Kenya imechaguliwa kuwa mwakilishi wa bara la Afrika kwenye Baraza la Usalama la UN.

Kenya imechaguliwa kuwa mwakilishi wa bara la Afrika kwenye Baraza la Usalama la UN.

Japokuwa Mimi ni Mtz, lakini uamuzi huu wa kuchaguliwa kwa Kenya kuiwakilisha Afrika huko UN ktk Baraza LA Usalama naunga mkono kwa 100%

Licha ya juhudi hizi ndogo zilizoanza, lakini Mimi binafsi naona aibu kubwa sana kwa sisi waafrika kuwa hivi tulivyo hivi Leo, Mpaka karne hii ya 21 bado sisi Waafrika weusi wa bara la Afrika tumeendelea "kuwa MAZUMBUKUKU", ndio maana watu weupe wanatudharau sana, wanatuona kama vile takataka au mapunguani
Sisi waafrika weusi sisi sio mazumbukuku hata kidogo mkuu, sisi ni werevu sana kuliko unavyodhani. Walipotuweza ni pale walipofanikiwa kutubadilisha mawazo ya kuwa kufanikiwa kwetu ni pale sisi waafrika tutakapokuwa kama wao, kama ambavyo wewe unawaza hivi sasa.
 
Shida watoto wa siku hizi wanajifanya kujua sana.
Sisi Tanzania UN inatujua tangu awamu ya kwanza tulipo piga kampeni ya kufa mtu ya kuifanya China iwe mwanachama, isitoshe baada ya kipindi kupita tulipiga kampeni ya kufa mtu ili China iwe mwanachama wa kudumu wa Baraza la Kudumu hili hili ambalo kenya atakaa kwa muda.
Kingine Salim alifanya sana kazi kule na kufanyiwa figisu asiwe KM wa UN, pia miaka kadhaa iliyoita mTanzania Dk. Asha Rose Migiro amekuwa Naibu KM wa UN. Hata Augustino Mahiga amekuwa muwakilishi wa KM wa UN kuhusu usalama wa Afrika hususan Somalia kwa muda mrefu sana. Hivyo sisi si wa kuzuzuka na UN. Tuna historia nayo. Kwenye medani za kimataifa tuko juu.
Tuli Tuta- tuta-tuli hizo ni ngeli za Tz kweli. Tuli-komboa haitambuliki Karne hii. Ali-fanya ilhali Kenya inasema Tuna-fanya, Tuna-wakilisha Afrika kwa UNSC mwaka wa 2020-2021.
 
yaani ingekua Tz imechaguliwa basi yangepigwa mapambio ya sifa mwezi mzima.
kizuri chajiuza kibaya ...............
mtu anayefanya kazi nzuri haitaji risasi kuwaonesha watu matunda mema ya kazi yake.
kwani unapata tabu mama!
 
Hiyo nafasi siyo ya mzunguko kama uenyekiti wa SADC ni kufanya kampeni ndiyo maana Kenya imepata kura 37 na Djibouti ikapata 13.
Nchi zetu za dunia ya tatu tunachokikosa ni kura ya VETO! Bila kuwa nayo hata moja lolote litakaloamuliwa kama halifurahishi nchi zenye veto basi halitapita. Veto moja tu inatosha kubadili matokeo. Kenya kuwemo itatoa nafasi kusemea matatizo tuliyo nayo. Who knows inaweza chaguliwa kuwa Rais wa baraza la usalama!!!! Hongera watani wetu sisi hapa ni sadc tu sijui mwaka kesho tutasema kipi!
 
Shida watoto wa siku hizi wanajifanya kujua sana.
Sisi Tanzania UN inatujua tangu awamu ya kwanza tulipo piga kampeni ya kufa mtu ya kuifanya China iwe mwanachama, isitoshe baada ya kipindi kupita tulipiga kampeni ya kufa mtu ili China iwe mwanachama wa kudumu wa Baraza la Kudumu hili hili ambalo kenya atakaa kwa muda.
Kingine Salim alifanya sana kazi kule na kufanyiwa figisu asiwe KM wa UN, pia miaka kadhaa iliyoita mTanzania Dk. Asha Rose Migiro amekuwa Naibu KM wa UN. Hata Augustino Mahiga amekuwa muwakilishi wa KM wa UN kuhusu usalama wa Afrika hususan Somalia kwa muda mrefu sana. Hivyo sisi si wa kuzuzuka na UN. Tuna historia nayo. Kwenye medani za kimataifa tuko juu.


Hakuna "lolo" wala "chocho" , Afrika yote hii ni aibu tupu.
Kwa nini mpaka Leo hii hakuna hata nchi moja kutoka bara LA Afrika ambayo INA uanachama wa kudumu ndani ya Baraza LA Usalama LA UN???
Sababu ni nini hasa kwa nxhi zote za Afrika takribani 54 kukosa kiti kimoja cha kudumu ndani ya Baraza hilo LA UN kama siyo "Uzumbukuku" wa sisi watu weusi??
 
Tuli Tuta- tuta-tuli hizo ni ngeli za Tz kweli. Tuli-komboa haitambuliki Karne hii. Ali-fanya ilhali Kenya inasema Tuna-fanya, Tuna-wakilisha Afrika kwa UNSC mwaka wa 2020-2021.

Wewe nenda kapambane na



Hizo ndo hali zenu.
 
Sisi waafrika weusi sisi sio mazumbukuku hata kidogo mkuu, sisi ni werevu sana kuliko unavyodhani. Walipotuweza ni pale walipofanikiwa kutubadilisha mawazo ya kuwa kufanikiwa kwetu ni pale sisi waafrika tutakapokuwa kama wao, kama ambavyo wewe unawaza hivi sasa.

Kwa nini mpaka Leo hakuna hata nchi moja kutoka bara LA Afrika ambaye INA uanachama wa kudumu/kiti cha kudumu ndani ya Baraza LA Usalama LA Umoja wa Mataifa??Kwa nini, kama siyo uzumbukuku tulionao?Nchi zote 54 hakuna hata moja ambayo INA uanachama wa kudumu? Zote kabisa?!!! Halafu wewe unaunga mkono?!!!

Hivi sisi waafrika tumefanikiwa kwenye nini?Nini maana ya mafanikio au maendeleo?watu kuendelea kufa kwa njaa ilahi tuna ardhi ya kutosha yenye rutuba?Watu kuendelea kuugua kipindupindu ilahi tuna vyanzo vya asili vyenye. Maji safi?au tumefanikiwa kwa jambo gani hasa???
 
Kenya imechaguliwa kuwa mwakilishi wa bara la Afrika kwenye Baraza la Usalama la UN kwa mwaka 2021-2022 baada ya kupata kura 37 dhidi ya 13 alizopata Djibout zilizopigwa na wanachama 51 kati ya 55 wa Umoja wa Afrika leo Agosti, 21 huko jijini Addis Ababa, Ethiopia.

Ingekuwa Tanzania ndiyo imechaguliwa leo kusingekalika, ingekuwa hizo ni juhudi binafsi za Magufuli na CCM, ingekuwa Magufuli anaipaisha Tanzania hadi imechaguliwa, tumeyaona wakati wa kikao cha SADC.

Hata hivyo; ni juhudi za Magufuli zilizosababisha Kenya wakachaguliwa. Unajua kuwa wazungu waliomba ushauri kwa Rais wetu mpendwa ndipo akawashauri waipigie kura Kenya?
 
Back
Top Bottom