Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
- #461
Unakubaliana na mimi kwamba, sio kila jambo linalohusu usalama wa nchi ni la kutolewa ufafanuzi kwa wanasiasa?..You are WRONG.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakubaliana na mimi kwamba, sio kila jambo linalohusu usalama wa nchi ni la kutolewa ufafanuzi kwa wanasiasa?..You are WRONG.
Anachokifanya Tundu Lissu kwa sasa ni kutafuta umaarufu kwa ajili ya 2025. samia mama lao.2025 tutawashawishi wananchi wampe Samia ushindi wa 90% Ushindi huu ni wa asante kwa kazi kubwa aliyoifanya.
Kwa utendaji wa RAIS Samia Sisi kama watanzania tulipaswa kumuacha achape kazi, watanzania ,Afrika ,Dunia inajua Rais Samia atashinda mafisadi.Anachokifanya Tundu Lissu kwa sasa ni kutafuta umaarufu kwa ajili ya 2025. samia mama lao.
Rais Samia amefanya mambo makubwa mazuri kwa muda mfupi wa utawala wake.2025 tutawashawishi wananchi wampe Samia ushindi wa 90% Ushindi huu ni wa asante kwa kazi kubwa aliyoifanya.
Rais Samia ni mtu mwenye huruma nami nakubaliana naye kabisa. Wanaomuogopa Rais Samia ukiwafuatilia kwa makini utagunduza kuwa ni watenda maovu na wanashikwa na uwoga kutokana na uovu wanaoutenda.Rais Samia amefanya mambo makubwa mazuri kwa muda mfupi wa utawala wake.
Chama chini ya Rais Samia kipo busy kujenga Nchi ila vyama vingine vinashindana kuhutubia Facebook.Rais Samia ni mtu mwenye huruma nami nakubaliana naye kabisa. Wanaomuogopa Rais Samia ukiwafuatilia kwa makini utagunduza kuwa ni watenda maovu na wanashikwa na uwoga kutokana na uovu wanaoutenda.
Tunapenda Rais Samia asipate changamoto kubwa katika kupambana na CHADEMA pamoja na wanasiasa wengine uchwaraRais Samia ni mtu mwenye huruma nami nakubaliana naye kabisa. Wanaomuogopa Rais Samia ukiwafuatilia kwa makini utagunduza kuwa ni watenda maovu na wanashikwa na uwoga kutokana na uovu wanaoutenda.
Hivi unajua kuwa samia ni Rais bora africa kwa sasa?Hawa jamaa ni wajanja sana na JPM aliliona hilo, tuwe macho.
Samia anatutea Waafrica dhidi ya uonevu wa mabeberuChama chini ya Rais Samia kipo busy kujenga Nchi ila vyama vingine vinashindana kuhutubia Facebook.
Mafisadi wana hofu ya kushindwa na Samia. Wanajua Samia lazima awashughulikie ndio maana hawataki wapambane nayeSamia anatutea Waafrica dhidi ya uonevu wa mabeberu
Kwanini unakosa uzalendo kiasi hicho ndugu yangu?Acha wacheze ujasusi wa kiuchumi sisi tunacheza wa kuwashughulikia wapinzani badala ya fursa za kiuchumi
Kipi kigeni kisichojulikana wangekuwa bize na ujasusi wa kiuchumi kwa raslimali zote hizi si tungekuwa mbali.Kwanini unakosa uzalendo kiasi hicho ndugu yangu?
kuna watu wachache wanamtukana Rais Samia Dawa yao inachemka. Tutahakikisha wanalia na kusaga menoKipi kigeni kisichojulikana wangekuwa bize na ujasusi wa kiuchumi kwa raslimali zote hizi si tungekuwa mbali.
Vijana kama sisi ndio wazalendo Tumpe muda Rais Samia afanye mambo makubwakuna watu wachache wanamtukana Rais Samia Dawa yao inachemka. Tutahakikisha wanalia na kusaga meno
Rais Samia anafanya mambo makubwa sana huyu mama. CCM oooyeeeeeAnachokifanya Tundu Lissu kwa sasa ni kutafuta umaarufu kwa ajili ya 2025. samia mama lao.
Nimeona na daraja letu la kigamboni,hongera SamiaRais Samia anafanya mambo makubwa sana huyu mama. CCM oooyeeeee
Rais Samia amefungua balozi mpya katika nchi 8 ikiwemo Israel, Mungu ambariki sanaNimeona na daraja letu la kigamboni,hongera Samia
Rais Samia amefanya maamuzi sahihi sana kukutana na bilionea dangoteRais Samia amefungua balozi mpya katika nchi 8 ikiwemo Israel, Mungu ambariki sana