Kenya imenasa kwenye mtego wa Magharibi kupitia uchaguzi wa 2022

Kenya imenasa kwenye mtego wa Magharibi kupitia uchaguzi wa 2022

Taifa la Kenya linawaka moto kufuatia Mhimili wa Utendaji kuingia kwenye mgogoro wa kikatiba na Mhimili wa Mahakama (ambayo ndiyo inastahili kutafsiri sheria ikiwemo Katiba).

Mataifa ya Magharibi yaliyoingilia uchaguzi hata ulipokuwa Mahakamani yametumia Mhimili huo wa Mahakama kuhalalisha Ushoga na Usagaji LGBTQIA+ Kenya.

Mgogoro huo sasa umefika kwenye taasisi za Kiroho/Imani ambazo zimeungana na Mhimili wa Utendaji kuupinga Mhimili wa Mahakama.

Inapotokea kuwa rais hawezi kumuondoa Jaji kazini na Jaji akaamua kutumia Mahakama kuiuza nchi, taifa linasalimikaje hapa?

Rais Ruto alikuwa swahiba mkubwa wa Mahakama kupitia Jaji Mkuu Martha Koome wakati wa kesi ya uchaguzi.

Uamuzi wa Mahakama Kuu ya Upeo chini ya Jaji Mkuu Martha Koome kutoa hukumu tata ya kuitaka nchi kutambua haki za Mashoga na Wasagaji umeiweka serikali ya rais Ruto kwenye mashaka makubwa ya uhalali wake kwa wapigakura kiasi kwamba uswahiba wa rais na Jaji Mkuu umeporomoka.

Nyumba ya jirani inapoungua moto jiandalie ndoo za maji.

Ela ya Mzungu tamu lakini chungu, ukiila tu lazima ikukwame kooni.

Napendekeza Afrika ifanye chaguzi kwa ela za ndani ili kulinda uhuru wake.

NB.
Hiyo note book hapo chini nayo ni ya LGBTQIA+?

Bendera za nchi nyingi zina rangi za LGBTQIA+, nazo zibadilishwe?View attachment 2536192View attachment 2536196



Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app

Tanzania tusikubali.kuwa na Katiba ya kienyeji kama hii,Bora tuweke Nguvu kubwa bungeni sio mahakamani.

Yaani serikali isiporidhika na uamzi wa Mahakama ni heri ipeleke shauri la Rufaa Bungeni Ili wabunge wakikubaki uamzi wa Mahakama unafutwa rasmi.
 
Fungueni hiyo YouTube mumsikilize Baba Askofu wa Kenya Anglican anavyopangua Ushoga na Usagaji kisayansi, kisiasa, kisheria na kiroho.

Nina mashaka next step baada ya wanasiasa; ni kwa wazungu ku-corrupt dini (kwa ela nyingi) ili zinyamaze au ziunge mkono ushoga na usagaji.

Yatazuka Makanisa, Jamatini, Masinagogi na Misikiti kukampenia imani mpya hii.

Makanisa kama ya M.s.nja huenda yanapiga jaramba la kupokea mamilioni kama siyo mabilioni na pia kuendesha Ma-V8.

Liturgia za ndoa zitabadilika NA HUENDA MISAHAFU MIPYA IKAANZA KUINGIA AFRIKA.



Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app

Hivi Kwa nini Wazungu wanatumia Nguvu sana kulazimisha ushoga? Wanataka kulenga nini hasa?
 
Kupunguza idadi ya watu Afrika. Mwanaume kwa mwanaume hawawezi kuzaliana.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Kwan wanashindwa kutuliga sumu tu?

Hiyo ni biashara ya shetani tu kuchafua roho za watu na kuondoka na kundi kubwa Motoni.

Wingi wa Waafriva wala si kikwazo kwa Mzungu.

Mzungu anachofanya ni Kitimiz wajibu yeye kama Wakala wa Kazi za Shetani.
 
Back
Top Bottom