

I can't leave my country to dogs alone.
Ni mzinguko itafika tu tena
Maana ulivyoandika kama vile hatujawahi na hatutawahi
Ukiangalia kura zinaonesha sie tumepigia kenya na tulipigia debe,ndio mana kenyatta alifika chato,hakutaka kufanya makosa kama walivuofanya kwa AminaAli wakakosa ukatibu mkuu wa AU
Tanzania oyeee
 
Oyeeee.
Ni mzinguko itafika tu tena
Maana ulivyoandika kama vile hatujawahi na hatutawahi
Ukiangalia kura zinaonesha sie tumepigia kenya na tulipigia debe,ndio mana kenyatta alifika chato,hakutaka kufanya makosa kama walivuofanya kwa AminaAli wakakosa ukatibu mkuu wa AU
Tanzania oyeee
 
Japokuwa Mimi ni Mtz, lakini uamuzi huu wa kuchaguliwa kwa Kenya kuiwakilisha Afrika huko UN ktk Baraza LA Usalama naunga mkono kwa 100%

Licha ya juhudi hizi ndogo zilizoanza, lakini Mimi binafsi naona aibu kubwa sana kwa sisi waafrika kuwa hivi tulivyo hivi Leo, Mpaka karne hii ya 21 bado sisi Waafrika weusi wa bara la Afrika tumeendelea "kuwa MAZUMBUKUKU", ndio maana watu weupe wanatudharau sana, wanatuona kama vile takataka au mapunguani
Ila bado haina maana yeyote bado tutakuwa bendera inayofuata upepo tu na huyo mwakilishi wetu
 
Ni mzinguko itafika tu tena
Maana ulivyoandika kama vile hatujawahi na hatutawahi
Ukiangalia kura zinaonesha sie tumepigia kenya na tulipigia debe,ndio mana kenyatta alifika chato,hakutaka kufanya makosa kama walivuofanya kwa AminaAli wakakosa ukatibu mkuu wa AU
Tanzania oyeee
Hiyo nafasi siyo ya mzunguko kama uenyekiti wa SADC ni kufanya kampeni ndiyo maana Kenya imepata kura 37 na Djibouti ikapata 13.
 
Shida watoto wa siku hizi wanajifanya kujua sana.
Sisi Tanzania UN inatujua tangu awamu ya kwanza tulipo piga kampeni ya kufa mtu ya kuifanya China iwe mwanachama, isitoshe baada ya kipindi kupita tulipiga kampeni ya kufa mtu ili China iwe mwanachama wa kudumu wa Baraza la Kudumu hili hili ambalo kenya atakaa kwa muda.
Kingine Salim alifanya sana kazi kule na kufanyiwa figisu asiwe KM wa UN, pia miaka kadhaa iliyoita mTanzania Dk. Asha Rose Migiro amekuwa Naibu KM wa UN. Hata Augustino Mahiga amekuwa muwakilishi wa KM wa UN kuhusu usalama wa Afrika hususan Somalia kwa muda mrefu sana. Hivyo sisi si wa kuzuzuka na UN. Tuna historia nayo. Kwenye medani za kimataifa tuko juu.
 
Back
Top Bottom