Kenya imecheza sana ujasusi wa kiuchumi dhidi ya Tanzania. Should this necessarily be "quid pro quo"?

Chadema wamebaki na nguvu Twitter Chadema w.a.mek.u.wa kama Kiba wanaomchukia Diamond
 

Tatizo tunalishana matango pori.
 
Ni kweli mkuu passport zinahitajika ili watu wakajue maisha yanavyokwenda huko kwa wenzetu. Yani kila sehemu n kulalamika tu utadhan tunaumwa.
 
Ni kweli mkuu passport zinahitajika ili watu wakajue maisha yanavyokwenda huko kwa wenzetu. Yani kila sehemu n kulalamika tu utadhan tunaumwa.
Kujilinda ni muhimu kama taifa. Kwani unafikiri watanzania hawana exposure ya masuala ya kimataifa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…